Nchi ikiongozwa na mtu kama Rais Samia lazima watu wake wawe na furaha na biashara zitashamiri kama ilivyo sasa

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,123
Watanzania tuachane na mentality za kijamaa zakuwapa majimbo watu wasio na nyumba wala utajiri wowote. Tuwakatae watu wasio na business mind kuongoza nafasi za kisiasa nchini kwetu.

Kuendelea kuwa na viongozi wa kisiasa wanawaza kila saa kwamba wanaibiwa nikukosa exposure. Tuwe na viongozi wanatake risk katika kufanya maamuzi.

Tukiendelea kuwa na viongozi wanaohubiri umaskini tunakosesha Taifa baraka na kudidimiza uchumi wa wenye nacho hasa pale wanapolazimika kufanya kazi wawalishe wengine.

Tumeona mama Samia anavyotoa uhuru kwa matajiri kukaa viti vya mbele huku akiwakawakutanisha na matajiri wa ulimwengu wa kwanza. Mama anafanya kila awezalo anaposafiri aambatane na watu kadhaa atakaowapa connection kwa sababu anajua wakipata watamsaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.

Mimi binafsi nampongeza na nitazidi kumpongeza mama kwa kufungua nchi. Hii miaka mitatu ya utawala wake nimejitokeza kumpa maua yake.

Mtu yeyote anayejituma kwa utawala huu lazima atoboe.....ila kama unaishi kwa kubeti utasubiri uzeeke uwe mchawi na kuona wenye mafanikio freemason

Mama endelea kutuletea watu waliostaarabika lakini piga chini wateule wake wanaotumia mwanya wa kiti chao kulazimisha matajiri wawaheshimu wakijidai usipomtoa atakufix.

Ukisikia mteule wake anakuambia watu flani ni wezi muulize kwanini awapo polisi? Muulize kwanini ajawafisha TRA na TAKUKURU?

Mama teua matajiri walinde utajiri wetu kuliko kujazana na maskini wanaowaza kukwamisha waliofanikiwa.

Kila la kheri mama piga kazi matajiri tupo nyuma yako
 
Samia ni mfanyabiashara! Tangu lini? Ye ye na watangulizi wake hawana tofauti na Mobutu!
Mkapa alikili jinsi walivyo kuwa wanaiba pesa bot ili kufadhili uchaguzi wa CCM
 
Samia ni mfanyabiashara! Tangu lini?
Ye ye na watangulizi wake hawana tofauti na Mobutu!
Mkapa alikili jinsi walivyo kuwa wanaiba pesa bot ili kufadhili uchaguzi wa ccm
Ndugu yangu biashara ni pamoja na kuwa na positive mind. Ukiwa na moyo wakushamirisha biashara tayari unakuwa mfanyabiashara

Biashara ni chain siyo capital pekee, leo Kariakoo kuna machinga hawana mtaji lakini wanapositive mind iliyowafanya waaminike na wafanyabiashara wenye mitaji wakawapa bidhaa watembeze.

Ukiwa huna business mind unaweza ukakamata machinga wote mjini ukidhani unawakomoa waajiri wao kumbe mwajiri anakula na kulala na shibe huku machinga akilala njaa.

Mama SSH amefungua milango kila mtu afanye anachoona kinafaa, maana yake huyu ni mfanyabiashara mkubwa kwenye nafsi asiyefungwa na hitajio la mtaji.

Tuliofilisiwa na regime iliyopita tusingependa tena kutawala na mtu anayewaza kuwafanya mashetani wananchi wake.
 
Wewe endelea tu kufurahia ujinga. Kuna siku utashtukia tu umechukuliwa utumwa na Waarabu, kama walivyochukuliwa mababu zako enzi hizo.
Hamna shukran ndio mana awamu ile mli ipatapata sijui mnatka mtu ashuke mbinguni ndio muone mmepata kiongozi bora

watu km nyny ndio mnosababisha kupata kiongozi km awamu ile sababu ham elweki
 
Utajiri wa mtu hauongozi bali fikira zake. Ni viongozi gani wa Tanzania wana businessmind na hizo businessminds zimeleta tija gani kwa raia wao.
 
Watanzania tuachane na mentality za kijamaa zakuwapa majimbo watu wasio na nyumba wala utajiri wowote. Tuwakatae watu wasio na business mind kuongoza nafasi za kisiasa nchini kwetu.

Kuendelea kuwa na viongozi wa kisiasa wanawaza kila saa kwamba wanaibiwa nikukosa exposure. Tuwe na viongozi wanatake risk katika kufanya maamuzi.

Tukiendelea kuwa na viongozi wanaohubiri umaskini tunakosesha Taifa baraka na kudidimiza uchumi wa wenye nacho hasa pale wanapolazimika kufanya kazi wawalishe wengine.

Tumeona mama Samia anavyotoa uhuru kwa matajiri kukaa viti vya mbele huku akiwakawakutanisha na matajiri wa ulimwengu wa kwanza. Mama anafanya kila awezalo anaposafiri aambatane na watu kadhaa atakaowapa connection kwa sababu anajua wakipata watamsaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.

Mimi binafsi nampongeza na nitazidi kumpongeza mama kwa kufungua nchi. Hii miaka mitatu ya utawala wake nimejitokeza kumpa maua yake.

Mtu yeyote anayejituma kwa utawala huu lazima atoboe.....ila kama unaishi kwa kubeti utasubiri uzeeke uwe mchawi na kuona wenye mafanikio freemason

Mama endelea kutuletea watu waliostaarabika lakini piga chini wateule wake wanaotumia mwanya wa kiti chao kulazimisha matajiri wawaheshimu wakijidai usipomtoa atakufix.

Ukisikia mteule wake anakuambia watu flani ni wezi muulize kwanini awapo polisi? Muulize kwanini ajawafisha TRA na TAKUKURU?

Mama teua matajiri walinde utajiri wetu kuliko kujazana na maskini wanaowaza kukwamisha waliofanikiwa.

Kila la kheri mama piga kazi matajiri tupo nyuma yako

Screenshot_2024-02-29-07-55-25-145_com.android.chrome~2.jpg
 
Watanzania tuachane na mentality za kijamaa zakuwapa majimbo watu wasio na nyumba wala utajiri wowote. Tuwakatae watu wasio na business mind kuongoza nafasi za kisiasa nchini kwetu.

Kuendelea kuwa na viongozi wa kisiasa wanawaza kila saa kwamba wanaibiwa nikukosa exposure. Tuwe na viongozi wanatake risk katika kufanya maamuzi.

Tukiendelea kuwa na viongozi wanaohubiri umaskini tunakosesha Taifa baraka na kudidimiza uchumi wa wenye nacho hasa pale wanapolazimika kufanya kazi wawalishe wengine.

Tumeona mama Samia anavyotoa uhuru kwa matajiri kukaa viti vya mbele huku akiwakawakutanisha na matajiri wa ulimwengu wa kwanza. Mama anafanya kila awezalo anaposafiri aambatane na watu kadhaa atakaowapa connection kwa sababu anajua wakipata watamsaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.

Mimi binafsi nampongeza na nitazidi kumpongeza mama kwa kufungua nchi. Hii miaka mitatu ya utawala wake nimejitokeza kumpa maua yake.

Mtu yeyote anayejituma kwa utawala huu lazima atoboe.....ila kama unaishi kwa kubeti utasubiri uzeeke uwe mchawi na kuona wenye mafanikio freemason

Mama endelea kutuletea watu waliostaarabika lakini piga chini wateule wake wanaotumia mwanya wa kiti chao kulazimisha matajiri wawaheshimu wakijidai usipomtoa atakufix.

Ukisikia mteule wake anakuambia watu flani ni wezi muulize kwanini awapo polisi? Muulize kwanini ajawafisha TRA na TAKUKURU?

Mama teua matajiri walinde utajiri wetu kuliko kujazana na maskini wanaowaza kukwamisha waliofanikiwa.

Kila la kheri mama piga kazi matajiri tupo nyuma yako
Aaaa Tajiriii....Hauna baya chawa Tajiiirii. Muda siyo mrefu, mama atakuteua uwe mkuu wa matajiri.
 
Watanzania tuachane na mentality za kijamaa zakuwapa majimbo watu wasio na nyumba wala utajiri wowote. Tuwakatae watu wasio na business mind kuongoza nafasi za kisiasa nchini kwetu.

Kuendelea kuwa na viongozi wa kisiasa wanawaza kila saa kwamba wanaibiwa nikukosa exposure. Tuwe na viongozi wanatake risk katika kufanya maamuzi.

Tukiendelea kuwa na viongozi wanaohubiri umaskini tunakosesha Taifa baraka na kudidimiza uchumi wa wenye nacho hasa pale wanapolazimika kufanya kazi wawalishe wengine.

Tumeona mama Samia anavyotoa uhuru kwa matajiri kukaa viti vya mbele huku akiwakawakutanisha na matajiri wa ulimwengu wa kwanza. Mama anafanya kila awezalo anaposafiri aambatane na watu kadhaa atakaowapa connection kwa sababu anajua wakipata watamsaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.

Mimi binafsi nampongeza na nitazidi kumpongeza mama kwa kufungua nchi. Hii miaka mitatu ya utawala wake nimejitokeza kumpa maua yake.

Mtu yeyote anayejituma kwa utawala huu lazima atoboe.....ila kama unaishi kwa kubeti utasubiri uzeeke uwe mchawi na kuona wenye mafanikio freemason

Mama endelea kutuletea watu waliostaarabika lakini piga chini wateule wake wanaotumia mwanya wa kiti chao kulazimisha matajiri wawaheshimu wakijidai usipomtoa atakufix.

Ukisikia mteule wake anakuambia watu flani ni wezi muulize kwanini awapo polisi? Muulize kwanini ajawafisha TRA na TAKUKURU?

Mama teua matajiri walinde utajiri wetu kuliko kujazana na maskini wanaowaza kukwamisha waliofanikiwa.

Kila la kheri mama piga kazi matajiri tupo nyuma yako
Unaruka ruka kama maharage
 
Watanzania tuachane na mentality za kijamaa zakuwapa majimbo watu wasio na nyumba wala utajiri wowote. Tuwakatae watu wasio na business mind kuongoza nafasi za kisiasa nchini kwetu.

Kuendelea kuwa na viongozi wa kisiasa wanawaza kila saa kwamba wanaibiwa nikukosa exposure. Tuwe na viongozi wanatake risk katika kufanya maamuzi.

Tukiendelea kuwa na viongozi wanaohubiri umaskini tunakosesha Taifa baraka na kudidimiza uchumi wa wenye nacho hasa pale wanapolazimika kufanya kazi wawalishe wengine.

Tumeona mama Samia anavyotoa uhuru kwa matajiri kukaa viti vya mbele huku akiwakawakutanisha na matajiri wa ulimwengu wa kwanza. Mama anafanya kila awezalo anaposafiri aambatane na watu kadhaa atakaowapa connection kwa sababu anajua wakipata watamsaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.

Mimi binafsi nampongeza na nitazidi kumpongeza mama kwa kufungua nchi. Hii miaka mitatu ya utawala wake nimejitokeza kumpa maua yake.

Mtu yeyote anayejituma kwa utawala huu lazima atoboe.....ila kama unaishi kwa kubeti utasubiri uzeeke uwe mchawi na kuona wenye mafanikio freemason

Mama endelea kutuletea watu waliostaarabika lakini piga chini wateule wake wanaotumia mwanya wa kiti chao kulazimisha matajiri wawaheshimu wakijidai usipomtoa atakufix.

Ukisikia mteule wake anakuambia watu flani ni wezi muulize kwanini awapo polisi? Muulize kwanini ajawafisha TRA na TAKUKURU?

Mama teua matajiri walinde utajiri wetu kuliko kujazana na maskini wanaowaza kukwamisha waliofanikiwa.

Kila la kheri mama piga kazi matajiri tupo nyuma yako
JK ,Samia ameituliza Nchi na Kuvutia wawekezaji
 
Wewe endelea tu kufurahia ujinga. Kuna siku utashtukia tu umechukuliwa utumwa na Waarabu, kama walivyochukuliwa mababu zako enzi hizo.
Mbona hata machifu wa kiafrika walikuwa na watumwa au huelwi ?+
 
Watanzania tuachane na mentality za kijamaa zakuwapa majimbo watu wasio na nyumba wala utajiri wowote. Tuwakatae watu wasio na business mind kuongoza nafasi za kisiasa nchini kwetu.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Yz9Mgsy0qqk&pp=ygUaU2lzaSBzaW8gbWFzaWtpbmkgTWFndWZ1bGk%3D

Tukiendelea kuwa na viongozi wanaohubiri umaskini tunakosesha Taifa baraka na kudidimiza uchumi wa wenye nacho hasa pale wanapolazimika kufanya kazi wawalishe wengine.
Ubataje hao viongozi wafukuzwe
 
Watanzania tuachane na mentality za kijamaa zakuwapa majimbo watu wasio na nyumba wala utajiri wowote. Tuwakatae watu wasio na business mind kuongoza nafasi za kisiasa nchini kwetu.

Kuendelea kuwa na viongozi wa kisiasa wanawaza kila saa kwamba wanaibiwa nikukosa exposure. Tuwe na viongozi wanatake risk katika kufanya maamuzi.

Tukiendelea kuwa na viongozi wanaohubiri umaskini tunakosesha Taifa baraka na kudidimiza uchumi wa wenye nacho hasa pale wanapolazimika kufanya kazi wawalishe wengine.

Tumeona mama Samia anavyotoa uhuru kwa matajiri kukaa viti vya mbele huku akiwakawakutanisha na matajiri wa ulimwengu wa kwanza. Mama anafanya kila awezalo anaposafiri aambatane na watu kadhaa atakaowapa connection kwa sababu anajua wakipata watamsaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.

Mimi binafsi nampongeza na nitazidi kumpongeza mama kwa kufungua nchi. Hii miaka mitatu ya utawala wake nimejitokeza kumpa maua yake.

Mtu yeyote anayejituma kwa utawala huu lazima atoboe.....ila kama unaishi kwa kubeti utasubiri uzeeke uwe mchawi na kuona wenye mafanikio freemason

Mama endelea kutuletea watu waliostaarabika lakini piga chini wateule wake wanaotumia mwanya wa kiti chao kulazimisha matajiri wawaheshimu wakijidai usipomtoa atakufix.

Ukisikia mteule wake anakuambia watu flani ni wezi muulize kwanini awapo polisi? Muulize kwanini ajawafisha TRA na TAKUKURU?

Mama teua matajiri walinde utajiri wetu kuliko kujazana na maskini wanaowaza kukwamisha waliofanikiwa.

Kila la kheri mama piga kazi matajiri tupo nyuma yako
Kweli kabisa watz wana furaha siyo enzi zile za hofu na wasiwasi tele. Mungu mkubwa.
 
Bila ujamaa leo hii wewe ungekuwa kibarua wa kuvuna vitunguu kwenye shamba la tajiri au kuli kiwandani. Halafu unaishi kwenye nyumba za mabati.
 
Bila ujamaa leo hii wewe ungekuwa kibarua wa kuvuna vitunguu kwenye shamba la tajiri au kuli kiwandani. Halafu unaishi kwenye nyumba za mabati.
Ubepari sio jambo baya kama taifa litakuwa na idadi kubwa ya wasomi na wataalamu kama nchi kama china na India
 
Back
Top Bottom