Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Safi sana Dr Ilongo!
Kama JK anazunguka nchi zima na kutoa ahadi hewa, basi, ni heri huyu ambaye alifika na kuamuru kufunga kituo cha afya ambacho hakikidhi haja.. Halafu na kuagiza watumishi walipwe stahiki zao haraka!
Miaka michache iliyopita, huko Dodoma, kuna msichana aliajiriwa kama Daktari kwa muda wa miezi kadhaa, na baadaye ilikuja kugundulika kuwa hata Darasa la saba alishindwa masomo!
Kama JK anazunguka nchi zima na kutoa ahadi hewa, basi, ni heri huyu ambaye alifika na kuamuru kufunga kituo cha afya ambacho hakikidhi haja.. Halafu na kuagiza watumishi walipwe stahiki zao haraka!
Miaka michache iliyopita, huko Dodoma, kuna msichana aliajiriwa kama Daktari kwa muda wa miezi kadhaa, na baadaye ilikuja kugundulika kuwa hata Darasa la saba alishindwa masomo!