Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
LOWASSA ana roho ya paka, na ndiye amebeba robo ya "roho" ya CCM!
Huyu Lowassa atatuumizia akili za kaka yetu Pasco.
Lowassa, he will never be a President of this Republic hata akigombea na Jiwe ni uhakika kuwa Jiwe litashinda. Lowassa ni mmoja waliomo kwenye list of Shame, alitajwa na rais wetu Dr Slaa kuwa ni fisadi kama Kikwete alivyo, still no difference mwizi ni mwzi tu hata ukimpa manyoya ya kuku bado ataiba hata mavi ya kuku.
Pasco you real need help ASAP
Quote: NB. Japo Pasco wa JF sio mwanachama wa Chama chochote cha siasa, kwa CCM ni Pro Lowassa, kwa Chadema ni Pro ZZK na kwa CUF ni Pro-Jussa!.
..Leo ndio nimekusoma itikadi yako Brother Pasco!!. Leka Tutigite
Pasco, imekuwaje umekuwa rahisi kiasi hicho?!! Yaani two- series za kipindi cha Kipima Joto cha ITV kuhusu Lowasa zimetosha kukununua?! Are you cheap to such an extent?
Achilia mbali hizo dakika 90 ulizomsikiliza; sisi tumeuona utendaji wake wa kazi, alishakuwa waziri kwa miaka mingi tu huko nyuma na akawa Waziri mkuu kwa miaka miwili na kitu hivi, na huo utendaji wake ndiyo ulimfikisha hapo alipo! Kama aliibeba mizigo ya watu asiikatae mapema wakati hiyo mizigo inaandaliwa? Angeonekana wa maana sana kama angekataa kubeba mizigo ya watu kwa maslahi ya watanzania.
Hivi unayemsema ni huyu huyu Lowasa aliyeshindwa kuelezea uhalali wa mali zake alipoulizwa na Nyerere wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ccm mwaka 1995?
1. Uwezo wa Kupanga, Kusema, Kusimamia na Kutenda.
Viongozi karibu wote waliopo CCM, wana uwezo mkubwa sana kupanga wa kusema tuu, (Mkukuta, Mkumbita, Mkurabita, Mkuza, na sasa Dira 2025), lakini hawana uwezo wa kusimamia na kutenda!, mipango mingi iliyopangwa, inaishia kwenye maneno na vitendo sifuri!. Edward Lowassa sio msemaji, bali ni mtendaji, yeye sio mtu wa maneno mingi, ni mtu wa vitendo virefu, he is an action oriented man!.
Mkuu Mwita Maranya, uwezo wa EL unafahamika, power yake kubwa ni pamoja na uwezo wa kufanya maamuzi magumu, la kujiuzulu likiwa ni mojawapo. Naomba nisiorodheshe aliyoyafanya maana nitaongezewa sana bahasha za kumpigia debe, ila ni kweli 1995 alienguliwa kwa kosa la utajiri, jee mpaka 2015, utajiri ni dhambi?.Mambo mengine mtu unapoyaandika ama kuyazungumza unahitaji walau dakika mbili za kuyatafakari.
Huyu lowasa wa monduli tunayemfahamu ndiye mtu wa vitendo ama ni mwingine?
Pasco unaweza kutueleza hapa ni vitu gani tangible ambavyo Tanzania kama taifa tumenufaika na utumishi wa lowasa tangu akiwa AICC hadi akiwa naibu waziri na waziri katika wizara mbalimbali na hatimaye kuwa waziri mkuu?? sitaki uniambie porojo nataka unitajie vitu ambavyo alikaa chini akafikiria na kuvianzisha kisha akavisimamie utekelezaji wake.
Usiniambie habari ya shule za kata kwani hilo ni wazo "aliloliiba" kutoka kwa watanzania wazalendo wa kweli. Pasco labda nikufahamishe kwamba sisi wilyani Serengeti tulipitisha uamuzi wa kujenga shule ya sekondari kila kata na kuanzia mwaka 1998/1999 tulikuwa tumejenga ama kuanza ujenzi wa shule za sekaondari katika kila kata. Nakumbuka shule nyingi za kata zilifunguliwa kati ya mwaka 1999-2000. Wakati huo lowasa wa monduli hajui kama atakuja kuwa waziri mkuu wa nji hii.
Sasa pasco nikumbushe kingine alichofanya lowasa wa monduli zaidi ya kujilimbikizia mali kiasi kwamba alipogombea uraisi mwaka 1995 mwalimu Nyerere alipomhoji ni wapi alipopata huo utajiri wake alishindwa kumjibu na akatolewa katika kinyang'anyiro.
Mkuu Henge, sijauzwa wala sijanunulika, ila mimi kama mwandishi wa kujitegemea, naandika habari niiuze ndio nipate kula yangu, sasa ikitokea mtu akanilipa kuandika na kuposti humu jf, huoni s/he made my job easier, hivyo sasa jf ndio ofisini kwangu, na ndio maana nashinda humu 24/7, kuna ubaya?.pasco umeuzwa na umenunulika daaah SORRY BROTHER!
Mkuu Cynic, nimewatukana kivipi?.Pasco hapa sana sana ulichofanya ni kwamba umetutukana wtz
Mkuu Jibaba Bonge, kwanza nakiri udhaifu, mimi ni very cheap, kwa kifupi sina bei kabisa!, dakika 15 tuu zingetosha, hivyo hizo 90 ndio kabisa nimemconfirm huyu jamaa ndie the best we have so far, unless otherwise!.Pasco, imekuwaje umekuwa rahisi kiasi hicho?!! Yaani two- series za kipindi cha Kipima Joto cha ITV kuhusu Lowasa zimetosha kukununua?! Are you cheap to such an extent?
Achilia mbali hizo dakika 90 ulizomsikiliza; sisi tumeuona utendaji wake wa kazi, alishakuwa waziri kwa miaka mingi tu huko nyuma na akawa Waziri mkuu kwa miaka miwili na kitu hivi, na huo utendaji wake ndiyo ulimfikisha hapo alipo! Kama aliibeba mizigo ya watu asiikatae mapema wakati hiyo mizigo inaandaliwa? Angeonekana wa maana sana kama angekataa kubeba mizigo ya watu kwa maslahi ya watanzania.
Hivi unayemsema ni huyu huyu Lowasa aliyeshindwa kuelezea uhalali wa mali zake alipoulizwa na Nyerere wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ccm mwaka 1995?
Mkuu Ze Marcopolo, sio obsession kwa sababu sababu pia nimeziweka, siku zote huwa nawaambia humu, kama na ninyi mnao watu wenu wowote ambao ni bora zaidi ya EL, watajeni waleteni!, kwa uono wangu, CCM has no one else better than EL akifuatiwa na Membe, who else?.Tanzania ina watu zaidi ya milioni 40. zoezi la sensa linaweza kutuambia tuko mil 50!
Kuwa obsessed na mtu mmoja katika nchi yenye watu wengi kiasi hicho ni tatizo.
Mkuu Ze Marcopolo, sio obsession kwa sababu sababu pia nimeziweka, siku zote huwa nawaambia humu, kama na ninyi mnao watu wenu wowote ambao ni bora zaidi ya EL, watajeni waleteni!, kwa uono wangu, CCM has no one else better than EL akifuatiwa na Membe, who else?.