Kopo la Chooni nina kinyaa nalo!!

Utawashauri nini wanaoishi boarding za upcountry? Wao ndiyo hali halsi hiyo.
 
Kwenye nyumba nyingi za kupanga Uswahilini chooni kunakuwa na Kopo la kutawazia, na mara nyingi hutumbukizwa kwenye ndoo ya maji iliyopo chooni. Lakini mbali ya shida ya kulenga shimo la choo au kukwepa maji yanayotoka ndani ya shimo la choo, kero kubwa na kinyaa changu kiko kwenye kutumia makopo ya chooni kwenye kutawazia. Mimi huwa na toilet Paper mfukoni ili nikiibukia uswazi nisitumie kopo la chooni.

Sijui na wewe unatumia makopo unayoyakuta chooni kwa ajili ya kutawazia?

dah?
Kwa hiyo mkuu ukifanya kubwa unaondoka na 'lube' zako? Kweli mzungu taahira, choo anasafisha na maji, kitobo utamu anaoshea karatasi.
Teh teh teh teh!
 
lakini kama kimba lako mara nyingi lina urojo urojo na jepesi ni issue bila maji ya kutosha . Lakini kwa wale wanafofyatua mbolea ngumu ngumu ama ya mbuzi hata tissue haina maana . mradi umechana msamba vizuri na hufanyi haraka kumaliza shughuli kitu kinatoka bila kuacha masalia kwenye tigo.....

Na hapo no tunakuja wenye suala lingine la aina ya choo. Choo Kizuri ni cha kuchuchumaa maana kinaruhsusu pressure ya kimba litoke vizuri zaidi kuliko ile ya kukaa.

I'm in love with your coment.
Hivi vyoo western type sivipendi kabisa, risk ya kugonjeka ni kubwa sana.
I love kuchuchumaa kuliko kukaa.
 
duh..kuna mshikaji mmoja alikata kimba pana na fupi..unaambiwa kitu kimetokeza nusu,nusu imebaki ndani, kila akijikwinya kitu hakitoki wala hakikatiki...mchizi akakivuta kwa mkono...
HEHEHEHE....mbavu zangu!!
 
Kwani lazma utumie
kopo la jumuia!!
Yale makopo ya bar uuwiii yananichefuaga!

We kama vipi tumia lile lako unaloogea na hakikisha linakuwa safi
hivi unapoingia toi
kisha unatumia maji
uliyoyakuta ndo nini?
Mwenzako hata hatumii
kopo anatumbukiza
mkono wake humo
sasa sijui we ukija
unajiswafi or ndo unaishia kujipaka
vinyesi vya wenzako?
Tumia ndoo na kopo lako la kuogea
na kama vp tafuta
maalum kwa kaz ya kukata kimba tu!

Du umenikata moto!napga picha utumie hayo maji
ya toi af ukitoka
hapo hunawi looo
 
Back
Top Bottom