Modereta
Senior Member
- Jul 24, 2008
- 164
- 17
Kwa Moderators na Mello
Naona kuna matangazo toka makampuni yaliyo nje ya Tanzania. Naamini yanalipia matangazo hayo. Lakini ufahamu wangu ni mdogo, nadhani huwa site italipwa tu kama mtu amefungua na kulisoma tangazo!!?? Kama ndivyo - Basi sisi wan JF tufahamishwe ili tuwe tunafungua angalau kujua kuna nini huko na JF ipate kamchango kidogo. Kama sivyo basi tuhamasishe na wengine kutangaza hapa ili angalau JF iendelee kuwa IMARA.
Naomba kuelimishwa, labda tunaweza saidia kidogo
Naona kuna matangazo toka makampuni yaliyo nje ya Tanzania. Naamini yanalipia matangazo hayo. Lakini ufahamu wangu ni mdogo, nadhani huwa site italipwa tu kama mtu amefungua na kulisoma tangazo!!?? Kama ndivyo - Basi sisi wan JF tufahamishwe ili tuwe tunafungua angalau kujua kuna nini huko na JF ipate kamchango kidogo. Kama sivyo basi tuhamasishe na wengine kutangaza hapa ili angalau JF iendelee kuwa IMARA.
Naomba kuelimishwa, labda tunaweza saidia kidogo