Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 203
Mod! tunaogopa ban kwa mchokozi kama huyu. tusaidie kuondoa utumbo kama huu ili kutuokoa na ban
Hivi kama mtu hajaelewa kitu ni vibaya kuuliza?? na kama huwezi kujibu ni bora uuchune kuliko kuandika maneno ya kuudhi kama hayo nadhani wewe ndio unanitafutia ban mimi na u pupu wako ulioandika hapo kwani ni kosa kuuliza?