Baba Mtu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2008
- 870
- 168
kutokana na mdahalo wa jana nimesikia kua kuna wabunge kumi waligoma kutoka bungeni wakati wabunge wa chadema wakitoka nje ya bunge, yalielezwa na Hamad akijibu hoja ya Mbowe kuwa CUF inaonyesha kutowaunga mkono
jamani kwa nn hili hamlitaki kuliongelea
mjadala huo unaweza kuupata MZALENDO.NET « …Ni wakati wa ukweli na uwazi
Walikuwa wanaogopa kuvunja kiapo walichokula. Kumbuka walikula kiapo kuilinda katiba ya bongo ambayo ndo imemuweka madarakani rais. Na pia kuvunja ahadi ya kuwatumikia wananchi waliowachagua kuingia madarakani. Waliona bora lawama kuliko fedheha.