Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
- Mkuu una-raise a very interesting point na mimi jana niliona kwenye mdahalo, nikashitushwa sana kwamba kumbe kuna wabunge wa Chadema ambao hawakutoka nje ile siku, ikiwa na maana kwamba hawakukubaliana na ule uamuzi ambao at the heart of it ni kwamba Rais wa sasa ni wa halali na hakuna tatizo lolote na matokeo ya NEC,
- Very interesting point mkuu!
William.
..Bill achana na kina mtu wa pwani ....you are above that....maoni yao yapo so biased ,napendaga sana michango yako kwani pamoja na kuwa upo connected na unatoka moja ya familia mashuhuri ..huwa unatoa mawazo huru ambayo si mara zote huwa yanaunga mkono kila kinachofanywa na CCM.
Nadhani tunakubaliana wote kuwa ..hoja ya katiba mpya iliyoanza mwaka 1992 pale DIAMOND JUBILEE sasa imeiva...bila kuangalia ufuasi wetu wa vyama ni bora sasa tuombe katiba mpya kwa njia za amani .....nadhani kama JK atakubali katiba mpya atakumbukwa na historia....katiba yetu tuliyoicopy lancaster ..sasa haikidhi tena mahitaji ya kizazi kipya cha watanzania.
Mwisho ,tulitegemea ungetimiza ndoto za kaka yako kumpokea mzee ubunge pale MVUMI...inawezekana ukawa hupendi active politics kutokana na gharama ambazo ni za kibinafsi ....lakini its time sasa ukafikiria kuwatumikia wananchi in a more wider role and carry your family name through the second generations..
Wasalaam
PMike.