Huwa wananufaika kwa kuwaelimisha wanachama wake na pia kuwawezesha wanapokuwa katika shughuli za kichama na haswa wakati wa uchaguzi. Kubwa zaidi kulinda kura mpaka zihesabiwe na kutangazwa.Kwahiyo chadema inaweza kunufaika vipi na hali mbaya ya uchumi na ya kielimu ili waweze kuipiku ccm kwa wingi wa kura?kuwalipa zaidi ya wanavyolipwa na ccm?