samaki2011
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 1,775
- 468
Kibamba hapa amekurupuka. Huwezi kukimbilia kwenye jumuiya ya kimataifa kabla hata hujatafuta suluhu ya ndani ikiwa ni pamoja na kutaka ufafanuzi wa kauli au kumtaka aliyetoa kauli aifute. Sasa kila jambo tukikimbilia kwenye jumuiya kimataifa bila kujiridhisha kwamba ni juu ya uwezo wetu si watatuona walalamikaji na kutuchoka mapema? Tanzania hatujafikia mahali pa kuhitaji msaada wa kimataifa kwa matatizo yetu ya ndani.
Hembu jaribu wewe kufafanua kauli ya muheshimiwa halafu utuambie ina utata gani unless huangalii TV wala hufuatiliagi taarifa ya habari