Labda TAKUKURU wanaweza kutusaidia kwa nini ?
Ndugu yangu unanishock sana. Yaani una maana Chadema ikishinda itabidi itafute watenbdaji wa serikali yake yote wapya nchi nzima? Watumishi wa umma (Civil servants etc) wanatakiwa wasiwe na vyama hivyo hubakia palepale, chama chochote kikishika dola. Wanaobadilishwa ni mawaziri tu na maRC na maDC. Sidhani iwapo Chadema itashindwa kuwapata hawa.
Hehehe hommie bana naona unampigie kampeni huyu bibi kiaina.... nina ushahidi kashindwa kujenga daraja tu kwenda kwa mama yake mzazi ndo alete maendeleo ya kushindilia barabara kila baada ya miezi 3 wapi na wapi? Kadaraja tu kwenda kijiji cha mama ake anashindwa kukaboresha hapo changa la macho asome alama za nyakati mwaka huu hata unaibu atausikia kwenye bomba.
Ni watu wa CCM disguised nini? Au wamekata tu tamaa?:confused2: