Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Pasco, imekuwaje umekuwa rahisi kiasi hicho?!! Yaani two- series za kipindi cha Kipima Joto cha ITV kuhusu Lowasa zimetosha kukununua?! Are you cheap to such an extent?

Achilia mbali hizo dakika 90 ulizomsikiliza; sisi tumeuona utendaji wake wa kazi, alishakuwa waziri kwa miaka mingi tu huko nyuma na akawa Waziri mkuu kwa miaka miwili na kitu hivi, na huo utendaji wake ndiyo ulimfikisha hapo alipo! Kama aliibeba mizigo ya watu asiikatae mapema wakati hiyo mizigo inaandaliwa? Angeonekana wa maana sana kama angekataa kubeba mizigo ya watu kwa maslahi ya watanzania.

Hivi unayemsema ni huyu huyu Lowasa aliyeshindwa kuelezea uhalali wa mali zake alipoulizwa na Nyerere wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ccm mwaka 1995?
 
Huyu Lowassa atatuumizia akili za kaka yetu Pasco.

Lowassa, he will never be a President of this Republic hata akigombea na Jiwe ni uhakika kuwa Jiwe litashinda. Lowassa ni mmoja waliomo kwenye list of Shame, alitajwa na rais wetu Dr Slaa kuwa ni fisadi kama Kikwete alivyo, still no difference mwizi ni mwzi tu hata ukimpa manyoya ya kuku bado ataiba hata mavi ya kuku.

Pasco you real need help ASAP

.....Sidhani kama afya yake itamruhusu...anyway, hata kama atafika y2015 hataweza hata kuongea tena...atakuwa kitandani....binafsi natamani sote tufike hiyo y2015 ili tujioneee...lakini afya ya mwenzetu EL, inasua-sua!!

Mark my words!

 
He is good but ni babu jamani, alikuwa wapi siku zote kupigania masilahi ya nchi mpaka aje wakati keshaanza tetemeka?
 
Aje.aje,atajua kuwa waTZ tuko wengi sasa na tumeenda shule,kwanini majina yaleyale tu kwani hakuna wengine?kama ni hivyo wamfufue nyerere agombee tena,tumeshachoka na majina yaleyale kila siku,tuoneeni huruma sasa alaa!!!!!
 
Quote: NB. Japo Pasco wa JF sio mwanachama wa Chama chochote cha siasa, kwa CCM ni Pro Lowassa, kwa Chadema ni Pro ZZK na kwa CUF ni Pro-Jussa!.

..Leo ndio nimekusoma itikadi yako Brother Pasco!!. Leka Tutigite

i wish ningekuwa namjua huyu jamaa maana atakuwa anapata vihela hela aliowataja hapo wote ni very corrupt. Amini usiamini hao wote ni matajiri sana na wanajua kuhonga. Nimekuwa nikijiuliza huyu Pasco usimtaje zito kwa lolote anakurupuka tena kwa speed, mara JK constructive opinion sijui. Hutafika mbali
 
Pasco, imekuwaje umekuwa rahisi kiasi hicho?!! Yaani two- series za kipindi cha Kipima Joto cha ITV kuhusu Lowasa zimetosha kukununua?! Are you cheap to such an extent?

Achilia mbali hizo dakika 90 ulizomsikiliza; sisi tumeuona utendaji wake wa kazi, alishakuwa waziri kwa miaka mingi tu huko nyuma na akawa Waziri mkuu kwa miaka miwili na kitu hivi, na huo utendaji wake ndiyo ulimfikisha hapo alipo! Kama aliibeba mizigo ya watu asiikatae mapema wakati hiyo mizigo inaandaliwa? Angeonekana wa maana sana kama angekataa kubeba mizigo ya watu kwa maslahi ya watanzania.

Hivi unayemsema ni huyu huyu Lowasa aliyeshindwa kuelezea uhalali wa mali zake alipoulizwa na Nyerere wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ccm mwaka 1995?

Ni lini Pasco amekuwa mgumu, he is always easy going
 
1. Uwezo wa Kupanga, Kusema, Kusimamia na Kutenda.
Viongozi karibu wote waliopo CCM, wana uwezo mkubwa sana kupanga wa kusema tuu, (Mkukuta, Mkumbita, Mkurabita, Mkuza, na sasa Dira 2025), lakini hawana uwezo wa kusimamia na kutenda!, mipango mingi iliyopangwa, inaishia kwenye maneno na vitendo sifuri!. Edward Lowassa sio msemaji, bali ni mtendaji, yeye sio mtu wa maneno mingi, ni mtu wa vitendo virefu, he is an action oriented man!.

Mambo mengine mtu unapoyaandika ama kuyazungumza unahitaji walau dakika mbili za kuyatafakari.
Huyu lowasa wa monduli tunayemfahamu ndiye mtu wa vitendo ama ni mwingine?
Pasco unaweza kutueleza hapa ni vitu gani tangible ambavyo Tanzania kama taifa tumenufaika na utumishi wa lowasa tangu akiwa AICC hadi akiwa naibu waziri na waziri katika wizara mbalimbali na hatimaye kuwa waziri mkuu?? sitaki uniambie porojo nataka unitajie vitu ambavyo alikaa chini akafikiria na kuvianzisha kisha akavisimamie utekelezaji wake.

Usiniambie habari ya shule za kata kwani hilo ni wazo "aliloliiba" kutoka kwa watanzania wazalendo wa kweli. Pasco labda nikufahamishe kwamba sisi wilyani Serengeti tulipitisha uamuzi wa kujenga shule ya sekondari kila kata na kuanzia mwaka 1998/1999 tulikuwa tumejenga ama kuanza ujenzi wa shule za sekaondari katika kila kata. Nakumbuka shule nyingi za kata zilifunguliwa kati ya mwaka 1999-2000. Wakati huo lowasa wa monduli hajui kama atakuja kuwa waziri mkuu wa nji hii.

Sasa pasco nikumbushe kingine alichofanya lowasa wa monduli zaidi ya kujilimbikizia mali kiasi kwamba alipogombea uraisi mwaka 1995 mwalimu Nyerere alipomhoji ni wapi alipopata huo utajiri wake alishindwa kumjibu na akatolewa katika kinyang'anyiro.
 
Last edited by a moderator:
Mambo mengine mtu unapoyaandika ama kuyazungumza unahitaji walau dakika mbili za kuyatafakari.
Huyu lowasa wa monduli tunayemfahamu ndiye mtu wa vitendo ama ni mwingine?
Pasco unaweza kutueleza hapa ni vitu gani tangible ambavyo Tanzania kama taifa tumenufaika na utumishi wa lowasa tangu akiwa AICC hadi akiwa naibu waziri na waziri katika wizara mbalimbali na hatimaye kuwa waziri mkuu?? sitaki uniambie porojo nataka unitajie vitu ambavyo alikaa chini akafikiria na kuvianzisha kisha akavisimamie utekelezaji wake.

Usiniambie habari ya shule za kata kwani hilo ni wazo "aliloliiba" kutoka kwa watanzania wazalendo wa kweli. Pasco labda nikufahamishe kwamba sisi wilyani Serengeti tulipitisha uamuzi wa kujenga shule ya sekondari kila kata na kuanzia mwaka 1998/1999 tulikuwa tumejenga ama kuanza ujenzi wa shule za sekaondari katika kila kata. Nakumbuka shule nyingi za kata zilifunguliwa kati ya mwaka 1999-2000. Wakati huo lowasa wa monduli hajui kama atakuja kuwa waziri mkuu wa nji hii.

Sasa pasco nikumbushe kingine alichofanya lowasa wa monduli zaidi ya kujilimbikizia mali kiasi kwamba alipogombea uraisi mwaka 1995 mwalimu Nyerere alipomhoji ni wapi alipopata huo utajiri wake alishindwa kumjibu na akatolewa katika kinyang'anyiro.
Mkuu Mwita Maranya, uwezo wa EL unafahamika, power yake kubwa ni pamoja na uwezo wa kufanya maamuzi magumu, la kujiuzulu likiwa ni mojawapo. Naomba nisiorodheshe aliyoyafanya maana nitaongezewa sana bahasha za kumpigia debe, ila ni kweli 1995 alienguliwa kwa kosa la utajiri, jee mpaka 2015, utajiri ni dhambi?.
 
pasco umeuzwa na umenunulika daaah SORRY BROTHER!
Mkuu Henge, sijauzwa wala sijanunulika, ila mimi kama mwandishi wa kujitegemea, naandika habari niiuze ndio nipate kula yangu, sasa ikitokea mtu akanilipa kuandika na kuposti humu jf, huoni s/he made my job easier, hivyo sasa jf ndio ofisini kwangu, na ndio maana nashinda humu 24/7, kuna ubaya?.
 
Pasco, imekuwaje umekuwa rahisi kiasi hicho?!! Yaani two- series za kipindi cha Kipima Joto cha ITV kuhusu Lowasa zimetosha kukununua?! Are you cheap to such an extent?

Achilia mbali hizo dakika 90 ulizomsikiliza; sisi tumeuona utendaji wake wa kazi, alishakuwa waziri kwa miaka mingi tu huko nyuma na akawa Waziri mkuu kwa miaka miwili na kitu hivi, na huo utendaji wake ndiyo ulimfikisha hapo alipo! Kama aliibeba mizigo ya watu asiikatae mapema wakati hiyo mizigo inaandaliwa? Angeonekana wa maana sana kama angekataa kubeba mizigo ya watu kwa maslahi ya watanzania.

Hivi unayemsema ni huyu huyu Lowasa aliyeshindwa kuelezea uhalali wa mali zake alipoulizwa na Nyerere wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ccm mwaka 1995?
Mkuu Jibaba Bonge, kwanza nakiri udhaifu, mimi ni very cheap, kwa kifupi sina bei kabisa!, dakika 15 tuu zingetosha, hivyo hizo 90 ndio kabisa nimemconfirm huyu jamaa ndie the best we have so far, unless otherwise!.

Kosa la EL ni kuwa na nidhamu ya hali ya juu, nidhamu ni kutenda kila unaloambiwa bila kuuliza chochote, na baada ya kukamilisha kazi ndipo una lodge complain, safari ya kuelekea 2015 imeanza, tutakafika darajani, ataitua mizigo yote ili atuvushe salama!.
 
Naona PASCO tatizo halisi la NYINYIEM siyo individuals ni tatizo la kimfumo ni tatizo la kitaasisi EL kama EL hata afanyaje hawezi kuubadili... aidha je, unajua alipoenda kwa TB Joshua Nigeria aliambiwa nini? Mtafute umuulize atakwambia.... IN short anajua HE IS NOT THE NEXT PRESIDA wa Tanzania.... na CCM wanajua wakimsimamisha... IMEKULA kwao! Na hawatamsimamisha take it from me! Sasa kinyume chake wakimsimamisha CDM ndio watachukua NCHI kama wananawa!
 
Tanzania ina watu zaidi ya milioni 40. zoezi la sensa linaweza kutuambia tuko mil 50!
Kuwa obsessed na mtu mmoja katika nchi yenye watu wengi kiasi hicho ni tatizo.
Mkuu Ze Marcopolo, sio obsession kwa sababu sababu pia nimeziweka, siku zote huwa nawaambia humu, kama na ninyi mnao watu wenu wowote ambao ni bora zaidi ya EL, watajeni waleteni!, kwa uono wangu, CCM has no one else better than EL akifuatiwa na Membe, who else?.
 
CCMabwepande wasipomsimamisha EL wajue wameliwa!!hata kubali ataisambaratisha kabisa na watajuta!
 
Pasco nakumbuka miezi si mingi ulikuwa umemuasi kipenzi chako EL vipi amekununua tena? Tukumbuke hii

 
Mkuu Ze Marcopolo, sio obsession kwa sababu sababu pia nimeziweka, siku zote huwa nawaambia humu, kama na ninyi mnao watu wenu wowote ambao ni bora zaidi ya EL, watajeni waleteni!, kwa uono wangu, CCM has no one else better than EL akifuatiwa na Membe, who else?.

Well, I think you have to reverse the order...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom