Kulea Mtoto

Malova

JF-Expert Member
Apr 21, 2011
784
228
Nina mke ambaye amejifungua kichanga kama mwezi uliopita. Naomba ushauri wenu hasa wale walio na uzoefu tufanyeje (mimi na mke wangu(hasa ktk mapenzi) ) ili tuweze kumlea mtoto wetu vizuri?
 
mama ahakikishe anaoga vizuri kabla ya kunyonyesha baada ya kudochana. uzazi wa mpango muhimu. mtoto anyonye maziwa ya mama na kuhudhuria klinic kwa ajili ya chanjo.
 
kwan hamna wazazi? mara nyingi naonaga either mama wa mume au mke anakuja hme ili kumwelekeza binti mambo kadhaa kuhusu huyo mtoto na hata jinsi ya kumwogesha na kadhalika au shangazi wa mkeo anaweza kuja hme ili amwelekeze.
 
mama ahakikishe anaoga vizuri kabla ya kunyonyesha baada ya kudochana. uzazi wa mpango muhimu. mtoto anyonye maziwa ya mama na kuhudhuria klinic kwa ajili ya chanjo.

Hapo kwenye red naomba msaada zaidi una maanisha nini kitatokea au yapi madhara yake baada ya kudochana bila ya kuoga vizuri?
 
Kwa vile hamna washauri kama dada, mama, shangazi, mi nakushauri MZIBUENI MASIKIO.
 
Nina mke ambaye amejifungua kichanga kama mwezi uliopita. Naomba ushauri wenu hasa wale walio na uzoefu tufanyeje (mimi na mke wangu(hasa ktk mapenzi) ) ili tuweze kumlea mtoto wetu vizuri?

Mkuu ningeomba ueleza kwa kina kidogo unataka kufahamu nini haswa?
maana kuna mengi sana kuhusu wachanga... kama ukipenda uliza swali moja
baada ya lingine .. asante sana
 
nimeomba mnisaidie nileeje mtoto maana sina uzoefu kwasababu huyo mtoto ni wa kwanza
zingatia haya mdogo wangu
1.usile ngwanju kabala ya siku arobaini hazijafika, hii kama amejifungua salama na hakuchanika msamba vibaya sana kama alichanika sana fanya baada ya siku 60. kama ni operation madaktari wanashuri baada ya miezi 6,ila kama mshono haujasumbua unaweza kuanza mdogo mdogo miezi3 to 3na nusu au minne
2.usimshike mtoto bila kunawa mikono hasa unapotoka kwenye mizunguko.
3. Msaidie mama malezi sio umwachie kila kitu,siku moja moja na wewe unambadilisha nepi mtoto
4. usiendekeze sana kutumia pampers sio nzuri kiafya kwa mtoto
5.msimwache mtoto akae na nguo za mikojo kwa muda mrefu sana hasa wa kike, utamsababishia U.T.I mara kwa mara
6. Nguo za mtoto ziwe na begi lake na zisichanganywe na za wakubwa
7.usibadilishe nguo au kubanjuka mbele ya mtoto hata kama ni mdogo sana.
8. mmalizapo kula ngwanju mama asimnyonyeshe mtoto bila kuoga.muoge kwanza ndio mumshike mtoto. mengine wataongezea wenzangu.......
all the best.
 
nimeomba mnisaidie nileeje mtoto maana sina uzoefu kwasababu huyo mtoto ni wa kwanza

miezi 6 ya mwanzo mtoto anatakiwa anywe maziwa ya mama tu..
baada ya miezi sita mtoto anweza kuanza kula "solid food" lakini bado aendelee
na beast feedind mpaka mtoto afikishe mwaka na zaidi
jinsi
mama anavyotakiwa kumbeba mtoto wakati wa kumnyonyesha..
Breast-feeding-series.jpg
picha ya kwanza mpaka ya tatu utaona mama amemshika kichwa mtoto..


mpaka hapo mtoto atakapo kuwa kwenye comfortable position ndo mama ahamishe mkono kwenye mgongo wa mtoto..


daily care..
USIMTINGISHE (SHAKE) mtoto wako no matter what , shingo ya mtoto bado haijakomaa kabisa
kwa hiyo ni mwiko to shake a baby , remember baby is fragile.

baby poo..
mtoto anaekunywa maziwa ya mama ata poo at least once a day mpaka atakapo fikisha
wiki nne. baada ya wiki nne mtoto anaweza ku poo kila baada ya mlo . ni kawaida sana kwa mwana
kubadilisha pattern . mavi ya mwana yana rangi tofauti kwa kawaida utaona rangi hizi tatu
yellow, green au brown ( Green poos are common in a well baby) hata na hivyo kama una wasiwasi ni vema
kuwasiliana na doctor wenu..

kumuogosha mtoto

kwa mtoto mchanga kabisa hakuna haja ya kumuogosha kila siku.. waweza kumuogosha leo kesho
ukamsafisha vizuri tu .. sehemu zote muhimu uso, mikono, bottom, etc...

kama mtoto wako analia sana wakati wa kuogeshwa jaribu hizi njia..
1. usimuogeshe wakati anahisi njaa.
2.Muogeshe kidogo kidogo kuliko kumtumbukiza mwili wote majini.
3.mfune taulo kuanzia kifuani chini muweke taratibu kwenye besinii huku unaondoa taulo
taratibu ( beseni yenye maji ya uvugu vugu)
4. Hakikisha unataulo ndogo juu ya tumbo la mtoto akiwa ndani ya beseni.
5. mdondoshee maji kidogo kidogo juu ya mwili .. usimzamishe mwili wote..
6. USIZAMISHE KICHWA CHA MTOTO MAJINI.. BIG NO...

Dahhhh ninamengi sana kusema kuhusu mtoto mchanga itabidi uniulize maswali unataka kujua nini haswa..
maana ni topic isiyo na mwisho ..
 
Nina mke ambaye amejifungua kichanga kama mwezi uliopita. Naomba ushauri wenu hasa wale walio na uzoefu tufanyeje (mimi na mke wangu(hasa ktk mapenzi) ) ili tuweze kumlea mtoto wetu vizuri?

Hususan unazungumzia nini? Kufanya mapenzi au kumpenda mwanenu mpya?
 
miezi 6 ya mwanzo mtoto anatakiwa anywe maziwa ya mama tu..
baada ya miezi sita mtoto anweza kuanza kula "solid food" lakini bado aendelee
na beast feedind mpaka mtoto afikishe mwaka na zaidi
jinsi
mama anavyotakiwa kumbeba mtoto wakati wa kumnyonyesha..
Breast-feeding-series.jpg
picha ya kwanza mpaka ya tatu utaona mama amemshika kichwa mtoto..


mpaka hapo mtoto atakapo kuwa kwenye comfortable position ndo mama ahamishe mkono kwenye mgongo wa mtoto..


daily care..
USIMTINGISHE (SHAKE) mtoto wako no matter what , shingo ya mtoto bado haijakomaa kabisa
kwa hiyo ni mwiko to shake a baby , remember baby is fragile.

baby poo..
mtoto anaekunywa maziwa ya mama ata poo at least once a day mpaka atakapo fikisha
wiki nne. baada ya wiki nne mtoto anaweza ku poo kila baada ya mlo . ni kawaida sana kwa mwana
kubadilisha pattern . mavi ya mwana yana rangi tofauti kwa kawaida utaona rangi hizi tatu
yellow, green au brown ( Green poos are common in a well baby) hata na hivyo kama una wasiwasi ni vema
kuwasiliana na doctor wenu..

kumuogosha mtoto

kwa mtoto mchanga kabisa hakuna haja ya kumuogosha kila siku.. waweza kumuogosha leo kesho
ukamsafisha vizuri tu .. sehemu zote muhimu uso, mikono, bottom, etc...

kama mtoto wako analia sana wakati wa kuogeshwa jaribu hizi njia..
1. usimuogeshe wakati anahisi njaa.
2.Muogeshe kidogo kidogo kuliko kumtumbukiza mwili wote majini.
3.mfune taulo kuanzia kifuani chini muweke taratibu kwenye besinii huku unaondoa taulo
taratibu ( beseni yenye maji ya uvugu vugu)
4. Hakikisha unataulo ndogo juu ya tumbo la mtoto akiwa ndani ya beseni.
5. mdondoshee maji kidogo kidogo juu ya mwili .. usimzamishe mwili wote..
6. USIZAMISHE KICHWA CHA MTOTO MAJINI.. BIG NO...

Dahhhh ninamengi sana kusema kuhusu mtoto mchanga itabidi uniulize maswali unataka kujua nini haswa..
maana ni topic isiyo na mwisho ..

Wow. . . Karibu ntakubali kukuandikia recomendation letter kwaajili ya maombi yako ya kujiunga na chama cha Wakina Mama Wanaoweza Kulea (WMWK). . .
 
Dogo kwani hukupata mafunzo ya kiume? Mwanaume? ukishapata mtoto ratiba yako ibadilike sana jali mtoto na mamake, achana na marafiki na vimada .weka angalizo nyumbani. mtoto anahitaji sana malezo yako baba na *****.
 
pamoja na maelezo yote uliyopewa hapo juu, usijaribu kumbemenda mtoto. Subiri mtoto akuwe. Kwani aliyekwambia hiyo mbunye ya mkeo itaoza ni nani? sasa kuto do na mkeo isiwe ndio sababu ya kutafuta nyumba ndogo. Alieyekwambia kuwa usipotia utaugua ama kufa ni nani? Msaidie mkeo kulea mtoto wenu ili mtoto akujue, akuzoee na akupende. Mwisho be a responsible father
 
Back
Top Bottom