Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,123
Watanzania tuachane na mentality za kijamaa zakuwapa majimbo watu wasio na nyumba wala utajiri wowote. Tuwakatae watu wasio na business mind kuongoza nafasi za kisiasa nchini kwetu.
Kuendelea kuwa na viongozi wa kisiasa wanawaza kila saa kwamba wanaibiwa nikukosa exposure. Tuwe na viongozi wanatake risk katika kufanya maamuzi.
Tukiendelea kuwa na viongozi wanaohubiri umaskini tunakosesha Taifa baraka na kudidimiza uchumi wa wenye nacho hasa pale wanapolazimika kufanya kazi wawalishe wengine.
Tumeona mama Samia anavyotoa uhuru kwa matajiri kukaa viti vya mbele huku akiwakawakutanisha na matajiri wa ulimwengu wa kwanza. Mama anafanya kila awezalo anaposafiri aambatane na watu kadhaa atakaowapa connection kwa sababu anajua wakipata watamsaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.
Mimi binafsi nampongeza na nitazidi kumpongeza mama kwa kufungua nchi. Hii miaka mitatu ya utawala wake nimejitokeza kumpa maua yake.
Mtu yeyote anayejituma kwa utawala huu lazima atoboe.....ila kama unaishi kwa kubeti utasubiri uzeeke uwe mchawi na kuona wenye mafanikio freemason
Mama endelea kutuletea watu waliostaarabika lakini piga chini wateule wake wanaotumia mwanya wa kiti chao kulazimisha matajiri wawaheshimu wakijidai usipomtoa atakufix.
Ukisikia mteule wake anakuambia watu flani ni wezi muulize kwanini awapo polisi? Muulize kwanini ajawafisha TRA na TAKUKURU?
Mama teua matajiri walinde utajiri wetu kuliko kujazana na maskini wanaowaza kukwamisha waliofanikiwa.
Kila la kheri mama piga kazi matajiri tupo nyuma yako
Kuendelea kuwa na viongozi wa kisiasa wanawaza kila saa kwamba wanaibiwa nikukosa exposure. Tuwe na viongozi wanatake risk katika kufanya maamuzi.
Tukiendelea kuwa na viongozi wanaohubiri umaskini tunakosesha Taifa baraka na kudidimiza uchumi wa wenye nacho hasa pale wanapolazimika kufanya kazi wawalishe wengine.
Tumeona mama Samia anavyotoa uhuru kwa matajiri kukaa viti vya mbele huku akiwakawakutanisha na matajiri wa ulimwengu wa kwanza. Mama anafanya kila awezalo anaposafiri aambatane na watu kadhaa atakaowapa connection kwa sababu anajua wakipata watamsaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.
Mimi binafsi nampongeza na nitazidi kumpongeza mama kwa kufungua nchi. Hii miaka mitatu ya utawala wake nimejitokeza kumpa maua yake.
Mtu yeyote anayejituma kwa utawala huu lazima atoboe.....ila kama unaishi kwa kubeti utasubiri uzeeke uwe mchawi na kuona wenye mafanikio freemason
Mama endelea kutuletea watu waliostaarabika lakini piga chini wateule wake wanaotumia mwanya wa kiti chao kulazimisha matajiri wawaheshimu wakijidai usipomtoa atakufix.
Ukisikia mteule wake anakuambia watu flani ni wezi muulize kwanini awapo polisi? Muulize kwanini ajawafisha TRA na TAKUKURU?
Mama teua matajiri walinde utajiri wetu kuliko kujazana na maskini wanaowaza kukwamisha waliofanikiwa.
Kila la kheri mama piga kazi matajiri tupo nyuma yako