Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Mimi nina ushauri hapa .Kuna watu wanaifanya hii forum kushuka hadhi kila mara .Nakuomba sana ndugu yangu Mwafrika wa Kike uache kujibizana .Waache wadharau ili kila mara tuendeleze mada zenye heshima .Majibizano haya wala mimi siyapendi kabisa .Mwafrika wa Kike mimi nadhani unisikie tu uache maana eneno kubwa la hapa unajibizana nao na inachukua page kadhaa utadhani kuna jambo la maana kumbe hakuna .Hapa kama wataendelea na mambo haya wafungiwe .
Hii kesi bado mbichi .Hata kama kachukua mke wa mtu dawa si kuvamia na kutaka kuua na hata tindikali.Huu ni uharamia .Lakini mimi nawa hakikishia kwamba kesi hii wanao shikla mpini ni watu wa EPA ushahidi ni mwingi na mtashangaa baadaye .
Mkuu ushauri wako umefika na utafanyiwa kazi.
Asante!