Alnadaby
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 505
- 41
Majibu ya maswali ya Mzee Mwanakijiji yataendelea kupatikana kutokana na kesi inavyozidi kuchemka mahakamani.
a. Kwa kuchukulia matukio kama hayo yaliyopita tunaweza kukubali kuwa kuna watu waliopigwa,waliotendewa vitendo vibaya na wakajikuta pabaya mbele ya jamii na hata kuhama miji yao.
b.Mtu anayefanya madhara kwa kisingizio chochote bila shaka inabidi afikishwe mahakamani.
c.Mtu akiwa hana ujasiri wa kumshughulikia mwizi wake na hana jinsi anaweza kutafuta msaada kwa marafiki.
d.Kutumwa hakuwezi kuwafanya waepuke mkono wa sheria.
e.Si halali kukodisha watu walipize kisasi ila haya mambo hutokana na hasira ya aliyetendewa.
f.Kama Kubenea alifanya hivyo na yule mama hakwenda polisi ina maana walikuwa wanafanya siri.Baada ya mume kugundua ndipo alipohamaki na kufanya alivyoamua.
Ukweli wa saga hili utapatikana mahakamani.
a. Kwa kuchukulia matukio kama hayo yaliyopita tunaweza kukubali kuwa kuna watu waliopigwa,waliotendewa vitendo vibaya na wakajikuta pabaya mbele ya jamii na hata kuhama miji yao.
b.Mtu anayefanya madhara kwa kisingizio chochote bila shaka inabidi afikishwe mahakamani.
c.Mtu akiwa hana ujasiri wa kumshughulikia mwizi wake na hana jinsi anaweza kutafuta msaada kwa marafiki.
d.Kutumwa hakuwezi kuwafanya waepuke mkono wa sheria.
e.Si halali kukodisha watu walipize kisasi ila haya mambo hutokana na hasira ya aliyetendewa.
f.Kama Kubenea alifanya hivyo na yule mama hakwenda polisi ina maana walikuwa wanafanya siri.Baada ya mume kugundua ndipo alipohamaki na kufanya alivyoamua.
Ukweli wa saga hili utapatikana mahakamani.