- Thread starter
- #61
Nije wakati ntakua bize naandaa kesi ya utetezi?
Dah!!!? unanifurahishaga aje?
Nije wakati ntakua bize naandaa kesi ya utetezi?
najua huwezi kunikomalia hivi hivi lazima utakuwa na sababu bana....mwaka wa 3 ?hapo sasa utakuwa umenishindaje? sijui nikuibukie huko huko kwny PM.....Mmh sio mkubwa kivile, ila kitabu mwaka wa tatu huu.
Hahahaha ndio imetoka moyoni ila usifanye mazoea.Siku nyingine nakukomalia kooni.
Dah!!!? unanifurahishaga aje?
hahahahahahaha! lol!ningekuwa sijiamini hata tusingekuwa tumeshikamana hivi.Yeahhh kidogo sio mbaya.
A man's ego has to be nurtured. . . sitaki ukose kujiamini ukiwa mtaani.
Hahahaha nimekushinda sana aiseee, kwahiyo ujiandae kabisa kugonga mwamba maana ujanja ujanja mwingi naujua.najua huwezi kunikomalia hivi hivi lazima utakuwa na sababu bana....mwaka wa 3 ?hapo sasa utakuwa umenishindaje? sijui nikuibukie huko huko kwny PM.....
hahahahahahaha! lol!ningekuwa sijiamini hata tusingekuwa tumeshikamana hivi.
hahahahahahaha! lol! busara itatumika zaidi, si unajua tena am a ril man....ngoja niku PM kuhusu hiyo shule unipe hizo info vizuri kabisaaa....Hahahaha nimekushinda sana aiseee, kwahiyo ujiandae kabisa kugonga mwamba maana ujanja ujanja mwingi naujua.
Alafu kukomaa bila sababu HAPANA, ila ndo hivyo usidhani kila siku ni jumapili.
haiwezi kupungua ,ila th important issue ni kujengeana uwezo zaidi ....we unadhani tukidiscourage more kuna atakayejiamini kati yetu?Kunaweza kukapungua aisee. . . sema sitaki maneno ya wambea kwahiyo tutaboresha zaidi.
Sio kupungua tu, kuna watu hua wanapoteza kabisa jumla.Nimeona mwenyewe. . .haiwezi kupungua ,ila th important issue ni kujengeana uwezo zaidi ....we unadhani tukidiscourage more kuna atakayejiamini kati yetu?
basi huyo from th beggning hakuwa nayo ila alitaka kuijenga through huyo anayeivunja.Sio kupungua tu, kuna watu hua wanapoteza kabisa jumla.Nimeona mwenyewe. . .
Hehehehehe anaemdiscourage mwenzie anaweza akawa anafanya hivyo ili kufidia kutojiamini kwake kwahiyo MAYBE NOT.
basi huyo from th beggning hakuwa nayo ila alitaka kuijenga through huyo anayeivunja.
Vp kakukosea? Ukitaka uone uzuri wa kumdunda mwenzio kaoe ukoo wa matumla.
to some pipo lkn ,not my kind lol!Not really, it happens.
to some pipo lkn ,not my kind lol!
si unajua tena i dnt hv 2 fyt 2b a man ,hii ni natural gift kutoka kwa aliye juu.Your kind ehhhh?
Haya bana!!
si unajua tena i dnt hv 2 fyt 2b a man ,hii ni natural gift kutoka kwa aliye juu.
Etu ehhhh. . .lipia kiingilio basi. . .??
hahahahahaha! huyo siyo mm ,ni fidel.....after ol kwa karne ya saiv kuna matumizi ya vifaa sana kwahiyo mtu akideki siyo km zile za uswahilini.tuachane na hii ,we hv been thr olready tusirudie.Hahahaha mbona sasa waogopa dekio?Lolz
Nlikua napima tu urefu wa kina. . . nafurahi kuona bado usawa uliopo nawezana nao.hahahahahaha! huyo siyo mm ,ni fidel.....after ol kwa karne ya saiv kuna matumizi ya vifaa sana kwahiyo mtu akideki siyo km zile za uswahilini.tuachane na hii ,we hv been thr olready tusirudie.