mi naomba tu kujua,baada ya baba mkwe kuondoka jamaa yako alifanyaje?alit** kweli?
mi naomba tu kujua,baada ya baba mkwe kuondoka jamaa yako alifanyaje?alit** kweli?
Sasa hapo ajitetee nini ?, Kwani kafanya kosa gani ?
Kukutana na binti hotelini ?, kwani hakuna kazi zinazoweza kufanyika hotelini baina ya binti na kaka..
Hapo atunge tu story ya kikazi yoyote ambayo ilibidi ifanyike hapo hotelini, either sababu ya usiri au confidentiality ya hio kazi ilibidi ifanyike kwenye hio hoteli (mfano labda aseme ni deal baina ya yeye, huyo binti na mwenye hoteli, au group yao ilikuwa na meeting kwenye hio hoteli)
Yaani watu wanashikwa wakiwa na suruali kwenye magoti wanajitetea ije kuwa hii ya kupokea binti hotelini ?