nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Marais toka awamu ya kwanza hadi ya Tatu hatuwaona watoto wao kwenye hizo sherehe za Mawaziri kuapishwa
Ni Miaka Miwili na Nusu imebaki wataichukua ikulu hapo 2015?
Ridhiwan Kikwete akizungumza na aliyekuwa rais wa Yanga Jamal Malinzi wakati wa hafla hiyo katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Miraji Kikwete akiwa na wadau wengine katika hafla hiyo
Ni Miaka Miwili na Nusu imebaki wataichukua ikulu hapo 2015?
Ridhiwan Kikwete akizungumza na aliyekuwa rais wa Yanga Jamal Malinzi wakati wa hafla hiyo katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Miraji Kikwete akiwa na wadau wengine katika hafla hiyo