The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hahahaha!! Mbavu zangu ngoja nikachekeee nje walahiii....habari yako BiggyHivi nyie watu nyie...ina maana yani kwamba mtu akutane na limwanaume lake, wavuane miteitei yao gesti then gheto then waone sasa ngoja tuishi pamoja.....halafu nyie mnajifanya mnajua saaaaanaaa!!
Mnajua kwasababu mmeshavuliwa michupi yenu mara nyingi zaidi au???
mi nawaangalia tu! Mnajifanya mama thery sio?? Yani wajuzi saaana wa mambo ya chumbani kwa wengine....nyie watu nyie!!