mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,037
- 250
jamani wadau, mi napenda kujifunza IT, ninafanya kazi hapa mtwara mjini, kama kuna mdau anaweza nishauri nifanyeje ili niweze jifunza hii fani, yaani kama kuna chuo chenye kutoa mafunzo ktk muda wa ziada, au kama kuna web ambayo naweza pata material nikajifunza mwenyewe, naomba msaada tafadhali