Kudanganya......

mtu anapokuwa anakudanganya bana inamaanisha kuna vitu anakuficha sometymz inabid ushukuru tu kwa kufichwa....mana bora usivijue kuliko ukivijua
 
duu kuna mtu alidanganya na nikajua kabisa ananidanganya, na kumesa ile ouongo ilikuwa ngumu sana,

uongo wenyewe ulikuwa hivi, sitaki kufanya kazi tanzania kwani hakuna anaeweza kunilipa hapa, huyu mtu ana kadegree kamoja tu ka accounts, nikauliza wapi watakulipa vizuri nikaambiwa sudan kusini, na kazi nshapata, kumbe uongo tu yupo hapa hapa simu yake nlomweka vodaa jamaa hata gharama za kupiga hazibadiliki mtu yupo sudan . tuligombana sana na hiyo sudan, mpka nilipoaamua kwenda huko sudan na sikumkuta.


Hahahaha, aisee!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
mtu anapokuwa anakudanganya bana inamaanisha kuna vitu anakuficha sometymz inabid ushukuru tu kwa kufichwa....mana bora usivijue kuliko ukivijua

Inabidi watu tuwe wakwel na especially tunapojua tuko nyuma ya PC screens...Hivi kuna mtu anaweza kumweleza BF au GF kila kitu kuhusu maisha yeke?

Kama yupo, basi tuwasiliane nimpe zawadi!!

Babu DC!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahaha, aisee!!

Vipi tena Maty?

Huo ndio naita uongo wa kitoto tena ambao hauna sababu ya yoyote ya maana!

Ni sawa na wale vijana wa mujini wanaoazima gari kali kwenda kuchukulia ujiko kwa binti bila kujua kwamba huwezi kuazima hiyo gari siku zote!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Inabidi watu tuwe wakwel na especially tunapojua tuko nyuma ya PC screens...Hivi kuna mtu anaweza kumweleza BF au GF kila kitu kuhusu maisha yeke?

Kama yupo, basi tuwasiliane nimpe zawadi!!

Babu DC!!
Hilo tu Dc mi mmoja wapo...
 
Hilo tu Dc mi mmoja wapo...


Tuwasiliane ili nijiridhishe halafu nikutumie zawadi yako...

I will be curious to know, kama toka day zero unamweleza BF wako list yako yote (past) na mambo yote ya familia yenu hata kama mmoja wa ndugu zako ni kibaka/changu!!

Babu DC!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Tuwasiliane ili nijiridhishe halafu nikutumie zawadi yako...

I will be curious to know, kama toka day zero unamweleza BF wako list yako yote (past) na mambo yote ya familia yenu hata kama mmoja wa ndugu zako ni kibaka/changu!!

Babu DC!!
hahhahha HAKUNAGA bwana:twitch:
 
Som tymz unalipa kisas coz ww ucpodanganya jua kwmba unadanganywa xo bora iwe bila bila
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
mtu anapokuwa anakudanganya bana inamaanisha kuna vitu anakuficha sometymz inabid ushukuru tu kwa kufichwa....mana bora usivijue kuliko ukivijua

.....dahhh, Vaislay hapo umehitimisha kwa kituo ule wimbo " nidanganye danganye tu, ukinambia ukweli nitaumia......hata nikukute na mtu chumbani"....

:thumbup:
 
mhh, lakini kuna wengine wamezidi.... tena na mimacho wanatumbua kama mamba kafuma kiswala mtoni
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
......mnh?

Soulmate wangu, ....ilikuwaje nawe ulijikubalisha Yeye awe ndio Kamusi,.... Dictionary, .....Thesaurus wa Akili yako?

Dont blame him bana, ulimpa " ufalme wa nyumba!"

Hapa hata sibishi Soulmate, nakiri kosa kwa sauti kubwa but.......ever heard of giving your partner the benefit of doubt?! ......ni katika kupima uaminifu, ukweli wake.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...... MwanajamiiOne,....nimeupenda huo msitari "...unampima uaminifu wake!"

Je, uwongo upi unaupa kipimo huyu ni muaminifu na yupi si muaminifu?

Mfano, anayedanganya kwa makosa madogo madogo, au yule mwongo wa makosa "makubwa" pekee?
 
Last edited by a moderator:
...... MwanajamiiOne,....nimeupenda huo msitari "...unampima uaminifu wake!"

Je, uwongo upi unaupa kipimo huyu ni muaminifu na yupi si muaminifu?

Mfano, anayedanganya kwa makosa madogo madogo, au yule mwongo wa makosa "makubwa" pekee?


Hivi Mbu et al, ule uongo wa 'wewe ni mzuri kushinda wote dunia hii' unaangukia kwenye uongo wa msingi???
.....yaani shemeji ananambia mimi ni six pack pamoja hili tumbo ka la kepteni komba...wacha nikalianzishe!
 
Last edited by a moderator:
....mnh, wenzetu humu hawataki! wanadai si maishani tu hata kwenye mapenzi, bila uwongo wa kudanganya maisha "eti" yatakuwa magumu sana.
Maisha ni magumu tu sana, nani alisema life is simple?
Ukijenga personality ya nguvu na partner wako akaijua
inasaidia sana kuhepuka kudanganyana. nitoe mfano:
Kama toka mwanzo ulipiganisha na kumuonesha you cheat
basi later when you cheat haitakua lazima kuganganya tena.
So to me, ni bora kujenga mazingira ya kuji-express freely,
kuliko kua mnafiki na ku-pretend uko mwema wakati sio
Unapo danganya ndio unazidi kutafanya maisha kua magumu
Sio kwako tu, bali kwa wale wanao kuzunguuka zaidi (IMO)
 
kudanganya.... kaugonjwa ambako kwa wanawake ni sawa tu... anakudanganya ili usiumie; ila kwa mwanaume ni mbaya sana, ati anadanganya ili akuumize

HAKA KADUNIA KADOGO LAKINI KANA MAMBO
 
Swahiba.... Sijui kwanini tunafanan kwenye hizi kitu!!!

Mnhhhh, labda nianzie hapo wakati najipanga....

Kudanganya ni aina ya psychosis ambayo inahitaji dawa, bahati nzuri, waongo wengi wanaonyesha kama vile ambavyo mental cases nyingine zinaonyesha, kuna macho, na body language ambazo hutoa facts, ndio maana hata lie detector hufanya kazi kirahisi
I deleted this post, sasa sijui kwanini imerudi

duh, mbona naanza kuogopa??
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom