kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 1,996
- 5,054
Hello bosses....
Kwa mizunguko mizunguko nlopitia baada ya kufanya kazi na watu kadhaa kwenye field ya software dev nmekuja gundua (in my opinion) kuna software hizi 3 hata itokee alternative gani kizazi hiki hazitokuja kuwa replaced.
Kiufupi hizo ni:-
1) BLOOMBERG TERMINAL
2)MICROSOFT EXCEL
3)SAP BUSINESS ONE (B1)
Nitazifafanua kiufupi hapa chini
---> BLOOMBERG TERMINAL
Hii kama hujihusishi na financial markets (At Instutional Level) itakua bado hujaisikia lakini ni moja kati ya software zinazorun dunia hii. Nasema zinarun dunia coz inatumiwa na asilimia kubwa ya Financial Institutions kutrade kwenye Financial markets kuanzia kununua stocks, bonds, options, currencies na financial instruments & derivatives nyngne. Wanaohusika kwenye hii field hupenda kuiita 'BLOOMIE', ilitengenezwa na kuanza kutumika kwenye miaka ya 1980 chini ya Mike Bloomberg na kinachonifurahisha kuhusu hii software ni kwamba ime-maintain 'old-school look' ambayo naweza kuiita 'hacker-like' look. Rangi zake sana sana ni black and orange na mwonekano wake unavutia kwa wanaopenda 'less-bullshit UI'.
Gharama za kutumia hii software kwa mwaka ni USD 25,000 na mabillion ya dollar hupitia kwenye hii software kila mwaka. Toka ianze kutumika 1980s hadi sasa kuna wapinzani wengi wanatengeneza software zao lkn hawajafanikiwa kuipiku BLOOMIE.
---> MICROSOFT EXCEL.
Hii siwezi ongelea sana coz wengi tunaifahamu. Ni kati ya products za Microsoft ambazo nazikubali sana. Tumeona zinakuja spreadsheet software nyingine ila hii ipo on trend miaka nenda miaka rudi. Watu wanasema wahindi wako vzr kwenye biashara lkn deep down wengi wao wanatumia excel, hao hua ni wataalam wa excel. Nilienda kwa jamaa fln kuwapa proposal ya kutumia custom made accounting software lkn wakanionyesha excel setup zao na sikuamini nlichokiona, kuanzia accounting, stock management etc... zote walikua wanafanya kwa excel tu.
---> SAP Business One (B1)
Hii nayo ni kati ya software za zamani sana ambazo hadi leo bado zinatumika. ilitengenezwa mwanzoni kabisa mwa computer Era. Hii software iko complicated na pia ina programming language yake lkn hayo hayazuii watu kuendelea kuitumia. Kazi yake kubwa ni Kufanya Enterprise Resource Planning, software za category hii hujulikana kama ERP software. Kwenye business ndg ndg huwezi kuikuta lkn ukienda kwa Giants kama Alphabet, Meta na silicon valley companies nyingine basi utaikuta. Hata hapa Tanzania nimeona inatumika kwenye baadhi ya makampuni makubwa makubwa ya uzalishaji na usafirishaji.
Zipo nyingine baadhi kama QuickBooks, Microsoft word, etc... lkn hizo zina washindani ambao tyr wanafanya vizuri na miaka michache baadae zinaweza kupotea kama MySpace. Lakin hizo nilizotaja hapo juu zina 'Strong' foundation na 'Loyal' Customer base kiasi kwamba hata kama ni ngumu kutumia au ni nzito bado zitaendelea kuongoza kwenye nyanja zao kwa hiki kizazi
Peace......
~Kali Linux
Kwa mizunguko mizunguko nlopitia baada ya kufanya kazi na watu kadhaa kwenye field ya software dev nmekuja gundua (in my opinion) kuna software hizi 3 hata itokee alternative gani kizazi hiki hazitokuja kuwa replaced.
Kiufupi hizo ni:-
1) BLOOMBERG TERMINAL
2)MICROSOFT EXCEL
3)SAP BUSINESS ONE (B1)
Nitazifafanua kiufupi hapa chini
---> BLOOMBERG TERMINAL
Hii kama hujihusishi na financial markets (At Instutional Level) itakua bado hujaisikia lakini ni moja kati ya software zinazorun dunia hii. Nasema zinarun dunia coz inatumiwa na asilimia kubwa ya Financial Institutions kutrade kwenye Financial markets kuanzia kununua stocks, bonds, options, currencies na financial instruments & derivatives nyngne. Wanaohusika kwenye hii field hupenda kuiita 'BLOOMIE', ilitengenezwa na kuanza kutumika kwenye miaka ya 1980 chini ya Mike Bloomberg na kinachonifurahisha kuhusu hii software ni kwamba ime-maintain 'old-school look' ambayo naweza kuiita 'hacker-like' look. Rangi zake sana sana ni black and orange na mwonekano wake unavutia kwa wanaopenda 'less-bullshit UI'.
Gharama za kutumia hii software kwa mwaka ni USD 25,000 na mabillion ya dollar hupitia kwenye hii software kila mwaka. Toka ianze kutumika 1980s hadi sasa kuna wapinzani wengi wanatengeneza software zao lkn hawajafanikiwa kuipiku BLOOMIE.
---> MICROSOFT EXCEL.
Hii siwezi ongelea sana coz wengi tunaifahamu. Ni kati ya products za Microsoft ambazo nazikubali sana. Tumeona zinakuja spreadsheet software nyingine ila hii ipo on trend miaka nenda miaka rudi. Watu wanasema wahindi wako vzr kwenye biashara lkn deep down wengi wao wanatumia excel, hao hua ni wataalam wa excel. Nilienda kwa jamaa fln kuwapa proposal ya kutumia custom made accounting software lkn wakanionyesha excel setup zao na sikuamini nlichokiona, kuanzia accounting, stock management etc... zote walikua wanafanya kwa excel tu.
---> SAP Business One (B1)
Hii nayo ni kati ya software za zamani sana ambazo hadi leo bado zinatumika. ilitengenezwa mwanzoni kabisa mwa computer Era. Hii software iko complicated na pia ina programming language yake lkn hayo hayazuii watu kuendelea kuitumia. Kazi yake kubwa ni Kufanya Enterprise Resource Planning, software za category hii hujulikana kama ERP software. Kwenye business ndg ndg huwezi kuikuta lkn ukienda kwa Giants kama Alphabet, Meta na silicon valley companies nyingine basi utaikuta. Hata hapa Tanzania nimeona inatumika kwenye baadhi ya makampuni makubwa makubwa ya uzalishaji na usafirishaji.
Zipo nyingine baadhi kama QuickBooks, Microsoft word, etc... lkn hizo zina washindani ambao tyr wanafanya vizuri na miaka michache baadae zinaweza kupotea kama MySpace. Lakin hizo nilizotaja hapo juu zina 'Strong' foundation na 'Loyal' Customer base kiasi kwamba hata kama ni ngumu kutumia au ni nzito bado zitaendelea kuongoza kwenye nyanja zao kwa hiki kizazi
Peace......
~Kali Linux