BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
BPM naona umejileta... Naomba u-justify....
AD nini tena jamani wataka kunifunga .. unataka nijustfy nini??
BPM naona umejileta... Naomba u-justify....
Bishanga Bishanga Bishanga ........narudia kusema .....mianaume ndivyo ilivyo.....hovyooooo hata ifanyiwe nini..kha!Kila la kheri Cheusi msisitizie Mr. aombe sana kwa Mungu asije akadondokea kwenye uzi wa Bishanga.
Fide ameanza yale ya kwenye siredi ya bishanga!
acha uchakachuaji,rudi kwenye mstari,kwanza ushaambiwa ni for ladies only,kilichokuleta nini hapa?Ila bishanga kwenye madudu ya wanaume kitandani,wanawake nao hovyoooo.Wakati mwingine bora wanaume!
Bishanga Bishanga Bishanga ........narudia kusema .....mianaume ndivyo ilivyo.....hovyooooo hata ifanyiwe nini..kha!
SAMAHANI BI ASHA KWA UCHAKACHUAJI KUNA WATU HUMU INAELEKEA UZI WANGU WA JANA WAMELALA WANAUOTA
na log off (source: washawasha)!
Kaizer,niko hapa nakucheki tu,na ukiniuzi nitashusha 'mianaume ndivyo ilivyo...part 2' na ndo kilio kitakuwa kikubwa zaidi maana hiyo nita base kwenye madudu yetu ya kitandani tu.
by the way alokuruhusu uingie uzi huu nani?
yale yaleeeeeeeeee........... unarudi saa 8 usiku ukiulizwa unahamaki....'hapa kwangu kwako? nani kaolewa humu ndani?....mwanaume huwa anachelewa nyumbani kwake?.......hovyooooooooo!!!!!Hapa nataka Cheusi aelewe Mr. hata akirudi saa 7 au 9 katoka kuangalia mechi ya Barca na Real aone ni kitu cha kawaida asiwe na wivu utakao hatarisha amani ya ndoa yake, siku zote ajifanye mjinga atadumu katika ndoa yake mpaka kifo kiwatenganishe
inahuuuuu????Hahahaha ile sredi imekupa promo sana hivi kabox kaPM hakajajaa kweli?
umeanza!!! we nae!! embu malizia kwanza bia yako hiyo.Aisee....hebu tupe wkanza statistics hapa jana alone umepata PM ngapi kutoka kwa wadada manake mbinu hizi
Hapa nipo nipo kwanza.....
Bishanga Bishanga Bishanga ........narudia kusema .....mianaume ndivyo ilivyo.....hovyooooo hata ifanyiwe nini..kha!
SAMAHANI BI ASHA KWA UCHAKACHUAJI KUNA WATU HUMU INAELEKEA UZI WANGU WA JANA WAMELALA WANAUOTA
na log off (source: washawasha)!
shemeji kunani kwenye hiyo bracket?Uliwakomesha sana jana bado tu wanauota mpaka Kaizer (Nimetolea tu mfano usinitoe macho mwana wa mwenzio) jasho lilimtoka kweli kiboko
Wifi,
Hapa mie nimeishiwa maneno kiukweli
Hii kichen party umeicopy kwa bi hindu nini?
(Hii thread ulimtendea haki usiku kaka yangu kweli? Maana dah akili yote naona ilihamia hapa) Offtopic