Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,883
- 5,191
Nawasalimu katika jina la DP World (chagua muitikio; mkataba uendelee au usiendelee)
Katika maisha huwa tunafanya maamuzi kadha wa kadha kwa sababu zinazoelezeka na kueleweka. Lakini kumbe zipo sababu za undani/faragha/aibu ambazo hazielezeki hadharani lakini zinamantiki.
Niliwahi panga nyumba moja ambayo ilikuwa self contained lakini ni bafu tu, choo kilikuwa nje ambacho tulikuwa tunashare vyumba vitano.
Changamoto ya kile choo ilikuwa unapita koridoni hadi kukifikia nikivuka vyumba vinne.
Sasa shida ilikuwa ukitaka kwenda toilet umebeba ndoo yako ya maji, unakuta wanawake wamerundikana koridoni. Na wale wanawake walikuwa ni mashangingishangingi. Hili jambo lilikuwa linanipa ugumu sana.
Siku moja ninaumwa tumbo, kuwapita mara kwa mara, na tumbo la kuendesha halina siri hata ukiwa chooni, hahaha. Kesho yake dalali wangu nikamwambia hapa majirani wanakelele sana za radio, nitafutie chumba kingine. Na nimekaa wiki 3 tu.
Wewe, ulishakumbana na lipi lisiloelezeka na kukufanya ufanye maamuzi fulani?
Katika maisha huwa tunafanya maamuzi kadha wa kadha kwa sababu zinazoelezeka na kueleweka. Lakini kumbe zipo sababu za undani/faragha/aibu ambazo hazielezeki hadharani lakini zinamantiki.
Niliwahi panga nyumba moja ambayo ilikuwa self contained lakini ni bafu tu, choo kilikuwa nje ambacho tulikuwa tunashare vyumba vitano.
Changamoto ya kile choo ilikuwa unapita koridoni hadi kukifikia nikivuka vyumba vinne.
Sasa shida ilikuwa ukitaka kwenda toilet umebeba ndoo yako ya maji, unakuta wanawake wamerundikana koridoni. Na wale wanawake walikuwa ni mashangingishangingi. Hili jambo lilikuwa linanipa ugumu sana.
Siku moja ninaumwa tumbo, kuwapita mara kwa mara, na tumbo la kuendesha halina siri hata ukiwa chooni, hahaha. Kesho yake dalali wangu nikamwambia hapa majirani wanakelele sana za radio, nitafutie chumba kingine. Na nimekaa wiki 3 tu.
Wewe, ulishakumbana na lipi lisiloelezeka na kukufanya ufanye maamuzi fulani?