Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii yote inatokana na kuiga yale yanayofanywa na jamii, hapa wa kulaumiwa ni wanajamii!
hakuna chenye afazali we kataviBora avutishwe sigara kuliko bangi!
Haha,yaani 24 kwa siku?
Duh,kuna mzee alinisimulia kaanza kuvuta akiwa sekondari.
Hadi leo ana wajukuu wako sekondari lakini bado anavuta tena sio chini
ya 3 kwa siku.
Kinacho nishangaza ni kwamba HAJAFA anapeta tu sijui mapafu yake yana hali
gani saivi,wengine ukijaribu siku mbili
tu unakohoa kama ndo unataka kutoa roho,una nuka mdomo...............