mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Wakuu heshima kwenu.
Poleni na msiba mkubwa sana wa kitaifa wenye historia kubwa hapa JamiiForums. Nipende kuwakumbusha kuwa akiwa ziarani Iringa ndugu Makonda alikutana na KERO ya wafanyakazi kiwanda cha karatasi mgololo ambapo kwa miaka 20 wafanyakazi hao wamekuwa wakiidai serikali mafao yao. Naomba niambatanishe uzi unao zungumzia tukio Hili.
Ikumbukwe
Naibu waziri alipopatikana alieleza kuwa wafanyakazi hao waliwahi kulipwa jambo ambalo ni Uongo mkubwa. Ni muhindi tuu aliwalipa wafanyakazi hao ambao walimtumikia kwa miaka miwili.
Ikumbukwe
Siku hiyo mwenyekiti wa CCM mkoa alisema mbele ya makonda kuwa hajui jambo Hilo (tazama video kwenye uzi hapo)
Ikumbukwe
Makonda alilaumu ucheleweshaji wa kesi hiyo. Alimuagiza waziri huyo kushiriki kikao cha wafanyakazi na DC siku ya jumatano tarehe 14 yaani Leo.
MAJIBU
Mwisho
kinachoendelea mgololo ni kilio tuu hakuna cha maana kilicho fikiwa
Kwa mawazo yangu
Sheria imetoa room kwa mashauri ya madai muda wowote kusikilizwa nje under the umbrella of ADR. Wanasheria katili wa serikali hawajui hili.
Ni nani mbabe anaye zuia malipo ya wafanyakazi kiwanda cha karatasi mgololo?
Mufindi paper Mills the factory in Iringa formerly Southern paper Mills built under mwalimu's administration 1980's
Poleni na msiba mkubwa sana wa kitaifa wenye historia kubwa hapa JamiiForums. Nipende kuwakumbusha kuwa akiwa ziarani Iringa ndugu Makonda alikutana na KERO ya wafanyakazi kiwanda cha karatasi mgololo ambapo kwa miaka 20 wafanyakazi hao wamekuwa wakiidai serikali mafao yao. Naomba niambatanishe uzi unao zungumzia tukio Hili.
Makonda: Haki ya nani ningempata Naibu Waziri Viwanda ningempiga vibao. Akasirishwa na wafanyakazi kuzulumiwa haki yao kwa miaka 20
Mwenezi Makonda ameonesha kukasirishwa sana na kitendo Cha waliokuwa Wafanyakazi wa kiwanda Cha SPM Mgololo Kuzulumiwa Haki zao kwa.miaka 20. Kilichomkasirisha zaidi ni baada ya kubaini Naibu Waziri wa Viwanda ni Mbunge wa sehemu hiyo hiyo ambako Wafanyakazi wamedhukumiwa...
www.jamiiforums.com
Ikumbukwe
Naibu waziri alipopatikana alieleza kuwa wafanyakazi hao waliwahi kulipwa jambo ambalo ni Uongo mkubwa. Ni muhindi tuu aliwalipa wafanyakazi hao ambao walimtumikia kwa miaka miwili.
Ikumbukwe
Siku hiyo mwenyekiti wa CCM mkoa alisema mbele ya makonda kuwa hajui jambo Hilo (tazama video kwenye uzi hapo)
Ikumbukwe
Makonda alilaumu ucheleweshaji wa kesi hiyo. Alimuagiza waziri huyo kushiriki kikao cha wafanyakazi na DC siku ya jumatano tarehe 14 yaani Leo.
MAJIBU
- Mwenyekiti CCM mkoa aliomba kikao jumatatu tarehe 12 ili aombe radhi kwa wanamgololo kwa maana aliongea uongo mbele ya makonda kwani alisema hajui changamoto hiyo wakati anaifahamu vizuri. Kikao hicho kilikutana pia kujibu usuruhishi wa mgogoro huo.
- Katika kikao hicho naibu waziri viwanda ambaye pia ni mbunge wa watu hao hakuona umuhimu wa kutii agizo la Paul Makonda. Hakuhuudhuria anautwa Mh Kihenzile.
- Katika kikao hicho eti DC alisema yeye ameteuliwa na Mama na hawezi kumuangusha. Alisema kuwa atarudisha jambo hilo mahakamani ili iweze kuliendesha kwa haraka kwani mahakama ndio inachelewesha. Eti mtuhumiwa ataiomba mahakama iendeshe kesi kwa haraka ili ahukumiwe mapema.
Mwisho
kinachoendelea mgololo ni kilio tuu hakuna cha maana kilicho fikiwa
Kwa mawazo yangu
Sheria imetoa room kwa mashauri ya madai muda wowote kusikilizwa nje under the umbrella of ADR. Wanasheria katili wa serikali hawajui hili.
Ni nani mbabe anaye zuia malipo ya wafanyakazi kiwanda cha karatasi mgololo?
Mufindi paper Mills the factory in Iringa formerly Southern paper Mills built under mwalimu's administration 1980's