HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Kuwanyima wananchi haki yao ni usaliti mkubwa na ni kitu ambacho hakiweze kuachwa hivi hivi. Sasa kama kuna mtu mwenye ushahidi wa data basi aweke wazi ili tujue ukweli. Otherwise hizi ni habari za udaku tu.