Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,089
Du mm ukozmeni ndo ulionifundisha staili nyingi bila hivyo hawa kinadada wangeshanikimbia, ww unang'ang'ania stailio ya kifo cha mende tu!!
Huku uswahilini kuna mambo, watu wanafungulia taarabu huelewi, wanakula bata humuoni bata,wanapiga simu tigo ww una voda tu.
Huku uswahilini kuna mambo, watu wanafungulia taarabu huelewi, wanakula bata humuoni bata,wanapiga simu tigo ww una voda tu.