Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Uwakala sitatizo kabisa, kwani watu huaminiana hata kumtuma rafiki yake kwenda Unguja kumwolea, halafu akaletewa mke tayari ndoa imeshafungwa ati!!!
Ati! Unasemaje?
Uwakala sitatizo kabisa, kwani watu huaminiana hata kumtuma rafiki yake kwenda Unguja kumwolea, halafu akaletewa mke tayari ndoa imeshafungwa ati!!!
Ati! Unasemaje?
Uwakala sitatizo kabisa, kwani watu huaminiana hata kumtuma rafiki yake kwenda Unguja kumwolea, halafu akaletewa mke tayari ndoa imeshafungwa ati!!!
Kwanza hii ni habari imekaa ki udaku udaku. Pili, Jengo ni la Zaid Baraka ambaye anadaiwa na TRA, hivyo jengo lake limepigwa mnada ili kulipa deni la TRA. Mhe.Mungai ndiye aliyenunua jengo la Zaid Baraka lililouzwa kwa mnada. Mungai amelinunua jengo hilo kwa bei hiyo, kupitia kwa wakala wake, Vitus Mushi, hivyo risiti imeandikwa jina lake.
Jamaa Iringa ni deal sana kununua Jengo kwa Milioni 315.
Hii siyo issue ila labda ni uthibitisho wa kuwa Mhe. Hajaikimbia nchi ndio maaana anazidi kuwekeza.
Hayo mengine nimekuelewa vizuri, ila Dah!, huo mfano niliowekea rangi kweli ni mgumu sana kueleweka; teh!!! teh!! teh!!! teh!!! ati rafiki yake akafanye nini?
Naona Sir Leem alikuwa akimaanisha kuwa Mungai amelinunua ilo jengo kwa mil315 wakati thani halisi ni mil200.
Na kwa upande mwingine Sir Leem atakuwa anashangazwa na izo senti toka kwa huyu mwekezaji mwenye asili ya Kikenya.
Ndivyo nilivyomuelewa sisi ambao tuna background za ualimu na kuzoea kumark essays mbalimbali.
Kwa upande wangu huyu mzee ana hamu na keko hasa ktk vugu vugu la sasa na hawa mafisadi laweza mkumba bure.Mil 315 ni hela nyingi kwa kada wa chama kama huyu na aliyekuwa wazili zamani tena wa Elimu?
Mkuu
Sasa nakubali Kiswahili nacho Watanzania kinatupa shida. Kunadi vs kununua, wakala vs mdaiwa. Sir Leem, unaweza kutueleza kwa lugha nyingine tukaelewa hata kama tutahitaji mkalimani?
Mkuu, sidhani JF ina members Watanzania pekee. You may never know!
mkuu kumbe ulimuombea mabaya marehem siku nyingi tu duh!!Mungai ni mmoja wa matajiri wenye rasilimali kubwa hapa nchini. Kama ni Marekani labda kuhamishia tuu hiyo nyumba ndogo na yeye kuendelea kwenda kulamba tuu asali ila mzinga amechongea Mufindi Tea Estate na TATEPA. Jamaa anaijua hela, ni jeuri na kiburi cha kina Mkwawa, ni bora afe kuliko kuikimbia nchi.
Pia kwa Mungai ninayemfahamu mimi ni mzee wa Totos dogodogo kuku wa kienyeji, akihamia huko Marekani kuku hao apate wapi?.
kumbe ni uncle?Uncle Mungai?
Mkuu Mwalla, mtu akiishatangulia mbele ya haki, sio busara kuanza kufukua makaburi ya watu walifanya nini au walisema nini huko nyuma. Mtu akiishatangulia mbele ya haki, tumzungumze kwa wema kwa kukumbuka tuu yale mazuri ya merehemu.mkuu kumbe ulimuombea mabaya marehem siku nyingi tu duh!!
HUYO ANAEJIFANYA UNCLE WAKE TUTAMWONA KWENYE KUWEKA MASHADA YA MAUA WAKISEMA SHADA LA TATU WATAWEKA WAJOMBA WA MAREHEMUkumbe ni uncle?
Haya makaburi mengine yanatisha. Ukifukua mchanga wa kurudishia hautoshiNenda, Nenda, Nenda, Nenda Mungai. Nenda Mungai. Msalimie Balali. Mwambie Mgonja naye yupo Keko. Mwambie Mramba kadhaminiwa na wachimba madini. Mwambie Yona kumbe ni mwizi mkubwa kuliko yeye Balali, nyumba ya Yona tu ina thamani ya bilioni 2! kajidhamini mwenyewe!. Mwambie Balali hajakomaa, ameogopa bure. Mwambie Keko kuna VIP rooms. Mramba hakutaka kutoka Keko maana kuna kila kitu. Hata DSTV ipo! Mwambie Balali kuwa wewe umekimbia kwa sababu ni Mkenya. Hivyo "you are on transit" kurudi kwenu Kenya. Ila sasa umeona noma kwenda Kenya moja kwa moja kwa sababu ya kuundwa upya East African Community. Mwambie Balali kuwa mkeo mtanzania umemuacha - karudi kwao Iringa. Nenda, nenda Mungai. Wewe si mwenzetu. Tuache tule nyasi zetu alizotuambia Mramba. Nenda Mungai, Nenda, Nenda, ila utakoma. Mzimu wa Baba yetu maskini Nyerere utakuandama. Mwizi wewe.
DAWA YA KABURI NI KULIJENGEA NA IKIWEZEKANA UNAJENGA NA KA MNARA KAMA LILE KABURI LA NYUNDO PALE LUNDAMATWE FAIDA YAKE WANAOHUSIANA NA MAREHEMU WAKIONA MAMBO YANAWAENDEA SIVYO WATAKWENDA KUSEMBUA KABURI KWA HIYO CCM WAACHENI WASIFUKUE ILA TUKIWABANA UTAONA WANAKWENDA KUSAFISHA AU KUSEMBUA ILI MAREHEMU AKAWAPIGIE MZINGA KWA MUNGUHaya makaburi mengine yanatisha. Ukifukua mchanga wa kurudishia hautoshi