Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
- Fungua thread ya maisha yangu, otherwise hapa ni hoja ya kama ipo Sheria ilivunjwa kwa watoto wa Rais kuhuduria jana, wewe unasemaje on that? ha! ha! ha!
- By the way mkuu, huwezi kwenda hizi sehemu bila kualikwa, understand that! ha! ha! ha!
William.
Kwahiyo jk aliwaalika wanawe?