Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
- Thread starter
- #21
Kama na mimi nina mali ambazo zinatosheleza familia, nitamwacha mali zake aamue yeye mwenyewe ili mradi anazitumia vizuri lakini kama matumizi hayatakuwa mazuri lazima niingilie bila kujali alizipata kabla ya ndoa au baada ya ndoa.
Kama angekua na matumizi mabaya usingemkuta na mali!