Niko busy, njoo baadae bwana! akiinuka anaweka kikoi kwenye kiti au mkoba! Haya kazi kweli kweli! Akirudi nyumbani amechoka balaa! :becky::becky::becky:
..Umekipenda eeehe!?
Samahani preta kama nimewakwaza hvi hakuna masecretary wakiume maofisini??
Aisee tafadhali wengine wake zetu ni masekretari!
Lakini huku si ndio sehemu yake ya utani no matter kwenye michezo..kazini au kwenye pombe shop...samahani kwa wadau waliokwazika na offer hii ya kiti..Nasitisha biashara
Si afadhali ya ww mkeo ni sekretari. Wengine mama zetu ndo ajira zao hizo, halafu nyie mnaleta utani kazini!