Kulikuwa na Sababu ya Watoto wa Kikwete kuhudhuria sherehe za kuapishwa Mawaziri?

W. J. Malecela, naamini kuwepo kwao kusingeleta gumzo kama hayo mengine yaliyo nyuma ya pazia yasingekuwepo. Mengi yamezungumzwa kuhusu Riz1 na Miraji. Kwa kifupi kwao kwake ni news!

Usihangaike sana na huyu WJM 'mr. misifa' nia yake ni kutaka tujue kuwa nae alikuwepo! kulikuwa hakuna mantiki ya yeye ku-mention uwepo wake katika kujibu hoja ya anaeshangaa wototo wa rais kuwepo! kwa akili zake finyu anataka eti suala hilo liwe la kikatiba! this guy is a real plonker!
 
Wameenda kuhakikisha kama kweli
mzee anawaapisha hata wale maswaiba zao
waliomwambia baba yao awape ya uwaziri na unaibu waziri.
 
Kwa ufalme tulio nao sasa si kosa. Iwapo wanaweza kuwasukia watu dili hadi wakateuliwa uwaziri watashindwa uapishaji ambao ni matokeo ya dili zao? Nani mara hii kasahau tuhuma kuwa Lau Masha aliteuliwaje tokana na konnekisheni na RizOne? Wapo wanaokwenda mbali kudai eti wengine waliteuliwa kutokana na ukaribu na Bi Mkubwa rais wa WAMA. Ajabu wahusika hawakanushi tuhuma hizi. Waulize akina Mwanaidi Majaar waliulaje.

Duuuh kashesheeee......kwahiyo ni kweli???
 
Hapo ndiyo wanapoishi na kama hakuna sherehe wanacheza mpira na kiboleni kwenye uwanja.
 
Ah! mambo mengine yanchekesha sana, nani kakwambia JK anawatayarisha watoto wake kuwa wafalme? hivi inaigia akilini kwamba siku ya sherehe JK awe anawafungia wanawe chumbani wasionekane wakichanganyikana na raia/mawaziri hili asije kueleweka vibaya, tusiwe na mawazo potofu jamani.

Hivi bwana Riz1 anakaaa IKULU na familia yake aiseeee sikulitambua hilo!!!
Wewe Bukyanagandi wewe nikuulize weweee jamani kwani huyu raisi wenu ana watoto wawili TUUUUUUUUUUUUUUUUUUU???????
 
- mkuu mleta mada kwani katiba ya jamhuri inasemaje kuhusu watoto wa the sitting president na sherehe za ikulu?

- halafu pia uweke wazi katiba hiyo hiyo inasema nini kuusu hao wananchi wengine wa kwaida waliohudhuria huko jana, infact na mimi nilikuwepo pia, i mean ndio njia pekee ya kukata mzizi wa fitina, otherwise isije ikawa wivu na chuki binafsi bila hoja za msingi! Au?

William.

ni wale wale tu wala si suala la katiba au wivu ni kujikweza na ubinafsi, yana mwisho.
 
Impunity!!

Halafu hii taba ya watoto wa Viongozi kusingizia katiba katika kila jambo ni ujinga uliopitiliza!!
 
Marais toka awamu ya kwanza hadi ya Tatu hatuwaona watoto wao kwenye hizo sherehe za Mawaziri kuapishwa

Ni Miaka Miwili na Nusu imebaki wataichukua ikulu hapo 2015?

A4.jpg

Ridhiwan Kikwete akizungumza na aliyekuwa rais wa Yanga Jamal Malinzi wakati wa hafla hiyo katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam leo.

A5.jpg

Miraji Kikwete akiwa na wadau wengine katika hafla hiyo

Ni muhimu kwa watu kama akina Miraji na akina Ridhwani kuwepo kwasababu kiwete atatoka madarakani mda si mrefu ni kama anafanya kuwakabidhi kwa watu wanaoendelea kwenye ulingo wa siasa, hawa ndio watakaokuja kumteua Ridhwani kuwa waziri wa nishati na madini kuimalisha uchumi wake
 
- Mkuu mleta mada kwani katiba ya Jamhuri inasemaje kuhusu Watoto wa The sitting President na Sherehe za Ikulu?

- Halafu pia uweke wazi Katiba hiyo hiyo inasema nini kuusu hao wananchi wengine wa kwaida waliohudhuria huko jana, infact na mimi nilikuwepo pia, I mean ndio njia pekee ya kukata mzizi wa fitina, otherwise isije ikawa wivu na chuki binafsi bila hoja za msingi! au?

William.

Hivi wewe?,

Kwa kuwa umeweza kuingia Ikulu unadhani kila mtu anaweza kuingia Ikulu? Na nani kakwambia hao wananchi wameingia viwanja vya Ikulu kwa mujibu wa Katiba ? Unadhani sisi hatujui IKULU NI NINI na KATIBA NI NINI? Ungekuwa sio Malecela wala usingekanyaga hapo!
 
mkuu, wacha wivu wa kijinga , that is very normal mzee, au huoni huko mbele hata mkuu obama mwenyewe anavyokwenda kwenye official trips na mkewe pamoja na watoto wake wote, umesahau pia ya clinton na mwanae chelsea, hata sheria haizuii mambo kama hayo..by the way namchukulia kikwete kama baba mzuri..maana anawakuza wanawe katika njia bora kwa kuwafundisha kwa mifano na kuwapa nafasi ya kukutana na prominent people in the country kwani hapo ikulu wanakaa kwa muda tu..hivyo wanajiandaa na maisha baada ya ikulu..mzee wangu alikuwa akinipeleka kila mahali anapokwenda hasa hasa mikutano mikubwa na kunitambulisha mbele za watu..katika umri mdogo nimejifunza mambo mengi na kujuana na watu wengi na imenisaidia sana ..hivyo anachofanya kikwete ni sawa kabisa..nafasi kama hiyo wengi tunaitamani hata wewe pia wivu tu umekushika mkuu
 
Marais toka awamu ya kwanza hadi ya Tatu hatuwaona watoto wao kwenye hizo sherehe za Mawaziri kuapishwa

Ni Miaka Miwili na Nusu imebaki wataichukua ikulu hapo 2015?

A4.jpg

Ridhiwan Kikwete akizungumza na aliyekuwa rais wa Yanga Jamal Malinzi wakati wa hafla hiyo katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam leo.

A5.jpg

Miraji Kikwete akiwa na wadau wengine katika hafla hiyo
Sijaona tatizo, labda kama kulikuwa na bahasha nao wakakunja! Navyojua watu hawa kwao ni IKULU
 
- Mkuu mleta mada kwani katiba ya Jamhuri inasemaje kuhusu Watoto wa The sitting President na Sherehe za Ikulu?

- Halafu pia uweke wazi Katiba hiyo hiyo inasema nini kuusu hao wananchi wengine wa kwaida waliohudhuria huko jana, infact na mimi nilikuwepo pia, I mean ndio njia pekee ya kukata mzizi wa fitina, otherwise isije ikawa wivu na chuki binafsi bila hoja za msingi! au?

William.
WJM,
Ndio maana huwa nakwambia wewe sio MWANASIASA. Unataka kulazimisha tu kuingia huko. Yaani KATIBA ya NCHI iongelee watoto wa Rais aliye madarakani! Isemeje sasa? Hata mke wa Rais hatajwi kokote kwenye katiba. Katiba inawataka wateule wa Rais kuapishwa naye basi. Hii mialiko au ninyi wenyewe kujipeleka huko sio hitaji wala takwa la KIKATIBA. Baadhi yenu mlikwenda pale ili Rais ajue mpo, awakumbuke teuzi zijazo za ma-DC, Ubunge,....
 
nakuomba ubadili tabia, suala hili ni la nchi mzaha haufai. harafu JF is for thinkers not mockers, it is for serious mind not jokes.

mr greatthinker,

hata ukiwa serious na swala hili litakusaidia nini? Utaishia kutoa mpapovu tu hapa mtaendelea kuwaona si tu kwenye kuapisha mawaziri hata hao wabunge wapya wakiapisnwa wanaweza kwenda kushuhudia vilevile
 
Mwanaasha alikaa upande gani?

nimemmiss sana huyu mtoto nasikia

siku hizi kazinduka sana na mtamkoma

kwenye matokeo ya form six
 
- Mkuu mleta mada kwani katiba ya Jamhuri inasemaje kuhusu Watoto wa The sitting President na Sherehe za Ikulu?

- Halafu pia uweke wazi Katiba hiyo hiyo inasema nini kuusu hao wananchi wengine wa kwaida waliohudhuria huko jana, infact na mimi nilikuwepo pia, I mean ndio njia pekee ya kukata mzizi wa fitina, otherwise isije ikawa wivu na chuki binafsi bila hoja za msingi! au?

William.

Na wewe ni walewale waliokunywa uji wa mgonjwa.
 
WJM,
Ndio maana huwa nakwambia wewe sio MWANASIASA. Unataka kulazimisha tu kuingia huko. Yaani KATIBA ya NCHI iongelee watoto wa Rais aliye madarakani! Isemeje sasa? Hata mke wa Rais hatajwi kokote kwenye katiba. Katiba inawataka wateule wa Rais kuapishwa naye basi. Hii mialiko au ninyi wenyewe kujipeleka huko sio hitaji wala takwa la KIKATIBA. Baadhi yenu mlikwenda pale ili Rais ajue mpo, awakumbuke teuzi zijazo za ma-DC, Ubunge,....

Kwa lugha nyepesi unasema walijipendekeza kwenda kuuza sura?
 
Back
Top Bottom