Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Ni imani za kishirikina
Nani ana kazi ya kukibeba kiti hicho? Lazima atakuwa mbeba vyuma,lol!!!
Ni imani za kishirikina
Nani ana kazi ya kukibeba kiti hicho? Lazima atakuwa mbeba vyuma,lol!!!
Mshahara wake sio mchezo
hizo overheads zote za nini sasa? Inakuwaje kama mtumishi wa umma akiwa na "matakwa/mahitaji" kama haya? Je atatengnezewa naye kiti na gari special?
Hivi, kazi hizi wanafanyaga medical exams kabla kuanza kazi kuthibitishi wako fiti?
Naogopa kusema bibi wa Msoga hachelewi kukupiga na mkia wa taa, wakubwa wanatibiwa India, sijui kina yakhe tunatibiwa wapi?
Kina yakhe twatibiwa na maji ya bahari Gilesi
Hicho ni kiti cha rais wa tz.na hatenbei nacho.kila ikulu ndogo kipo,na siyo kila mkoa una ikulu ndogo.hivyo mikoa isiyo na ikulu ndiyo raisi analetewa kiti toka mkoa jirani wenye ikulu ndogo
Hicho ni kiti cha rais wa tz.na hatenbei nacho.kila ikulu ndogo kipo,na siyo kila mkoa una ikulu ndogo.hivyo mikoa isiyo na ikulu ndiyo raisi analetewa kiti toka mkoa jirani wenye ikulu ndogo
Halafu nasikia kina gari spesho la kukibeba
Ni utara ibu wa rais kutumia viti vya ikulu hata mkapa and many presidents do tha same
kama obama atatembea na gari yake everywhere kiti ni minor thngs
just security isues
Hakika kunawatu ni mabukumun na thumun hv kwani kwa anko ben ilikuwaje mbona yalikuwa lkn hamkuyaona au ndio tunafundishwa kuona na walimu walioibuka leo wenye kujipaka sifa ya uzalendo na taifa lao kumbe ndani mwanyoyo zao wametanguliza dini zao na kabila zao..... Basi tufikie mahali tuwe tunaangalia vitu vyenye fact basi ina bore
mkapa alianza utaratibu wa kutumia kiti kimoja baada ya kurejea ulaya alipofanyiwa operation ya mguu. kiti hicho kilitengenezwa mahsusi kutokana na maelekezo ya madaktari kutokana na tatizo lake. nadhani baada ya muda aliacha mtindo wa kutembea na kiti hicho
Hicho ni kiti cha rais wa tz.na hatenbei nacho.kila ikulu ndogo kipo,na siyo kila mkoa una ikulu ndogo.hivyo mikoa isiyo na ikulu ndiyo raisi analetewa kiti toka mkoa jirani wenye ikulu ndogo
Hicho ni kiti cha Rais wa Serikali ya Tz.Kama umechukia,pole!
sheikh samahani, wapi panauzwa njiwa?? nahitaji njiwa watatu weupe pee nina shuhuli nao ya kijamii ya kuifanya.Kina yakhe twatibiwa na maji ya bahari Gilesi