Kizungumkuti cha ndoa!

Katika hili mm naamin km nitakuwa na kipato kikubwa kuliko mme wangu,
Kipato changu hakina nafasi ya kubalidi wadhifa wa mume kwenye ndoa,
Hata nina pesa kiasi gani nilishindwa kuwa peke yangu,ndio maana nikamkubali kuolewa naye na kila kilichokuwa changu inakuwa vyetu wote km tulivyoamua kuwa mwili mmoja,
Pamoja na kushirikishana ktk maamuzi na kila jambo bado yy atabaki kuwa mwenye maamuzi ya mwisho km baba wa familia.

SAFI SANA.. ka semina kamesaidia
 
BADILI TABIA,hakuna maamuzi ya pamoja,hakuna mahali popote pasipokua na mtu mwenye kauli ya mwisho,kwenye ndoa nako hakuna tofauti,kama unakataa mwanaume asiwe na kauli ya mwisho basi uwe wewe,lakini hujategua hicho kizungungumkuti hapo!Hebu sema utamruhusu awe na kauli ya mwisho kwenye mali yako?

Kauli ya mwisho ya nini wakati ndoa ni mambo ya kujadiliana,kwani umekuwa ugomvi looo,
 
Mwanamke unatakiwa umshirikishe baadhi ya vitu(baadhi yao hawawezi kuhandle siri) mfano..unataka ununue gari unapanga labda na mkeo lakini ukiyasikia kwa shoga ake kesho yake next time utachagua what to tell and what not to tell her.. Kama ukiwa na mke constructive,msiri unamwambia na kumshirikisha lakini ukweli wanaume huwa hatuwezi kuwambia every plan eti mdecide wote hilo naona ni nature yetu...

Mwanamke mwenye mali siku hizi za dot.com wanakuwa power competitor ndani(ispokuwa few of them) kiburi, usawa usawa mpaka ndoa inakuwa ndoano...nafasi ya mwanaume na mwanamke zinatofautiana ndani ya ndo hata tubisheni mpaka kesho hapa
 
Kauli ya mwisho ya nini wakati ndoa ni mambo ya kujadiliana,kwani umekuwa ugomvi looo,

Umeshawahi kuona mahali popote ambapo hakuna mtoa maamuzi?Kama hakuna iweje kwenye ndoa kuwe hakuna?
 
Haaa haaa haaaa.
Habari yako Kashengo!
Si unajua tena sio kila kitu kubishana kuna mengine sio yetu ila tunajitutumua kuyata wakati hatuyawezi!

Habari nzuri tu..na hilo ndo huwatisha sana wanaume kuwaoa wanawake matajiri na wenye elimu kubwa!
 
Nimejiuliza wakati napitia uzi wa Cantalisia kuhusu jamaa alietoka nduki baada ya kugundua mpenzi wake ana mawe zaidi yake.Sasa swali linakuja,kwanza wanawake wanakubali kuwa mwanaume ni kichwa cha familia?(Kuwa kichwa kuna maana ya kutolea maamuzi ya mwisho jambo lolote linalohusu familia)kama wanakubali mwanaume ni kichwa kwa tafsiri hiyo,Je mwanamke anapoolewa akakutwa na mali aliyoichuma mwenyewe hii nayo itaingia katika usimamizi na maamuzi ya mwisho ya mume?(hapa nazungumzia maamuzi chanya sio ya kufuja mali)Yaani mke hatakua tena na kauli ya mwisho na namna ya kuendesha mali hiyo kwa sababu mwanamke huyo tayari anamilikiwa na mume ama mali ya mwanamke haitamhusu mume?Jambo hili huenda ndio sababu ya ugumu wa kuoa mwanamke mwenye mali!
Being the head of household doesn't mean that you're a final decision maker.
 
Kashengo uko sawa ila sikubali kuwa wanawake peke yao tu ndo wambea.Hata sisi wanaume wapo wambea sana tena wakati mwingine kuliko wanawake!
 
Kashengo uko sawa ila sikubali kuwa wanawake peke yao tu ndo wambea.Hata sisi wanaume wapo wambea sana tena wakati mwingine kuliko wanawake!
Kabisa mkuu mtu anampelekea siri za mwenzie kazini mkewe n.k
 
Habari nzuri tu..na hilo ndo huwatisha sana wanaume kuwaoa wanawake matajiri na wenye elimu kubwa!
Msitishike bwana,wengine wanakuwa wanahitaji kuelimishwa,
Hawajaona mambo haya hata kupitia kwa wazazi wao,
Au wazazi wao mama ndio alikuwa steringi na hawajui km nitofauti sana,
Hivyo msitishike,ni kuwa nao na kuwaelewesha si unajua upendo ukitawala chochote cha wezekana mkuu!
 
Why dont u tell me your definition?
Final decisions in any relationship are best made by both people. The idea of a man having the final say is old school and not the best way to proceed. If it's a decision that will affect me, I want to have had my say. If it's something that affects us both (my wife and me) we need to agree on it.
 
mi naisi tayari jibu unalo ushasema kwamba mwanaume ndo kichwa familia so na ata izo mali alizonazo mkewe mume aan maamuzi juu ya izo mali pia, ni ayo tu kaka.
:help:
 
Back
Top Bottom