Kizungumkuti cha ndoa!

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,712
Nimejiuliza wakati napitia uzi wa Cantalisia kuhusu jamaa alietoka nduki baada ya kugundua mpenzi wake ana mawe zaidi yake.Sasa swali linakuja,kwanza wanawake wanakubali kuwa mwanaume ni kichwa cha familia?(Kuwa kichwa kuna maana ya kutolea maamuzi ya mwisho jambo lolote linalohusu familia)kama wanakubali mwanaume ni kichwa kwa tafsiri hiyo,Je mwanamke anapoolewa akakutwa na mali aliyoichuma mwenyewe hii nayo itaingia katika usimamizi na maamuzi ya mwisho ya mume?(hapa nazungumzia maamuzi chanya sio ya kufuja mali)Yaani mke hatakua tena na kauli ya mwisho na namna ya kuendesha mali hiyo kwa sababu mwanamke huyo tayari anamilikiwa na mume ama mali ya mwanamke haitamhusu mume?Jambo hili huenda ndio sababu ya ugumu wa kuoa mwanamke mwenye mali!
 
wanaume bwana,

kwanini uwe na uamuzi wa mwisho?

kwa nini msiwe na uamuzi wa pamoja? kujadiliana kwa pamoja nini cha kufanya?
kwa nini msipange priority zenu pamoja?
kwa nini msishirikiane kwa pamoja?

mtabishana humuuu weeeeeeee, mtajiita vichwa aka taasisi huru weeee...
lakini mwisho wa siku nyumba yenye mafanikio ni ile inayosikilizana na kushirikiana kwa pamoja, ambayo kila mwanandoa anaweza kujieleza kwa uhuru
 
wanaume bwana,

kwanini uwe na uamuzi wa mwisho?

kwa nini msiwe na uamuzi wa pamoja? kujadiliana kwa pamoja nini cha kufanya?
kwa nini msipange priority zenu pamoja?
kwa nini msishirikiane kwa pamoja?

mtabishana humuuu weeeeeeee, mtajiita vichwa aka taasisi huru weeee...
lakini mwisho wa siku nyumba yenye mafanikio ni ile inayosikilizana na kushirikiana kwa pamoja, ambayo kila mwanandoa anaweza kujieleza kwa uhuru

...umeyaandika yote yalokuwamo kichwani mwangu,
ubarikiwe sana!
 
BADILI TABIA,hakuna maamuzi ya pamoja,hakuna mahali popote pasipokua na mtu mwenye kauli ya mwisho,kwenye ndoa nako hakuna tofauti,kama unakataa mwanaume asiwe na kauli ya mwisho basi uwe wewe,lakini hujategua hicho kizungungumkuti hapo!Hebu sema utamruhusu awe na kauli ya mwisho kwenye mali yako?
 
wanaume bwana,

kwanini uwe na uamuzi wa mwisho?

kwa nini msiwe na uamuzi wa pamoja? kujadiliana kwa pamoja nini cha kufanya?
kwa nini msipange priority zenu pamoja?
kwa nini msishirikiane kwa pamoja?

mtabishana humuuu weeeeeeee, mtajiita vichwa aka taasisi huru weeee...
lakini mwisho wa siku nyumba yenye mafanikio ni ile inayosikilizana na kushirikiana kwa pamoja, ambayo kila mwanandoa anaweza kujieleza kwa uhuru

Hii nimeipenda sana, mara nyingi mwanaume huwa ni kichwa cha familia. Siamini kwenye dini illa huwa nachukulia bible na quran kuwa ni life principle books au life experience books. Kwanza kwa mwanamke anayependa usawa kwa vitendo huwa wanaachika sana hakai na mwanamme mmoja hata siku moja. uzuri ni kwamba wengi wao huwa ni maneno tu ukimkuta kwake yuko chini kabisaaaaa, nina mifano mingi tu mimi ni mtu mzima. Anayelalama kutaka usawa ujue kwake mpole sana tu. Anataka mifano ya kumpa mumewe
 
Hii nimeipenda sana, mara nyingi mwanaume huwa ni kichwa cha familia. Siamini kwenye dini illa huwa nachukulia bible na quran kuwa ni life principle books au life experience books. Kwanza kwa mwanamke anayependa usawa kwa vitendo huwa wanaachika sana hakai na mwanamme mmoja hata siku moja. uzuri ni kwamba wengi wao huwa ni maneno tu ukimkuta kwake yuko chini kabisaaaaa, nina mifano mingi tu mimi ni mtu mzima. Anayelalama kutaka usawa ujue kwake mpole sana tu. Anataka mifano ya kumpa mumewe

Nimeipenda hii!Ni vyema wakati mwingine tukawa na uongozi unaoeleweka!
 
mwanaume ndisho mwisho wa safari ila mwanamke anaweza kumshauri kabla ya kufanya maamuzi yoyote yale..

Nakubaliana na wewe,but vipi huhusu mali za mwanamke alizochuma kabla ya kuolewa na mume,zitakuwa chini ya nani?
 
wanaume bwana,kwanini uwe na uamuzi wa mwisho?kwa nini msiwe na uamuzi wa pamoja? kujadiliana kwa pamoja nini cha kufanya?kwa nini msipange priority zenu pamoja?kwa nini msishirikiane kwa pamoja?mtabishana humuuu weeeeeeee, mtajiita vichwa aka taasisi huru weeee...lakini mwisho wa siku nyumba yenye mafanikio ni ile inayosikilizana na kushirikiana kwa pamoja, ambayo kila mwanandoa anaweza kujieleza kwa uhuru
Mali hizo ukiwa peke yako unao uwezo wa kuzi-manage bila madhara. Ila ukiwa na mme wako hutaweza kwa ufanisi uleule kwa kuwa hata madaraka madogo uliyopewa ndani ya bustani ya edeni uliyatumia vibaya. Mwenyezi Mungu akakupokonya madaraka akampa mwanaume i.e ulishindwa kujiongoza kwa ufanisi
 
Mali hizo ukiwa peke yako unao uwezo wa kuzi-manage bila madhara. Ila ukiwa na mme wako hutaweza kwa ufanisi uleule kwa kuwa hata madaraka madogo uliyopewa ndani ya bustani ya edeni uliyatumia vibaya. Mwenyezi Mungu akakupokonya madaraka akampa mwanaume i.e ulishindwa kujiongoza kwa ufanisi

So hata mali alizozitafuta mwenyewe hatakua na sauti au maamuzi nazo?
 
Katika hili mm naamin km nitakuwa na kipato kikubwa kuliko mme wangu,
Kipato changu hakina nafasi ya kubalidi wadhifa wa mume kwenye ndoa,
Hata nina pesa kiasi gani nilishindwa kuwa peke yangu,ndio maana nikamkubali kuolewa naye na kila kilichokuwa changu inakuwa vyetu wote km tulivyoamua kuwa mwili mmoja,
Pamoja na kushirikishana ktk maamuzi na kila jambo bado yy atabaki kuwa mwenye maamuzi ya mwisho km baba wa familia.
 
Katika hili mm naamin km nitakuwa na kipato kikubwa kuliko mme wangu,
Kipato changu hakina nafasi ya kubalidi wadhifa wa mume kwenye ndoa,
Hata nina pesa kiasi gani nilishindwa kuwa peke yangu,ndio maana nikamkubali kuolewa naye na kila kilichokuwa changu inakuwa vyetu wote km tulivyoamua kuwa mwili mmoja,
Pamoja na kushirikishana ktk maamuzi na kila jambo bado yy atabaki kuwa mwenye maamuzi ya mwisho km baba wa familia.

I like this Canta!Natamani ingekuwa hivi kwa wanawake wote!
 
I like this Canta!Natamani ingekuwa hivi kwa wanawake wote!
Asante Eiyer,
Hope hii inakuwa kwa mtu binafsi anavyofeel ule upendo bila kujali mambo ya vipato na mali ambavyo hata vikiisha vitafautika!
 
Nakubaliana na wewe,but vipi huhusu mali za mwanamke alizochuma kabla ya kuolewa na mume,zitakuwa chini ya nani?
Kama na mimi nina mali ambazo zinatosheleza familia, nitamwacha mali zake aamue yeye mwenyewe ili mradi anazitumia vizuri lakini kama matumizi hayatakuwa mazuri lazima niingilie bila kujali alizipata kabla ya ndoa au baada ya ndoa.
 
Back
Top Bottom