qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
Hii story ni kutoka kwa jamaa yangu ameniomba ushauri:
ilikuwa juzi,mkewe alikwenda kwako kutembelea(kwao na mkewe ni mjini pia)
Aidha baba mkwewe ni dreva tax.
sasa jamaa yangu akaenda hotel moja mjini akampigia nyumba yake nogo imfuate hotelini,nyumba ndogo ilipofika ikamuomba pesa ili ilipe dreva tax ,jamaa akampa sh elfu 10,000 kwa minajili ya kutoa sh 5,000 lakini dereva tax akadai nauli ni sh 7,000 hivyo yule bint akagoma kutoa fedha,akairudisha kwa jamaa yangu akamtaka aende aelewane na dreva tax,jamaa akiwa na hasira akamwendea tereva tax.kutupa macho ana kwa ana na baba mkwe,baba mkwe akatingisha kichwa na kuondoka bila kupewa nauli.
mkewe jamaa hajarudi na alipopigiwa simu hakuleza chochote(means baba mkwe hajamweleza).
sasa huyu jamaa yangu hafanye nini?
ilikuwa juzi,mkewe alikwenda kwako kutembelea(kwao na mkewe ni mjini pia)
Aidha baba mkwewe ni dreva tax.
sasa jamaa yangu akaenda hotel moja mjini akampigia nyumba yake nogo imfuate hotelini,nyumba ndogo ilipofika ikamuomba pesa ili ilipe dreva tax ,jamaa akampa sh elfu 10,000 kwa minajili ya kutoa sh 5,000 lakini dereva tax akadai nauli ni sh 7,000 hivyo yule bint akagoma kutoa fedha,akairudisha kwa jamaa yangu akamtaka aende aelewane na dreva tax,jamaa akiwa na hasira akamwendea tereva tax.kutupa macho ana kwa ana na baba mkwe,baba mkwe akatingisha kichwa na kuondoka bila kupewa nauli.
mkewe jamaa hajarudi na alipopigiwa simu hakuleza chochote(means baba mkwe hajamweleza).
sasa huyu jamaa yangu hafanye nini?