Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,008
Nimetatizwa siku moja na inabidi niulize; hivi mtu anaweza kula huku amelala? Maana nasikia wengine wanaweza kukurupuka usingizini wakapika na kula na kurudi kulala! Wengine hata kukumbuka kuwa walikula hawakumbuki ila wanajua wameshiba! Au wanaacha ushahidi mkubwa kwamba "chakula kilikuwepo". Je ni vizuri kula usingizini? au kusubiri mwenzio yuko usingizini halafu unakula na unajua kuwa hatokumbuka kuwa mlikuwa mle pamoja, wewe unajilia halafu huyo unaendelea kuuchapa usingizi!