Elections 2010 Kumbe kuna wabunge kumi wa chadema hawajatoka Bungeni Rais alipokua akihutubia bunge

I see the glass is one quarter Full and you say it is three quarters empty. We talk about the same thing projecting different perspective.
Ni kweli kwa mtazamo wako tumefika mwisho hatusongi mbele. Ukimwuliza bwana Mdogo Masha pale Nyamagana atakwambia opposition si mchezo hata Polisi wote wawe upande wako ushindi si jambo la wazi.

Are we even trying to approach the dead end?

- Nilichosema na ninachosema tena ni kwamba tusikimbikilie kutembea kabla ya kutambaa, maana ukienda Bumbuli naamini utaambiwa CCM sio mchezo, polisi wote wako upande wa ushindi!

William.
 
Kuna Mfaransa mmoja anaitwa Alex Tocqueville kaandika seminal work on Democracy, kaongelea sana kuhusu haja ya kulinda matakwa hata ya minority katika Democracy, Thomas Jefferson naye kaongelea wajibu wa Demokrasia kulinda hata haki za minority, ndio maana haki za kikatiba hazijali kama watu fulani ni majority au minority.

Of course vyama vingi si jawabu, vyama vingi ni njia tu kuelekea kwenye demokrasia zaidi. Soviet Union wao mpaka Perestroika ya Gorbachev walikuwa hata hawana ndoto za vyama vingi, wao mageuzi yao walitaka chaguzi ziwe na wagombea zaidi ya mmoja tu (kama sisi tulivyokuwa tunafanya wakati wa chama kimoja) kwao hii ilikuwa ni hatua kubwa, na Gorbachev alivyoleta Perestroika na Glasnost walitaka hata kumpindua.

The point is, there is no silver bullet here, this is a gradual process, and any step in the right direction, kwa mfano vyama ving, inaendana na kuongezeka kwa demokrasia.

Ukifikiri hili jini litarudi chupani utakuwa unaota.i

- Kuongezeka kwa Demokrasia hakuwezi kulazimishwa kwa nguvu na kubadili katiba under our current political situation ndio ndoto zenyewe hasa, maana utakua unabadili katiba under expense ya CCM na wananchi walioichagua kutawala, siamini kwamba hao walioandika kuhusu Demokrasia ndicho walichosema!

- Nimetoa mfano mdogo sana, eti ili NEC iwe fair itachaguliwa na nani under hiyo katiba mpya ya Chadema?



William.
 
- Mkuu mimi huwa ninaongea facts, sijadili hadithi nenda kwenye clip za mdahalo utaona Mh. Hamad akisema haya maneno na hutaona Mh. Mbowe akikanusha kwamba sio kweli, mimi ninaongelea nilichokiona kwenye mdahalo tu!


William.


Umekuwa muwazi wa kuchanganua kuwa umefuata facts za vyanzo ambavyo Mhe Hamad amenukuliwa, ni kweli Mh Hamad amesema hayo ila ktk upotoshaji wake ambao nimeona sana miongoni mwa viongozi wengi wa TZ huwa wanafanya makosa makubwa sana kwa kupindisha na ku deceive audience kama alivyofanya yeye Mh. kwa kusema kuwa kuna wabunge 10 waligoma kutoka, sasa awataje basi!
 
Mheshimiwa Willima, Heshima sana,
Kwanza napenda kukupongeza kuwa kila mara wewe huleta hoja zinazojadilika na kuzungumzika humu jf. Leo umenichosa na mtazamo wako hasi juu ya suala la mabadiliko ya katiba na hata mfumo mzima wa NEC. Nadhani haya ni matokeo ya kutoshiriki siasa za nyumbani moja kwa moja na kuona matatizo yanayotuzunguka kama taifa.
Wakati huu tusipoziba ufa ujuwe kwa hakika tutajenga ukuta na utakuwa huko ulipo ukitoa ushauri na maoni kwenye mtandao kama unavyofanya leo. Ziko sababu za kutosha za katiba yetu kutazamwa upya kabisa
1. Suala la Muungano: Mfumo wa sasa hauturidhishi watanzania tlio wengi, na Kataba haiko clear kuhusu jambo hili, leo Zanzibar wana Makamu wa rais wawili ambao hawapo katika katiba yetu ya Jamhuri kwa sababu tu ya mfumo wa Zimamoto, Uwiwano wa uongozi na mzigo mkubwa unaobebwa na raslimali za bara kuendesha Zanzibar ni moja ya Changamoto kubwa.
2. Upatikanaji wa tume ya uchaguzi na namna inavyofanya kazi; Uchaguzi huu tume bila aibu inawaambia watanzania matokeo ya kawe na Ubungo yamechelewa kutangazwa kwa sababu ya matatizo ya miundombinu ya usafiri huku ikiwa tayari imetangaza matokeo ya Ngorongoro, Hivi Will huko US ndivyo mnavyofanya kazi kweli? Tume inasubiri watu wapigwe mabomu Mwanza ndiyo itangaze matokeo alafu unaipigia makofi Willy? Uko wapi uwiano wa Demokrasia unaouzungumzi! Alafu hakuna sheria ya kuwawajibisha hawa watu kisha unasema katiba inatosha iko sawa!! Ahaaa mzee think twice hapo, Tumeona katika kampeni hizi wakuu wa wilaya wakisoma taarifa za kazi kwa RizI ili mtoto asiharibu unga kwa baba, nguvu nyingi za serikali zimetumika kwenye kampeni kubeba chama tawala kwa sababu ya ubovu wa katiba, Hakuna mwenye chuki na RZ1 mbona nyie hatukuwaona mkitumia nafasi za wazee wenu ku propage siasa?? Rais ana vyeo vyingi mno vya kuteua watu na hivyo wanalazima kutumika kwa namna yoyote ili walinde nafasi zao alafu unasema hatutaki katiba itakayopunguza nguvu ya Rais, Bunge liliazimia mambo mengi baada ya Saga ya richmond, kwa sababu ya katiba mbovu hayakuenda popote maan na hiari ya Mkulu kuyafanyia kazi au kuyashiti, Hii ni aibu Willy nchi inahitaji katiba kabla kina Kayumba hawajachoka, watauana vibaya watakapochoshwa na mfumo unaoongeza mzigo wa umaskini vichwani mwao na kwa kuwa hutakuwepo utafuatilia kwenye Luninga na mtandao huku ukishaa. Mzee nchi inahitaji katiba iweke mambo sawa.
Mimi sikupiga kura mwaka huu, nina sababu nyingi za hovyo hovyo tu, moja ni kuchoshwa na mfumo mbovu usio na matumaini ya kumkomboa mtanzania, huko US manesi na madaktari ni moja kati ya makundi yanayolipwa vizuri hapa kwetu malipo mazuri yako kwenye siasa (Consumer unawalipa vizuri kuliko wanasayansi producer) Alafu Willy bado hutaki katiba eti tukuwe, hatuwezi kukuwa chini ya mfumo mbovu huu tuliionao ila tutadidimia
Mzee nina mengi lakini ngoja niache tu. nCHI INAHITAJI MABADILIKO YA KATIBA KABLA AKINA KAYUMBA WA MANZESE, BUGARIKA, MABATINI, HAWAJACHOSHWA NA HUU UFUKARA WA KUPINDUKIA
- Mkuu wangu heshima sana, in my opinion ni kwamba hapa Wapenzi wa Chadema wanashindwa ku-grasp the big picture kwamba Mwenyekiti wa Chadema jana aliksoea kutojibu hii hoja, kinachotakiwa hapa ni fundisho kwamba next time awe muangalifu na hasa wasaidizi wake, maana this falls right in their hands, mmojawapo alitakiwa kufikiri haraka sana na kugundua hili na kumpasia ki-note ili aliseme hata kama muda wa debate umekwisha, that is all I could ask!



- Mkuu wangu sana, mimi ni mfuatiliaji sana wa mambo ya katiba za mataifa mbali mbali, hakuna katiba ya taifa lolote Duniani, ambayo ina mwanya wa urahisi rahisi katika kurekebishwa, kule Zambia walijaribu hili la kukurupuka na kurekebisha katiba kumbe Chiluba alikuwa na mikakati yake ya siri ambayo thanks to Mwanawasa, ikaja ikamlipukia usoni akashindwa kufanya alichotaka yaani kuwahadaa wa-Zambia, ili aendele na madaraka, Kenya tumejionea wananchi walivyogoma kabisaa through their votes kwamba hawataki kina Kibaki waiguse katiba maana hawawaaamini, USA ndio kabisaa huwezi gusa katiba bila mpango maana Judicial Branch watakulima tena kiroho mbaya sana, kama walivyokataa kusikiliza kesi ya uchaguzi ya New Jersey State.

- Sawa ninaikubali hoja yako kimsingi kwamba katiba yetu ina upungufu inahitaji marekebisho, tatizo langu ni nina wasi wasi kwamba a lot is missing katika kuirekebisha hii katiba, unahitaji wananchi ambao so far sio siri hawaonyeshwi kuona tatizo na katiba yetu kuacha wananchi wachache sana wanaopiga kelele, sasa huwezi kubadili katiba bila kuwa sambamba na wananchi, tuwapeni nafasi wananchi ambao tayari wameshaanza kuonyesha kuamka usingizini, waamke vizuri ama sivyo tutakuwa tunafukuza hewa! Nimesema mara nyingi sana na ninarudia tena kwamba huwezi kuwa na political system ya Checks and Balance katika taifa ambalo uwiano wa wabunge uko kama hapa kwetu Tanzania, na huwezi kulazimisha kuongeza wabunge wa Upinzani kwa kutumia katiba, Demokrasia ina njia moja tu inayokubalika sana na ni perfect sana nayo ni votes, yaani kura za wananchi.

- As much as ninaheshimu sana mafanikio ya Chadema recently, lakini I am not going over my head na kuanza kuamini kwamba wamepata mafanikio makubwa sana ya kuwapa mandate ya wananchi wengi on kubadilisha katiba, halafu infact taifa letu bado ni changa miaka 50 sio mingi sana kwa taifa lililokuwa under chama kimoja, kwamba ukitoa miaka 15 ya vyama vingi unaweza kupata busara ya kubadili katiba na uwiano uliopo sasa, hapana hiyo katiba itaishia kupwaya tu ndugu yangu. Kwa mfano NEC, inawezaje kuwa fair under our political system ya sasa, unless imechaguliwa na kusimamiwa na Chadema, sasa how could that be possible wakati CCM ndio majority boom your stuck, I mean dead end, sasa why waste time na hoja zisizojadilika ma kutaka kulazimisha kwa nguvu?

- Chadema wajiimarishe zaidi kwenye chaguzi, wananchi wameonyesha mwamko na kuanza kuamka usingizini wapeni time, tumejionea jinsi wananchi walivyoyazingira majengo ya kutoa matokeo ya uchaguzi, itawachukua muda kuelewa kwamba wanachohitaji ni kuchagua wabunge wengi wa Upinzani inaitwa political maturity ambayo inahitaji progress, sasa ukiilazimisha hiyo utakuja kuleta matatizo makubwa sana kwa taifa mbele ya safari kwa sababu utakua unalilia short term results over long term, I mean mtoto anakuwa sasa aachiwe akue, sawa kupiga makelele inakubalika lakini yawe makelele ambayo yako samba samba na political realities on the ground!




- Well, thanks for the compliment ninaamini umetoa huu ushauri kutokana na kupima uwezo wangu wa kuelewa siasa zaidi kuliko kujali jina la familia na kaka yangu au generations!

Thanks.


William.
 
- Mkuu mimi huwa ninaongea facts, sijadili hadithi nenda kwenye clip za mdahalo utaona Mh. Hamad akisema haya maneno na hutaona Mh. Mbowe akikanusha kwamba sio kweli, mimi ninaongelea nilichokiona kwenye mdahalo tu!


William.


What facts? hata kitu cha uongo ni facts? know well definition ya facts, hamad ni muongo, wote walitoka waliokuwapo bungeni, na wengine hawakuingia bungeni,
sasa ww una conclude hapo hapo, think... search... ask... if u don't know, then utoe mawazo/ conclusion, na hakuna facts kwa uongo, got it, tumia ubongo kidogo, then write
 
Hahahahah u need brain surgery Muafaka upi unaongelea wewe? ama unaimanisha ndoa iliyoifuta FUC kwenye medani za siasa Tanzania?

mkuu ngoja nikukorect naona hizi ni typing error lakini hamna shida ..umeandika hapo juu FUC ..ila nina uhakika una maanisha CUF, lakini kwa vile herufi zote tatu zipo hakuna shida unaweza hata kuandika CUF,UCF,CUF,FUC,FCU.zote zina maana moja.
 
Wanasiasa kwa kupindisha maneno mahodari sana

Hamad Rashid atasema "nilisema hawakutoka bungeni kwa sababu hawakuingia hasa. Hawawezi kutoka bila kuingia"

Kimsingi Zitto na wenziwe hawakutoka bungeni kwa sababu hawakuingia. Na Zitto mwenyewe amekuja hapa na kuandika kuwa "aliona bora kutokwenda (ingia) bungeni kabisa kwa sababu angekwenda asingetoka".

Na Mbowe labda kwa kujua kuwa ni mtego wa kumfanya azungumzie namna ndani ya chama chake kulivyokuwa na tofauti ya mitazamo kuhusu suala hilo ndio maana akaliwacha lipite tu.

Btw, nini ilikuwa dhamira ya mdahalo ule?
 
- The FACT ni kwamba yote Mh. Hamad aliyosema ambayo sio kweli Mh. Mbowe alijibu, lakini hili hakujibu hiyo ni FACT sihitaji zaidi in that case of the FACT, as a FACT!

William.
let's agree to disagree, Hamad R wanted public opinion in underming CDM, not everything CDM does is correct, but given what it had managed to uncover, I don't buy HR one bit, actually all their previous efforts are in vain for being soothed by muafaka, they now wants to apply Uk politica in Africa, HR is calculating his next post in 2015 actually them forming a unity govt means they will get an in on all CCM inside stuff, if they are to weaken opposn for 2015 he needs to also get an in on the strong opposn, he didn't invite other parties when he formed his opposn kambi the first time, so I agree totally with CDM u don't want to get people in who also bite ur back,WJ Malecela, deal or no deal?
 
let's agree to disagree, Hamad R wanted public opinion in underming CDM, not everything CDM does is correct, but given what it had managed to uncover, I don't buy HR one bit, actually all their previous efforts are in vain for being soothed by muafaka, they now wants to apply Uk politica in Africa, HR is calculating his next post in 2015 actually them forming a unity govt means they will get an in on all CCM inside stuff, if they are to weaken opposn for 2015 he needs to also get an in on the strong opposn, he didn't invite other parties when he formed his opposn kambi the first time, so I agree totally with CDM u don't want to get people in who also bite ur back,WJ Malecela, deal or no deal?

Kuna kimoja ambacho tumekisahau ambacho kabla ya kufika kwenye conclusion tunatakiwa kukitilia maanani.

CHADEMA iliiomba CUF ishirikiane nae bungeni. CUF ikakataa kwa sababu vyama vyengine havijashirikishwa.

Sasa tunapofika kwenye conclusion ya kuwa CUF inalazimisha iingizwe kwenye kambi ya upinzani mimi hata sielewi tulifikaje huko.

Suala la msingi ni la kujiuliza kwa nini CHADEMA ilitaka CUF pekee ishirikiane nae? Na ilipoenda kuomba ushirikiano haikujua kuwa CUF imeolewa na CCM na si chama cha upinzani? Kwa sababu hizo facts zipo wazi siku nyingi sana hata kabla matokeo ya uchaguzi kwa Tanzania na Bunge hayajatolewa.

Nionavyo:

CDM wana tatizo la kushindwa kudhibiti misimamo yao. Wanapobadili badili misimamo kila dakika wanachofanya ni kutuchanganya tu wananchi na sio chenginecho.
 
- Nilichosema na ninachosema tena ni kwamba tusikimbikilie kutembea kabla ya kutambaa, maana ukienda Bumbuli naamini utaambiwa CCM sio mchezo, polisi wote wako upande wa ushindi!

William.

Kupita bila kupingwa hakuna maana CCM si mchezo.
Taja jimbo jingine.

Polisi kuwa upande wa ushindi ni jibu lenye uchanga mkuu.
Polisi wanatakiwa kulinda Haki ili Amani iwepo.
Polisi hawafungamani na upande wowote, ni wanasiasa uchwara wenye uroho na roho ya Fisi ndiyo pekee hujaribu kuwaweka polisi nyuma yao.
Polisi kuwa upande wa ushindi ni kwenda kinyume cha Katiba JMT.
 
Kuna kimoja ambacho tumekisahau ambacho kabla ya kufika kwenye conclusion tunatakiwa kukitilia maanani.

CHADEMA iliwaomba CUF ishirikiane nae bungeni. CUF ikakataa kwa sababu vyama vyengine havijashirikishwa.

Sasa tunapofika kwenye conclusion ya kuwa CUF inalazimisha iingizwe kwenye kambi ya upinzani mimi hata sielewi tulifikaje huko.

Suala la msingi ni la kujiuliza kwa nini CHADEMA ilitaka CUF pekee ishirikiane nae? Na ilipoenda kuomba ushirikiano haikujua kuwa CUF imeolewa na CCM na si chama cha upinzani? Kwa sababu hizo facts zipo wazi siku nyingi sana hata kabla matokeo ya uchaguzi kwa Tanzania na Bunge hayajatolewa.

Nionavyo:

CDM wana tatizo la kushindwa kudhibiti misimamo yao. Wanapobadili badili misimamo kila dakika wanachofanya ni kutuchanganya tu wananchi na sio chenginecho.

Haya wee!
 
Mwaka 1865, wakati rais Lincoln anaamua kuwapa haki watu weusi ya kutokuendelea kuwa watumwa, asilimia 70 ya waamerika ilikuwa inapinga,mpaka kusababisha vita kati ya kusini na serikali. Kama Lincoln na wenzake wangekuwa wanafuata maoni ya wengi leo waamerika weusi bado wangekuwa watumwa. Demokrasia ina maana wachache nao wasikilizwe. Kama CCM na mgombea wake anaanguka toka asilimia 80 mpaka 60 na huku zaidi ya watu milioni kumi hawakupiga kura, panaonyesha pana tatizo hapo. Jambo moja mnalosahau, katiba mbovu ya Zambia chini ya Kaunda ilitumiwa na Chiluba kumnyanyasa yeye Kaunda. Madaraka ni kama kumpanda simba, ipo siku atakuangusha na ndipo atakpokukula. Ipo siku CCm wataanguka na hawa wapinzani hawatabadili katiba, watatumia katiba hii hii kuwapa tabu CCM. Hii katiba ni mbovu na inaitaji kubadilishwa, manogopa nini?
 
- Hapa sasa mkuu ndio kabisaa unakubaliana na hoja yangu kwamba mambo ya haraka haraka kabla ya wakati ndio yametufikisha hapa tulipo, ukweli ni kwamba matokeo ya uchaguzi yanaonyesha exactly wananchi walichosema then kwamba bado wanataka chama kimoja, Mwalimu alitakiwa kuwasikiliza wananchi maana ndio Demokrasia yaani wananchi kuamua wanachotaka, kuwalazimisha wasichotaka ndio matokeo yake haya ndugu yangu, wananchi bado wanachagua CCM tu!

- Maana yake ni kwamba tulifkiri kwamba vyama vingi ndio jawabu, sasa sio siri kwamba hatukuwa tayari, naona imeanza ya katiba sasa utabadili vipi katiba na majority ya CCM, ndio ninasema tusidanganyane jamani, mambo badooo kidogo tusitafute njia za mkato mkato ndio zimelifikisha hili taifa tulipo sasa, yaani kwenye dead end!

William.
I bet Bill you are kidding, yaani turudi tena 1990 chini ya chama kimoja, hata huyo Nyerere kama angekuwa anaona ulichoandika angelia. Bila ivi vyama vingi tungejua mambo waliyotufanyia benki kuu na Lowassa na Balali na hao kina Liyumba?
 
- Mkuu una-raise a very interesting point na mimi jana niliona kwenye mdahalo, nikashitushwa sana kwamba kumbe kuna wabunge wa Chadema ambao hawakutoka nje ile siku, ikiwa na maana kwamba hawakukubaliana na ule uamuzi ambao at the heart of it ni kwamba Rais wa sasa ni wa halali na hakuna tatizo lolote na matokeo ya NEC,

- Very interesting point mkuu!


William.

Hao wabunge kumi anaosema Hamad Rashid hawakutoka sio kweli anajaribu kupindisha ukweli ambao ni huu hapa; hao wabunge kumi hawakuhudhulia kikao!!
 
Hivi wewe unategemea wabunge 10 wa chadema wabaki bungeni halafu TBC wasioneshe mgawanyiko huo? Hamad Rashid kaumia sana kupoteza malupulupu aliyokua akiyapata kama kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni sasa anaona wivu na anajaribu kuivuruga chadema.
 
Tupeni hayo majina ya wabunge waliogopa kutoka Bungeni ili tuwahujue , mbona hadithi nyingi ?
 
kutokana na mdahalo wa jana nimesikia kua kuna wabunge kumi waligoma kutoka bungeni wakati wabunge wa chadema wakitoka nje ya bunge, yalielezwa na Hamad akijibu hoja ya Mbowe kuwa CUF inaonyesha kutowaunga mkono

jamani kwa nn hili hamlitaki kuliongelea

mjadala huo unaweza kuupata www.mzalendo.net[/B]]MZALENDO.NET « …Ni wakati wa ukweli na uwazi

Tupe majina ya hao wabunge waliobaki mjengoni! Halafu sikushangai kumbe bado unasomaga magazeti ya chama?:embarrassed:
 
Mheshimiwa Willima, Heshima sana,
Kwanza napenda kukupongeza kuwa kila mara wewe huleta hoja zinazojadilika na kuzungumzika humu jf. Leo umenichosa na mtazamo wako hasi juu ya suala la mabadiliko ya katiba na hata mfumo mzima wa NEC. Nadhani haya ni matokeo ya kutoshiriki siasa za nyumbani moja kwa moja na kuona matatizo yanayotuzunguka kama taifa.
Wakati huu tusipoziba ufa ujuwe kwa hakika tutajenga ukuta na utakuwa huko ulipo ukitoa ushauri na maoni kwenye mtandao kama unavyofanya leo. Ziko sababu za kutosha za katiba yetu kutazamwa upya kabisa
1. Suala la Muungano: Mfumo wa sasa hauturidhishi watanzania tlio wengi, na Kataba haiko clear kuhusu jambo hili, leo Zanzibar wana Makamu wa rais wawili ambao hawapo katika katiba yetu ya Jamhuri kwa sababu tu ya mfumo wa Zimamoto, Uwiwano wa uongozi na mzigo mkubwa unaobebwa na raslimali za bara kuendesha Zanzibar ni moja ya Changamoto kubwa.
2. Upatikanaji wa tume ya uchaguzi na namna inavyofanya kazi; Uchaguzi huu tume bila aibu inawaambia watanzania matokeo ya kawe na Ubungo yamechelewa kutangazwa kwa sababu ya matatizo ya miundombinu ya usafiri huku ikiwa tayari imetangaza matokeo ya Ngorongoro, Hivi Will huko US ndivyo mnavyofanya kazi kweli? Tume inasubiri watu wapigwe mabomu Mwanza ndiyo itangaze matokeo alafu unaipigia makofi Willy? Uko wapi uwiano wa Demokrasia unaouzungumzi! Alafu hakuna sheria ya kuwawajibisha hawa watu kisha unasema katiba inatosha iko sawa!! Ahaaa mzee think twice hapo, Tumeona katika kampeni hizi wakuu wa wilaya wakisoma taarifa za kazi kwa RizI ili mtoto asiharibu unga kwa baba, nguvu nyingi za serikali zimetumika kwenye kampeni kubeba chama tawala kwa sababu ya ubovu wa katiba, Hakuna mwenye chuki na RZ1 mbona nyie hatukuwaona mkitumia nafasi za wazee wenu ku propage siasa?? Rais ana vyeo vyingi mno vya kuteua watu na hivyo wanalazima kutumika kwa namna yoyote ili walinde nafasi zao alafu unasema hatutaki katiba itakayopunguza nguvu ya Rais, Bunge liliazimia mambo mengi baada ya Saga ya richmond, kwa sababu ya katiba mbovu hayakuenda popote maan na hiari ya Mkulu kuyafanyia kazi au kuyashiti, Hii ni aibu Willy nchi inahitaji katiba kabla kina Kayumba hawajachoka, watauana vibaya watakapochoshwa na mfumo unaoongeza mzigo wa umaskini vichwani mwao na kwa kuwa hutakuwepo utafuatilia kwenye Luninga na mtandao huku ukishaa. Mzee nchi inahitaji katiba iweke mambo sawa.
Mimi sikupiga kura mwaka huu, nina sababu nyingi za hovyo hovyo tu, moja ni kuchoshwa na mfumo mbovu usio na matumaini ya kumkomboa mtanzania, huko US manesi na madaktari ni moja kati ya makundi yanayolipwa vizuri hapa kwetu malipo mazuri yako kwenye siasa (Consumer unawalipa vizuri kuliko wanasayansi producer) Alafu Willy bado hutaki katiba eti tukuwe, hatuwezi kukuwa chini ya mfumo mbovu huu tuliionao ila tutadidimia
Mzee nina mengi lakini ngoja niache tu. nCHI INAHITAJI MABADILIKO YA KATIBA KABLA AKINA KAYUMBA WA MANZESE, BUGARIKA, MABATINI, HAWAJACHOSHWA NA HUU UFUKARA WA KUPINDUKIA




- Mkuu heshima yako sana, sikatai kwamba katiba yetu ina mapungufu ni kweli sana isipokuwa tatizo langu ni how to go about kuirekebisha kwa maudhui ya wananchi wote, wengi mnaolilia kubadilishwa mnaonekana kuwa na hisia kali sana bila kujali POLITICAL FACTS on the ground, hamuwajali kabisa wananchi wengi walioichagua CCM kushika power kwenye huu uchaguzi. Mnaonekana kuamini sana kwamba ni nyinyi tu Chadema wenye wabunge 46 ndio wenye mandate ya wananchi kuhusu the political future of our nation.

- Mnakosea sana, ushauri wowote wa kubadili katiba lazima uwajali CCM kwanza kwa sababu wananchi ndio wamewachagua for the last 50 years, nimesema na ninarudia kwamba Demokrasia, inataka wananchi wazungumze kupitia kwenye kura, kama kweli unaamini in Demokrasia then utaelewa point yangu kwamba ni vigumu sana kuibadilisha katiba under political system ya CCM wabunge 270 Vs Chadema wabunge 46, it is simply impossible. Otherwise inaonekana mnashauri tuvunje katiba, yaani tutumie njia za mkato kuirekebisha kwa ku-overpass katiba inayodai 2/3 ya wabunge kuirekebisha kikatiba,

- Kwa maneno mengine tuvunje katiba kwa ajili ya kuirekebisha katiba, ili wabunge wa upinzani 46 wawe na nguvu sawa na wabunge 270 wa chama tawala, hivi mkuu huoni kwamba itakua the joke of the century! Ninawaulizeni swali dogo sana, under your new proposal ya katiba mpya ili NEC iwe fair inatakiwa kuchaguliwa na nani?



William
 
Mbona jamani mmeishaelezwa maana yake!HAWAKUTOKA KWA SABABU HAWAKUWA NDANI WAKATI JK ANATAKA KUHUTUBIA!Ni Kwamba wao waligoma kabisa kuingia,mmojawapo Zitto Kabwe,pengine wao walitaka kuonyesha msimamo wao kwamba HAWAMKUBALI KABISA KABISA!
 
Back
Top Bottom