Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Sikuwa mkubwa nyakati hizo nilikuwa na miaka 7 tu.
Nilimwona wakati akipiga Kampeni za Ubunge kwa mara ya kwanza huku kauramba shati la Haki ya Mungu( Lile lisilo na kola)
Hivyo ndivyo nilivyokuwa utotoni.
Sasa nikiweka picha ya mwaka huu utatoa comments gani!
Shati la HAKI YA MUNGU siyo? Unakuwa kama unaapa na kupeleka kidole shingoni ehhh?? Umenivunja mbavu.
Juu ya picha umenikumusha wimbo wa twanga pepeta sijui? Jamaa anasema "mnasema nimekunywa bia, na mimi sijanywa bia, nikinywa je, itakuwaje...?" Yaani kama hiyo ni ya utoto, ya ukubwani je? Wengine hubadilika ukwani.