Nenda kwa Michuzi Blog utaona kuwa Rais alikuwa on Transit na David Beckham hayuko USA yuko UK na nimekupa sababu
Na pia kamualika Tanzania kutembelea
Acha Uzushi; tuwe wakweli kidogo...
Unahisa na hizo safari na kujirusha kwa vasco Dagama?
Nenda kwa Michuzi Blog utaona kuwa Rais alikuwa on Transit na David Beckham hayuko USA yuko UK na nimekupa sababu
Na pia kamualika Tanzania kutembelea
Acha Uzushi; tuwe wakweli kidogo...
mi nimejiuliza sana kama walikutana ghafula hivi kati ya Jk Na Beckcham nani alianza kujitabulisha kwa mwenziea. sidhani kama Beckcham anamfahamu Jk hata kwa sura ninavyohisi JK alimfata huyu njemba na kumwambia unanifahamu mimi Hapana . mimi ni raisi wa Tanzania kunapopatikana ule mrima mrefu wa Kilimanjaro na kadhalika na kadhalika
mi nimejiuliza sana kama walikutana ghafula hivi kati ya Jk Na Beckcham nani alianza kujitabulisha kwa mwenziea. sidhani kama Beckcham anamfahamu Jk hata kwa sura ninavyohisi JK alimfata huyu njemba na kumwambia unanifahamu mimi Hapana . mimi ni raisi wa Tanzania kunapopatikana ule mrima mrefu wa Kilimanjaro na kadhalika na kadhalika
kwa hiyo obama akija bongo unatarajia akikutana na kaseja airport asimame na kuanza kuongea nae?? protocol haipo hivo rais anakuwa na schedule ambayo lazima aifuate lakini huyu kichwa ngumu haambiliki ndio maana hata majuzi imetokea ajali kwenye msafara wake kimara yeye anashuka kwenye gari kwenda kuangali angepigwa risasi nani alaumiwe rais ajifunze kuzingatia protocol sio kila mtu unayemuona maadam ni maarufu basi umrukie na kuanza kuongea nae rais hana kazi anajirahisisha mno!
Ziara za muheshimiwa rais kumbe ndo huwa zinaishia kwa kukutana na wasanii na wanasoka
View attachment 54114
Wakuu naona mumefurahi JF kurudi hewani.
Sio wanasoka tu mkuu hata wakufoka foka pia anakutana nao!!!
Ni moja kati ya majukumu yake kama kiongozi wa wasanii wa bongo
Unless unajua alikuwa anaongea nini hapo, unaweza kuwa unasagia Kikwete anamsomesha Beckham kuhusu Malaria Tanzania na jinsi gani msaada wake katika PR unaweza kusaidia ku raise millions of dollars zinazoweza kusaidia watanzania milioni kadhaa kuepuka kifo cha Malaria.
Not saying that this is the best presidential move, but sometimes presidents have to do what is practical.
Sasa unless unajua labalaba ilihusu nini hapo, huna haki ya kusagia.
hapo kuna mawili
1. Anamwambia Hatuna kocha wakueleweka saizi, mzee unaweza ukaifundisha Taifa Stars???
2. Mzee Ruvuma kuna uranium za kutosha vipi sasa hutaki tuwekeze kama tulivofanya na bush??
Nafikili kati ya hayo mawili au yote ndo yanaongelewa apo
kwa hiyo obama akija bongo unatarajia akikutana na kaseja airport asimame na kuanza kuongea nae?? protocol haipo hivo rais anakuwa na schedule ambayo lazima aifuate lakini huyu kichwa ngumu haambiliki ndio maana hata majuzi imetokea ajali kwenye msafara wake kimara yeye anashuka kwenye gari kwenda kuangali angepigwa risasi nani alaumiwe rais ajifunze kuzingatia protocol sio kila mtu unayemuona maadam ni maarufu basi umrukie na kuanza kuongea nae rais hana kazi anajirahisisha mno!
Na wewe unless unajua nini walichokuwa wanakiongelea, huna haki ya kufagilia!Unless unajua alikuwa anaongea nini hapo, unaweza kuwa unasagia Kikwete anamsomesha Beckham kuhusu Malaria Tanzania na jinsi gani msaada wake katika PR unaweza kusaidia ku raise millions of dollars zinazoweza kusaidia watanzania milioni kadhaa kuepuka kifo cha Malaria.
Not saying that this is the best presidential move, but sometimes presidents have to do what is practical.
Sasa unless unajua labalaba ilihusu nini hapo, huna haki ya kusagia.