Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...

Mkuu Molemo, kama umenisoma vizuri nimeeleza mazingira ya ushirikiano na kusisitiza kuwa Chadema itake isitake, ni LAZIMA ishirikieane na wengine!.

Katiba mpya itatamka wazi kuwa ili chama kitawale Tanzania, lazima kipate kura za sehemu zote za Muungano!. CCM tayari inazo kura zake Zanzibar, na CUF inazo kura zake Zanzibar, to be honest, I don't see kura za Chadema Zanzibar, hivyo hata Chadema washinde kwa 98% ya kura za bara, wataishia kuwa disqualified kwa kwa technical knock out kwa kukosa kura za Zanzibar!. Mark my words!.

No, wait a minute Pasco, Ina maana mpo mnaojua au mliokwisha iona draft ya Katiba mpya?
Suppose wabara wakadai nchi yao? Watu tusipokuwa makini hapa hili litasababisha pata shika. Hivi Pasco, unavyosema hivyo una maanisha kuwa kwako wewe uwiano uliopo wa idadi ya wananchi Tanzania bara na Zanzibar ni haki kwa watu wa bara kuwa wanaamuliwa uongozi wa nchi na wachache Zanzibar milele bila ukomo?. Sasa nimeamini 100% kuwa jinsi muungano ulivyoundwa upo kwa ajili ya kudhoofisha na kuua upinzani kutoka pande zote na kwamba hapatatokea upinzani kuchukua uongozi wa nchi. Na hapa ndiyo inathibitika wazi sababu zinazopelekea CCM kutamka kila mara kuwa watatawala milele. Na bila shaka sasa ni wakati kabisa wa kuuweka huu muungano uwe wa sayari hii, au serikali moja nchi nzima au serikali tatu. Hakuna kitakachokuwa sahihi nje ya hapo.
 
You are dreaming!
Kwa hiyo CDM haipatagi hata kura moja Zanzibar? Mbona husemi uchaguzi Jimbo la Uzini CDM ilishika nafasi ya pili? Kwa hiyo CDM ikipata kura 70% za urais itashindwa kutawazwa waipe CCM itakayokuwa imepata 25% kwa vile imepata kura nyingi Zanzibar? You are dreaming.Mark my words!
Once a dreamer, always a dreamer!, Pasco wa jf is a dreamer and his dreams will come true!. Mark my words, my my dreams!. Please keep records of these dates na tutakumbushana humu humu!. Uchaguzi ni Jumapili October 25, 2015!. Matokeo ya urais ni Ijumaa 30 October 2015!. Rais mpya ataapishwa Saa 6 kamili mchana, Jumamosi October 31, 2015!, Subiria ni nani, wa chama gani na kwanini!.
 
No, wait a minute Pasco, Ina maana mpo mnaojua au mliokwisha iona draft ya Katiba mpya?
Suppose wabara wakadai nchi yao? Watu tusipokuwa makini hapa hili litasababisha pata shika. Hivi Pasco, unavyosema hivyo una maanisha kuwa kwako wewe uwiano uliopo wa idadi ya wananchi Tanzania bara na Zanzibar ni haki kwa watu wa bara kuwa wanaamuliwa uongozi wa nchi na wachache Zanzibar milele bila ukomo?. Sasa nimeamini 100% kuwa jinsi muungano ulivyoundwa upo kwa ajili ya kudhoofisha na kuua upinzani kutoka pande zote na kwamba hapatatokea upinzani kuchukua uongozi wa nchi. Na hapa ndiyo inathibitika wazi sababu zinazopelekea CCM kutamka kila mara kuwa watatawala milele. Na bila shaka sasa ni wakati kabisa wa kuuweka huu muungano uwe wa sayari hii, au serikali moja nchi nzima au serikali tatu. Hakuna kitakachokuwa sahihi nje ya hapo.
Mkuu MpendaTz, hakuna aliyeona draft ya katiba mpya bali nakufunulia tuu kama Ufunuo wa Yohana!. Muungano wetu ni wa nchi mbili zenye haki sawa. Usawa huu hauko based in idadi ya watu, hata kama Bara wako 99 na Zanzibar yuko mmoja tuu, rais ajaye wa Tanzania atakuwa rais tuu baada ya kupata kura 51% majority ya pande zote za muungano, chini ya hapo ni re-run au serikali ya mseto!.
 
Mkuu MpendaTz, hakuna aliyeona draft ya katiba mpya bali nakufunulia tuu kama Ufunuo wa Yohana!. Muungano wetu ni wa nchi mbili zenye haki sawa. Usawa huu hauko based in idadi ya watu, hata kama Bara wako 99 na Zanzibar yuko mmoja tuu, rais ajaye wa Tanzania atakuwa rais tuu baada ya kupata kura 51% majority ya pande zote za muungano, chini ya hapo ni re-run au serikali ya mseto!.
Nimeupenda ujasiri wako wa Ufunuo wa Yohana. Ni jambo zuri tunaonyeshana tunakoelekea. Asante sana.
 
No, wait a minute Pasco, Ina maana mpo mnaojua au mliokwisha iona draft ya Katiba mpya?
Suppose wabara wakadai nchi yao? Watu tusipokuwa makini hapa hili litasababisha pata shika. Hivi Pasco, unavyosema hivyo una maanisha kuwa kwako wewe uwiano uliopo wa idadi ya wananchi Tanzania bara na Zanzibar ni haki kwa watu wa bara kuwa wanaamuliwa uongozi wa nchi na wachache Zanzibar milele bila ukomo?. Sasa nimeamini 100% kuwa jinsi muungano ulivyoundwa upo kwa ajili ya kudhoofisha na kuua upinzani kutoka pande zote na kwamba hapatatokea upinzani kuchukua uongozi wa nchi. Na hapa ndiyo inathibitika wazi sababu zinazopelekea CCM kutamka kila mara kuwa watatawala milele. Na bila shaka sasa ni wakati kabisa wa kuuweka huu muungano uwe wa sayari hii, au serikali moja nchi nzima au serikali tatu. Hakuna kitakachokuwa sahihi nje ya hapo.
Mkuu Mpenda TZ, muungano wetu ni wa ndoa kamili na sio wa uwiano. Kama ilivyo ndoa, mkiingia kwenye ndoa, mali zote za baba alizochuma kabla ya kuoa zinageuka family joint properties. Hata kama baba ndie bread winner na mke ni goli kipa tuu akisubiri kudaka mipira, siku ndoa ikivunjika, mnagawana kila kitu pasu kwa pasu!, haijalishi mama amecontribute nini!. Hivi ndivyo itakavyokuwa katiba mpya, itafanya restoration ya Zanzibar as equal partner kwenye ubia wa muungano na chama kitakachopata sifa ya kutawala, ni kile tuu kitakachopata kura angalau theluthi moja toka kila upande!. Mpaka sasa sijaziona juhudi zozote za Chadema kutafuta kura za Wazanzibari, or I might be too blind to see!.
P.
 
Mkuu Mpenda TZ, muungano wetu ni wa ndoa kamili na sio wa uwiano. Kama ilivyo ndoa, mkiingia kwenye ndoa, mali zote za baba alizochuma kabla ya kuoa zinageuka family joint properties. Hata kama baba ndie bread winner na mke ni goli kipa tuu akisubiri kudaka mipira, siku ndoa ikivunjika, mnagawana kila kitu pasu kwa pasu!, haijalishi mama amecontribute nini!. Hivi ndivyo itakavyokuwa katiba mpya, itafanya restoration ya Zanzibar as equal partner kwenye ubia wa muungano na chama kitakachopata sifa ya kutawala, ni kile tuu kitakachopata kura angalau theluthi moja toka kila upande!. Mpaka sasa sijaziona juhudi zozote za Chadema kutafuta kura za Wazanzibari, or I might be too blind to see!.
P.
Well said
 
Once a dreamer, always a dreamer!, Pasco wa jf is a dreamer and his dreams will come true!. Mark my words, my my dreams!. Please keep records of these dates na tutakumbushana humu humu!. Uchaguzi ni Jumapili October 25, 2015!. Matokeo ya urais ni Ijumaa 30 October 2015!. Rais mpya ataapishwa Saa 6 kamili mchana, Jumamosi October 31, 2015!, Subiria ni nani, wa chama gani na kwanini!.
Ni kama kweli lkn 2subis 2one
 
Ni kama kweli lkn 2subis 2one
Sisi wengine hatuna subira, ni tunaendelea kutembeza bakora mtindo mmoja!, hatutaki na 2015 tuje kuliliwa tena kama 2010!. Tunawapitisha Chadema kwenye tanuru la moto!.
P.
 
Mkuu Pasco, point yako inaweza kueleweka na wenye elimu kuanzia dr. na kuendelea. kwa kuwa ni kweli kabisa kuwa watu hao wapo wachache sana hapa tanzania, ukweli huu ulioufafanua kwa kirefu sana unakuwa si msaada kwenye ukombozi wa taifa letu ADHIMU.

Takwimu ulizoweka kwa sisi tulioko kijijini ni kama unatutisha, akili yetu haina uwezo wa kupambana kikamilifu na milinganyo, ingawa takwimu zako zinaungana nami kimantiki kuwa "ADUI YETU NI CCM" na ombi langu bado lipo pale pale "unikubalie japo mara hii tafadhali"

naamini makubaliano yaliyofikiwa na cuf na ccm haikuwa dhidi ya chadema, bali ni mbinu ya kuidhoofisha cuf, chadema, kwa kuzingatia uelewa wa wananchi, inaweza kufanya kosa kubwa kuingia makubaliano na cuf, chama ambacho kwa sasa kimeonekana kuwasaliti wananchi kutokana na MOU yao na ccm, na wananchi wameishi kuiona methali "ukitembea na mwizi nawe utakuwa mwizi" ikiiishi.

busara hielekezi kufungwa na uelewa kuwa wapiga kura milioni nane na ushee ndio pekee watatakiwa kutupatia rais 2012, badala yake wale 12,000,000 ambao kwa sababu ulizoziainisha ndiyo haswaa walengwa wakihamasishwa, ccm itakuwa chama kikuu cha upinzani.

ahadi (hongo) waliyopewa cuf na ccm si ya kupambana nayo, chadema isifuate njia ya mpinzani wake, kwani unaweza kukuta umetegewa mabomu ya kujitoa muhanga. kwa mbaaaaali picha ya zitto ni kielelezo hapa.

kwa wale wote walio na hamu ya ndoto kuwa kweli niwashauri watafakari sana, mfano ukiota umeokota gunia la hela kwa mazingira ya sasa, ukiondoa muujiza wa mungu, nani anaweza kutupa gunia la hela wewe uokote?

HII SIOTI BALI CCM WATAGARAGAZWA VIBAYA NA CHADEMA COME 2015 NA MAFISADI WATALIA NA KUSAGA MENO, MANAKE WATATAKIWA KUTOA HESABU YA MALI ZAO SAWA SAWA NA KAZI WALIZOZIFANYA.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,
8. Kwa leo naomba naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
Nimekuwa nikifuatilia matokeo ya udiwani ambapo Chadema imeshinda viti 5 kati ya 29. Japo ushindi ni ushindi, kwa pace hii na time factor iliyobakia kabla ya 2015!, tukubali, tukatae, safari bado ni ndefu!. Chadema, yatumieni Matokea haya kama MTR yenu ya M4C!.
P.
 
S i rahisi chama cha upinzani kuingia madarakani kwa sababu inategemea sana pepo za msimu. mizizi yake bado haijakomaa kiasi cha kuhimili kimbunga cha cha CCM 2015 bado ndani yao wanalumbana wenyewe na hata kufikia hatua waandamizi wao kuwafagilia hadharani viongozi wa CCM, udini umeitesa sana M4C kwa mtaji wa Dr WS ambaye aliungwa mkono sana na Maaskofu japo alikuwa hasimu wao wakati akiwa na wao, walimuunga mkono tu kwa sababu walikosa mwelekeo pamoja na ubovu wake wakaona ana unafuu kuliko wengine. Udini wa M4C ukaunda udini mwingine wa CUF kuiunga mkono CCM ili kuiua M4C imeungwa mkono na wakristo bila kujari kiongozi anafaa au hafai. Chadema hawana mbadala kwa sasa mbali na Dr Ws ambaye anaweza kuungwa mkono na Wakristo na akaungwa mkono na Waislamu. Hapa lazima Maaskofu wataandaa Mtu aliye Mkristo lakini anakubalika na Waislamu walioko ndani ya CCM na anayekubalika kwa Watanzania Wengi kwa misimamo yake kwa saabu ndani ya CCM wamo wanaokubalika kwa wananchi Ili CCM isife kwa maana kufa kwake kutakuwa kiama kwa mafisadi wote, CCM itapata mashiko makubwa ya kuungwa mkono na mafisadi hayo kwa hali na mali ili kumnadi huyo anayekubalika wakiamini zimwi likujialo halikuli likakumaliza kwa mtaji huo M4C watabaki kama watoto yatima na hapa naweza kutabili kwamba hata viti vyao ndani ya Bunge vitapungua badala ya ilivyo sasa. hivyo adui upinzani utaitegemea sana katiba ijayo na misimano inayoshika kasi ya udini na ukabila.
 
mm wanachonikera chadema ni udini na ukabila, asilimia nyingi ya sisi vijana tulipoona CUF imeshindwa kuing'oa CCM kwa muda hapa bara tulihisi CHADEMA imekuja na nguvu ya ziada na baada ya wengi wetu kuifatilia tumegundua ina ukiristo uliopitiliza na uchaga mnooo, njia pekee ya kung'oa hawa wahuni ni kwa CUF, NCCR na CHADEMA kuungana bara na zanzibar na kukubaliana kuwa either lipumba au slaa mmoja atakuwa raisi na mwingine makamu wa raisi na yule wa NCCR kuwa waziri mkuu, nd kule Znz aende Seif sharif na Mbowe, mm naamini kwa hilo kufanyika udini na ukabila utapungua, na itarudisha upendo baina yetu na bila shaka CCM wataanguka
 
Mtu mmoja anasema hivi :'UCHAGUZI WA MAREKANI DARASA KWA WATANZANIA' umefika wakati wa watanzania kukataa kabisa kuchagua chama chochote kinacho hubiri ukanda au udini,navyo viko wazi CUF,uislam kwanza, CHDM,usisi,umimi
mbunge1 amedai uhuru wa eneo fulani ndani ya TZ! Sisiem nayo Tumbo langu kwanza. kumbe chama si swala la kuzingatia sana,ila yule anayekuomba kura jiulize anataka kura yako kwa udi kwenda hapo kwaninî? then utafanya uamuzi mzuri.not chdm,cuf,uddp,tlp,nor ccm.Godbless Africa,Godbless T
 
Wanabodi,

10. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

11. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.

12. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

13. Voting statistics

Registered Voters20,137,303
Total votes8,626,283
% Turnout42.84
Valid votes8,398,394
Spoilt votes227,889
% Spoilt votes2.64
Table source

Commonwealth 2010, 31.
Results

CandidatePartyVotes% Vote
Jakaya KikweteChama Cha Mapinduzi (CCM)5,276,82762.83
WP SlaaChama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA)2,271,94127.05
Ibrahim LipumbaCivic United Front (CUF)695,6678.28
Peter Mziray KugaProgressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO)96,9331.15
Rungwe Hashim SpundaNational Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi)26,3880.31
Muttamwega Bhatt MgaywaTanzania Labour Party (TLP)17,4620.21
Yahmi Nassoro DovutwaUnited People's Democratic Party (UPDP)13,1760.16
Total8,398,39499.99
Table source

Commonwealth 2010, 31.

14. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

15. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

Wasalaam.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
Wanabodi,
Ushauri huu niliutoa 2012, UKAWA imezaliwa kwa convenience ya katiba tuu, baada ya hapo its dead!, ushauri wangu huu bado ni very valid, naanza kuukumbushia kidogo kidogo kadri 2015 inavyokaribia, ili baada ya 2015, nifanye stock taking, walishauriwa nini, walifanya nini, walipuuza nini na matokeo ni nini!.

Pasco.
 
Kwa takwimu hizo hatupaswi kuwalaumu watanzania ati wanawaweka ccm madarakani hii naikataa kwa sababu 2 kwanza ni watanzania chini ya 50% ambao wamepiga kura 2. Wizi wa kura mkubwa uliokithiri tena wa kibabe, labda tulaumiane kwa nini tukubali wizi huu na matokeo haya???? sasa tufanyeje...........????????
Wanabodi,

Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu



Kutokana na kauli hiyo, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simplt because ndicho chama pekee so far chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu,

1. Tatizo kubwa la Watanzania sio au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concerpt, na ndilo kosa kubwa la wapinzani, katika chaguzi zote za nyuma kuelekeza concetration ya mashambulizi yote kwa CCM wakijihesabu ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.

5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and is hitting them very hard kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar CUF ni njia nyeupe!.

6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concetration ikiwekwa kwenye "changing mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.

7. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.

8. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

9. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.

10. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

11. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.

12. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

13. Voting statistics

Registered Voters20,137,303
Total votes8,626,283
% Turnout42.84
Valid votes8,398,394
Spoilt votes227,889
% Spoilt votes2.64
Table source

Commonwealth 2010, 31.
Results

CandidatePartyVotes% Vote
Jakaya KikweteChama Cha Mapinduzi (CCM)5,276,82762.83
WP SlaaChama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA)2,271,94127.05
Ibrahim LipumbaCivic United Front (CUF)695,6678.28
Peter Mziray KugaProgressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO)96,9331.15
Rungwe Hashim SpundaNational Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi)26,3880.31
Muttamwega Bhatt MgaywaTanzania Labour Party (TLP)17,4620.21
Yahmi Nassoro DovutwaUnited People's Democratic Party (UPDP)13,1760.16
Total8,398,39499.99
Table source

Commonwealth 2010, 31.

14. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

15. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

Wasalaam.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
 


6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concetration ikiwekwa kwenye "changing mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.

7. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.

8. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

9. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.

10. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

11. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.

12. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

Wasalaam.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
Wanabodi, naendelea kufanya tafakuri rejea ndogo ndogo kwenye baadhi ya threads zangu nilisema nini kuhusu safari ya kuelekea 2015, hiyo 2015 sasa ndio hii, nafanya MTR ni kipi kimefanyika hadi sasa, ili ikitokea Chadema ikashindwa tena kuchukua nchi hapo October, 2015, itakuwa imeshindwa kwa mambo ya kijinga jinga, kuendekeza ujinga ujinga na udikiteta wa hapa na pake kwa kudhani itasaidia kumbe inawabomoa!.

Pasco
 
Wanabodi,

6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concetration ikiwekwa kwenye "changing mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.

7. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.
.
Kuna mtu aliwahi kupata au kusikia mrejesho wowote wa hii M4C?.

Pasco
 
Wanabodi,

8. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

9. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.

10. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

11. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.

12. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.
Baadhi ya hoja hizi ziko take care of ndani ya UKAWA.

Pasco
 
Back
Top Bottom