Kbd
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,260
- 447
Nilikomaje kutafuta uongo mwingine wa kujazilizia ...
Hahahahhahahahahahahahaaaaaa.........................lol, nimekuvulia kofia first day wetu.
Nilikomaje kutafuta uongo mwingine wa kujazilizia ...
...na hapa ndipo iliposimamia mada yangu. Unajua kabisa Mkeo anakudanganya, mfano; asb ulimuacha ofisini,....bahati mbaya, mchana ukampitia um surprise kwa lunch.... Pale ukajibiwa hakuingia kazini kabisa siku hiyo.
Jioni mpo nyumbani wamuuliza za kazi anakwambia alikuwa v.busy kwa ofisi, ....unapomwambia ulipita hukumkuta, anabadili maneno anakwambia alikwenda hospitali!
Aisee..... kumbe ukipiga fix afu wakatabasamu wanakuwa wanajua umewafix ila wanakuwa hawana jinsi... ngastuka!!
AU kwa kuwa wanajua hata wakijua unawafix hawana jeuri ya kukuzuia lol
Hahahahhahahahahahahahaaaaaa.........................lol, nimekuvulia kofia first day wetu.
.....mwanajamiiOne, nilitaka kuku Quote server ipo slow....
Umegusia jambo la maana sana, " .......saa ingine jambo dogo mwenzio analibebea bango"....
Dogo kwako, kubwa kwa mwenzio bana. I agree nawewe haina haja ya kuliweka rohóni, ndio maana Mbu mie nikishakubaliana na mwenza wangu jambo fulani halifai, likirudiwa nakumbushia makubaliano yetu, mara ya tatu siulizi tena. Najipa jibu 'nimedharauliwa' tulivyokubaliana.
....unless kwa thread hii (na bado sijafanikiwa) naweza pata jibu tofauti...
Katika mahusiano uongo una nafasi yake na hadhi yake. Binadamu tumeumbwa kukosea na kujirekebisha pale tunapokosea.
"Mimi Klorokwini naahidi kutumia uongo kuilinda ndoa yangu popote pale nitakapoteleza kibinaadamu, Ewe mola nisaidie".
itikieni amen mbariki kiapo changu
...........................Kha loya kwa hiyo kuna a bad lie na good one?
nakubaliana na wewe hapo kwenye nia ya kunusuru but haipaswi kurudiwa!
Katika mahusiano uongo una nafasi yake na hadhi yake. Binadamu tumeumbwa kukosea na kujirekebisha pale tunapokosea.
"Mimi Klorokwini naahidi kutumia uongo kuilinda ndoa yangu popote pale nitakapoteleza kibinaadamu, Ewe mola nisaidie".
itikieni amen mbariki kiapo changu
Kuna nini hapa?
Soulmate umedanganywa? pole
................. Unajua uongo hauepukiki kama vigezo na masharti havizingatiwi. Mie nitazungumzia uwongo ndani ya mahusiano ya kindoa au kwa wenye mahusiaono ya muda mrefu ambapo mara nyingi ile hali ya urafiki huwa imetoweka au haipo. Mf. mdanganywaji akiwa mkoloni sana, mkali sana anakaribisha mazingira ya kudanganywa.
Lakini pia akiwa ni mtu ambaye kitu kidogo anakibebea bango yaani hadi unashangaa, lazima atamfanya mwenzi wake amdanganye tu.
But mnapokuwa na mahusiano ya kirafiki inakuwa rahisi pia kwa mtu kuwa huru na asichukue nguvu nyingi kuanza kutafuta uongo wa kudanganyia.
Na pia ni vema kwa anayedanganywa, kama ni rafiki na kajua kuwa kadanganywa, awe muwazi tu kwa aliyemdanganya kuliko kugumia maumivu kisirisiri!
.....:screwy: .....hivi, unapokuwa unamdanganya mtu, bila 'woga' kwamba ANAJUA unamdanganya, ...kusudio lako huwa nini?
.....mimi bado sina tafsiri sahihi juu ya hili zaidi ya 'madharau' katika mapenzi. Au wewe waonaje? Mbu is only thinking ALOUD ....:what:
Nipeni maoni yenu waungwana...
Ukimaliza kudanganywa mwambie ukweli alikudanganya kuwa unajua ame/anakudanganya on spot (usipende kulimbikiza maradhi, tibu ugonjwa mara moja).
Enyi wadanganyaji, mmalizapo kudanganya basi wajulisheni mliowadanganya kuwa mnawadanganya.