Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Ina sikitisha kwamba tabia hii bado ipo hadi leo.
Nakumbuka nikiwa mdogo (ingawa ilitokea mara moja tu) mjomba
wangu aliwahi nichapa kwakua nilienda kumuwashia sigara na nilipo
mpelekea ikawa ime zimika.
Na alinambia ikiwaka tu,ivute kidogo ili isizimike ndo uniletee.
Nashukuru Mungu niliondoka pale mapema sana sijui ningekuwa wapi.
Lakini hadi leo tabia za kutuma watoto wadogo wa washe sigara bado zipo.
Tuna tengeneza kizazi gani?
Nakumbuka nikiwa mdogo (ingawa ilitokea mara moja tu) mjomba
wangu aliwahi nichapa kwakua nilienda kumuwashia sigara na nilipo
mpelekea ikawa ime zimika.
Na alinambia ikiwaka tu,ivute kidogo ili isizimike ndo uniletee.
Nashukuru Mungu niliondoka pale mapema sana sijui ningekuwa wapi.
Lakini hadi leo tabia za kutuma watoto wadogo wa washe sigara bado zipo.
Tuna tengeneza kizazi gani?