Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duu kuna mtu alidanganya na nikajua kabisa ananidanganya, na kumesa ile ouongo ilikuwa ngumu sana,
uongo wenyewe ulikuwa hivi, sitaki kufanya kazi tanzania kwani hakuna anaeweza kunilipa hapa, huyu mtu ana kadegree kamoja tu ka accounts, nikauliza wapi watakulipa vizuri nikaambiwa sudan kusini, na kazi nshapata, kumbe uongo tu yupo hapa hapa simu yake nlomweka vodaa jamaa hata gharama za kupiga hazibadiliki mtu yupo sudan . tuligombana sana na hiyo sudan, mpka nilipoaamua kwenda huko sudan na sikumkuta.
kibongo bongo bila kudanganyana vitu au mambo hayasogeii etii.....
mtu anapokuwa anakudanganya bana inamaanisha kuna vitu anakuficha sometymz inabid ushukuru tu kwa kufichwa....mana bora usivijue kuliko ukivijua
Hahahaha, aisee!!
Hilo tu Dc mi mmoja wapo...Inabidi watu tuwe wakwel na especially tunapojua tuko nyuma ya PC screens...Hivi kuna mtu anaweza kumweleza BF au GF kila kitu kuhusu maisha yeke?
Kama yupo, basi tuwasiliane nimpe zawadi!!
Babu DC!!
Hilo tu Dc mi mmoja wapo...
hahhahha HAKUNAGA bwana:twitch:Tuwasiliane ili nijiridhishe halafu nikutumie zawadi yako...
I will be curious to know, kama toka day zero unamweleza BF wako list yako yote (past) na mambo yote ya familia yenu hata kama mmoja wa ndugu zako ni kibaka/changu!!
Babu DC!!
mtu anapokuwa anakudanganya bana inamaanisha kuna vitu anakuficha sometymz inabid ushukuru tu kwa kufichwa....mana bora usivijue kuliko ukivijua
......mnh?
Soulmate wangu, ....ilikuwaje nawe ulijikubalisha Yeye awe ndio Kamusi,.... Dictionary, .....Thesaurus wa Akili yako?
Dont blame him bana, ulimpa " ufalme wa nyumba!"
...... MwanajamiiOne,....nimeupenda huo msitari "...unampima uaminifu wake!"
Je, uwongo upi unaupa kipimo huyu ni muaminifu na yupi si muaminifu?
Mfano, anayedanganya kwa makosa madogo madogo, au yule mwongo wa makosa "makubwa" pekee?
Maisha ni magumu tu sana, nani alisema life is simple?....mnh, wenzetu humu hawataki! wanadai si maishani tu hata kwenye mapenzi, bila uwongo wa kudanganya maisha "eti" yatakuwa magumu sana.
I deleted this post, sasa sijui kwanini imerudiSwahiba.... Sijui kwanini tunafanan kwenye hizi kitu!!!
Mnhhhh, labda nianzie hapo wakati najipanga....
Kudanganya ni aina ya psychosis ambayo inahitaji dawa, bahati nzuri, waongo wengi wanaonyesha kama vile ambavyo mental cases nyingine zinaonyesha, kuna macho, na body language ambazo hutoa facts, ndio maana hata lie detector hufanya kazi kirahisi