Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,495
- 113,592
Wanabodi,
Kuna msemo usemao numbers don't lie, hili ni bandiko la numbers na data, kama sio mzuri wa mathematics na arithmetics nakushauri bandiko hili bora ulipitie mbali and save your time and money kwasababu time is money.
Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu Mkuu jogi,
Mkuu jogi, [/SIZE][/COLOR] japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza Tanzania ni li zimwi CCM". Kwanza samahani sana kwa kutokubaliana na maoni yako kwasababu you are not right!, lakini bado nayaheshimu maoni yako, japo sikukubalini nayo!. Kitu ambacho nakubaliana na wewe kuhusu CCM, ni kweli CCM ni li zimwi, na kanuni ya zimwi siku zote ni "zimwi likujualo halikuli likakwishwa", hivyo Watanzania wanaendelea kulichagua hili zimwi CCM kwasababu ndilo zimwi walijualo!. Adui mkubwa wa Watanzania sio hili zimwi CCM, bali wale wanaolifuga hili zimwi, kulilea kwa kulipa chakula ili liendelee kuishi na kuendelea kutunyonya damu Watanzania!.
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo ili waendelee kuilea na kuitunza!. That simply means, tatizo sio CCM bali ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and let it plays games of mind on us again and again na sisi Watanzania tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni kwasababu hakuna mbadala wa CCM, bora shetani unayemjua kuliko shetani usiye mjua!, (better a devil you know than a devil you don't know).
2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi na concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo!.
5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and it is expected to be hitting them very hard where it hurts more from within, kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo hicho kwa serikali ya SUK from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar hakuna namna ya kuikoa CCM, CCM Zanzibar is a dead walking horse waiting for its dying kick!, CUF ni njia nyeupe!.
6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi ni nani!, na sasa imejielekeza kwa wananchi wa grassroots level ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concentration ikiwekwa kwenye "changing the mindset" ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu yaani making informed decisions, Wananchi, watafunguka macho na akili, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.
7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini tofauti na CCM, na ukichagua upinzani kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani. Yaani Wapinzani wawape Watanzania reasons za not kuchagua CCM na sio kuibadili tuu badala ya kuichagua CCM waichague Chadema for what?.
8. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! niliwaeleza Chadema kuwa wao na wapinzani wengine wote bado wako kiuana harakati zaidi, yaani vyama vya kiuana harakati, bado hawajipanga mkao wa kichama tawala tayari kwa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.
9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema tena na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwasha au dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kulitakia mema taifa hili, wakiwemo wana CCM Wazalendo ambao ni CCM contemporary!.
10. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!. Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.
11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.
12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye 2015 hatakuwa mke tena, bali atageuka mume kule Zanzibar, CUF ndiye kidume cha Zanzibar 2015 na kumuoa huyo mume aliyenae sasa 2015 ategeuzwa mke!.
13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.
14. Voting statistics[/SIZE][/COLOR]
Tanzania: 2010 Presidential election results
Updated January 2010
The United Republic of Tanzania elections for parliament and the presidency were held on 31 October 2010.
Voting statistics
Registered Voters 20 137 303
Total votes 8 626 283
% Turnout 42.84
Valid votes 8 398 394
Spoilt votes 227 889
% Spoilt votes 2.64
Table source
Commonwealth 2010, 31.
Results
Candidate Party Votes % Vote
Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5 276 827 62.83
WP Slaa Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2 271 941 27.05
Ibrahim Lipumba Civic United Front (CUF) 695 667 8.28
Peter Mziray Kuga Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96 933 1.15
Rungwe Hashim Spunda National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26 388 0.31
Muttamwega Bhatt Mgaywa Tanzania Labour Party (TLP) 17 462 0.21
Yahmi Nassoro Dovutwa United People's Democratic Party (UPDP) 13 176 0.16
Total
8 398 394 99.99
Table source
Commonwealth 2010, 31.
References
COMMONWEALTH 2010 Report of the Commonwealth Observer Group: Tanzania General Elections 31 October 2010.
15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!
16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 30, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 5 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 25 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM! na Watanzania wengi zaidi ambao hawajiandikishi na hata wakijiandikisha hawajitokezi kupiga kura!. The magic ni uhamasishaji na reaching out kuwafikia!.
17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote -haswa hawa grassroots level na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea maandamano na mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of "changing the mindset" ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV and convert chumba kimoja pale Ufipa into a modern studio! na kuwa na YouTube Channel yake ya live stream na active interactive social media pages, Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu! CCM ina media yake na TV yake ya TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2015 ni CCM tena! .
Wasalaam.
Paskali
NB. Paskali, sasa ni mwanachama, mfuasi na mshabiki wa chama fulani cha siasa, in fact ni kada!. Lakini ni kada Mzalendo contemporary mwenye kutanguliza mbele utaifa na maslahi ya taifa ndio maana licha ya kuwa kada wa chama kingine bado anawashauri vyama vingine the right thing to do.
Kuna msemo usemao numbers don't lie, hili ni bandiko la numbers na data, kama sio mzuri wa mathematics na arithmetics nakushauri bandiko hili bora ulipitie mbali and save your time and money kwasababu time is money.
Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu Mkuu jogi,
Kutokana na kauli hiyo, ya Mkuu jogi, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe adui yetu mkuu sio CCM, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani kwa huku bara, chenye kuonyesha angalau angalau mwelekeo wa matumaini ya posibility ya uwezekano wa kuwezekanika wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania kwa kuipumzisha CCM!.mkuu Paskali, Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM.
Mkuu jogi, [/SIZE][/COLOR] japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza Tanzania ni li zimwi CCM". Kwanza samahani sana kwa kutokubaliana na maoni yako kwasababu you are not right!, lakini bado nayaheshimu maoni yako, japo sikukubalini nayo!. Kitu ambacho nakubaliana na wewe kuhusu CCM, ni kweli CCM ni li zimwi, na kanuni ya zimwi siku zote ni "zimwi likujualo halikuli likakwishwa", hivyo Watanzania wanaendelea kulichagua hili zimwi CCM kwasababu ndilo zimwi walijualo!. Adui mkubwa wa Watanzania sio hili zimwi CCM, bali wale wanaolifuga hili zimwi, kulilea kwa kulipa chakula ili liendelee kuishi na kuendelea kutunyonya damu Watanzania!.
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo ili waendelee kuilea na kuitunza!. That simply means, tatizo sio CCM bali ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and let it plays games of mind on us again and again na sisi Watanzania tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni kwasababu hakuna mbadala wa CCM, bora shetani unayemjua kuliko shetani usiye mjua!, (better a devil you know than a devil you don't know).
2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi na concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo!.
5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and it is expected to be hitting them very hard where it hurts more from within, kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo hicho kwa serikali ya SUK from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar hakuna namna ya kuikoa CCM, CCM Zanzibar is a dead walking horse waiting for its dying kick!, CUF ni njia nyeupe!.
6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi ni nani!, na sasa imejielekeza kwa wananchi wa grassroots level ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concentration ikiwekwa kwenye "changing the mindset" ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu yaani making informed decisions, Wananchi, watafunguka macho na akili, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.
7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini tofauti na CCM, na ukichagua upinzani kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani. Yaani Wapinzani wawape Watanzania reasons za not kuchagua CCM na sio kuibadili tuu badala ya kuichagua CCM waichague Chadema for what?.
8. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! niliwaeleza Chadema kuwa wao na wapinzani wengine wote bado wako kiuana harakati zaidi, yaani vyama vya kiuana harakati, bado hawajipanga mkao wa kichama tawala tayari kwa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.
9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema tena na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwasha au dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kulitakia mema taifa hili, wakiwemo wana CCM Wazalendo ambao ni CCM contemporary!.
10. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!. Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.
11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.
12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye 2015 hatakuwa mke tena, bali atageuka mume kule Zanzibar, CUF ndiye kidume cha Zanzibar 2015 na kumuoa huyo mume aliyenae sasa 2015 ategeuzwa mke!.
13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.
14. Voting statistics[/SIZE][/COLOR]
Tanzania: 2010 Presidential election results
Updated January 2010
The United Republic of Tanzania elections for parliament and the presidency were held on 31 October 2010.
Voting statistics
Registered Voters 20 137 303
Total votes 8 626 283
% Turnout 42.84
Valid votes 8 398 394
Spoilt votes 227 889
% Spoilt votes 2.64
Table source
Commonwealth 2010, 31.
Results
Candidate Party Votes % Vote
Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5 276 827 62.83
WP Slaa Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2 271 941 27.05
Ibrahim Lipumba Civic United Front (CUF) 695 667 8.28
Peter Mziray Kuga Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96 933 1.15
Rungwe Hashim Spunda National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26 388 0.31
Muttamwega Bhatt Mgaywa Tanzania Labour Party (TLP) 17 462 0.21
Yahmi Nassoro Dovutwa United People's Democratic Party (UPDP) 13 176 0.16
Total
8 398 394 99.99
Table source
Commonwealth 2010, 31.
References
COMMONWEALTH 2010 Report of the Commonwealth Observer Group: Tanzania General Elections 31 October 2010.
15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!
16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 30, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 5 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 25 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM! na Watanzania wengi zaidi ambao hawajiandikishi na hata wakijiandikisha hawajitokezi kupiga kura!. The magic ni uhamasishaji na reaching out kuwafikia!.
17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote -haswa hawa grassroots level na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea maandamano na mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of "changing the mindset" ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV and convert chumba kimoja pale Ufipa into a modern studio! na kuwa na YouTube Channel yake ya live stream na active interactive social media pages, Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu! CCM ina media yake na TV yake ya TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2015 ni CCM tena! .
Wasalaam.
Paskali
NB. Paskali, sasa ni mwanachama, mfuasi na mshabiki wa chama fulani cha siasa, in fact ni kada!. Lakini ni kada Mzalendo contemporary mwenye kutanguliza mbele utaifa na maslahi ya taifa ndio maana licha ya kuwa kada wa chama kingine bado anawashauri vyama vingine the right thing to do.