EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
- Thread starter
- #41
Hebu endelea kumsikuliza Ferre Gola ana nyimbo nyingi sanaMwanzoni nilidhani wanaopenda Rhumba ni Watu wazima sana, nilijikuta nimeanza kuzipenda when I was 10 years.
Sasa nimemwambukiza hata Wife kuzipenda, ikitokea kuna Show ya Diamomd ama AliKiba kiingilio shilingi 20,000 alafu kuna Show Ya Fere Gora ama Fally Ipupa kiingilio shilingi 100,000 atasema twende Kwa Fally ama Fere.
Rhumba music yao ni wa Viwango vya Juu sana.
Fally yuko njema sana ingawa nina collection ya nyimbo 5 za Ferre gora