Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #141
Mwenyewe anauliza uongo na kudanganya mapenzini hakuepukiki? .... na ni wakati gani haifai kudanganyana na kusema uwongo?
.....soulmate, nidanganye danganye tu, ukiniambia ukweli roho itauma...
Nami nikikudanganya danganya utanielewa?....Nakupenda tu..