sio vizuri.....kwa nini kazi za watu zisiheshimiwe? tupo masecretary ndio na huwa tunajiheshimu na tuna heshima zetu.......hakuna mtu anaweza kufanya kitu kama hicho ofisini.....we senator ututake radhi....:fencing:
Preta mpenzi nani kakuudhi hivyo,nimeshakunja shati hapa kitaeleweka tu!