Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #161
Ndugu yangu MwanajamiiOne,
Ni muhimu sana kutofautisha uongo wa mambo ya kawaida na yale ya msingi. katika mambo ambayo ndiyo nguzo ya uhusiano wenu, basi hapo hakuna utani wala uongo.
Babu DC!!
.....Shabaaash Swahiba! ....
Hapa ndipo nilipokuwa nataka uje...
Je? katika hayo mambo ambayo ndio nguzo ya uhusiano [....?....] panapoingizwa uongo ule wa kudanganywa dhahiri...(uongo unaoujua ukweli wake!)
..... Unajikubalisha utakuwa "unadharauliwa?"
Last edited by a moderator: