chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,758
- 2,529
Wewe watu wanapiga chabo mpaka kuku au bata...hahaha
manzese kuna gesti zina vitundu maalum
na wafanyakazi wa gesti wanawalipisha watu pesa kuchungulia kwenye vitundu hivyo
mimi zamani sana nilichukua msichana
ilikuwa ndo my first time
sijasahau mpaka leo nilipogindua tunachunguliwa....lol