Uko sahihi, nimekumbuka ile ishu ya kupigwa risasi ilitamalaki mpaka pembezoni kabisa! Sure he is the right candidate!Lissu anafahamika vizuri sana, ukiona mtu hamjui huko vijijini, ujue huyo hata mambo ya siasa ya kawaida hajui.
Uko sahihi, nimekumbuka ile ishu ya kupigwa risasi ilitamalaki mpaka pembezoni kabisa! Sure he is the right candidate!Lissu anafahamika vizuri sana, ukiona mtu hamjui huko vijijini, ujue huyo hata mambo ya siasa ya kawaida hajui.
Kuna tume huru ya uchaguzi? hakuna uchaguzi ni maigizo tupu, kama kungekuwa na tume huru ya uchaguzi mgombea wa CCM akasimama hata na Dr Shika wa TLP wa CCM angepigwa mapema sn kabla ya saa 3 asubuhi.Kitakachoamua CHADEMA kupata wabunge wengi ni nguvu kubwa watakayoielekeza kwenye Urais.
Tofauti na wengi wanavyoshauri kuwa CHADEMA iachane na Urais badala yake ielekeze nguvu nyingi majimboni mimi nashauri nafasi ya mgombea Urais ni muhimu katika kuamua wingi wabunge watakaopata upinzani.
Kama CHADEMA ikipata mgombea imara wakamnadi kwa nguvu zote akamtikisa Magufuli ipasavyo basi CHADEMA itapata wabunge wengi sana maana wataifanya CCM ielekeze nguvu zake zote kwenye kulinda nafasi ya Urais. Ikumbuke Magufuli anahitaji siyo tu kushinda bali anahitaji kushinda kwa kishindo ili kudhihirisha kuwa anakubalika.
Hivyo CHADEMA wakiwa na amsha amsha kwenye Urais watamfanya adui apaniki na awekeze nguvu zaidi kwenye kupata kura nyingi za urais. Adui hatakubali kushindwa wala kupata kura chache ni bora akapoteza majimbo lakini yeye binafsi aonekane anakubalika.
CHADEMA ikijiroga ikaweka mgombea dhaifu na ikaonyesha kuzingatia zaidi majimbo basi CCM watajihesabia ushindi wa kishindo kwenye urais na nguvu nyingi watazipeleka majimboni matokeo yake kitakachotokea ni hatari, sisemi kuwa CCM wanakubalika bali watafanya figisu za kufa mtu.
CHADEMA msimamisheni mgombea mithili ya Tundu Lissu au Membe atakayeonyesha kweli ana uchu na urais, mgombea atakayeonesha yupo tayari kwa lolote lile kiasi kwamba Jiwe aogope aone ni bora akaze kwenye urais.
Safari hii inahitajika amsha amsha zaidi ya 2015 ili kupata wabunge wengi, ikumbukwe kuwa wabunge wengi wamehama hivyo CHADEMA itakuja na wagombea wapya hivyo itahitajika nguvu ya ziada.
kwa picha za photoshoot ya madaraja kuna watu watapiga ata nyeto jukwaaniKitakachoamua CHADEMA kupata wabunge wengi ni nguvu kubwa watakayoielekeza kwenye Urais.
Tofauti na wengi wanavyoshauri kuwa CHADEMA iachane na Urais badala yake ielekeze nguvu nyingi majimboni mimi nashauri nafasi ya mgombea Urais ni muhimu katika kuamua wingi wabunge watakaopata upinzani.
Kama CHADEMA ikipata mgombea imara wakamnadi kwa nguvu zote akamtikisa Magufuli ipasavyo basi CHADEMA itapata wabunge wengi sana maana wataifanya CCM ielekeze nguvu zake zote kwenye kulinda nafasi ya Urais. Ikumbuke Magufuli anahitaji siyo tu kushinda bali anahitaji kushinda kwa kishindo ili kudhihirisha kuwa anakubalika.
Hivyo CHADEMA wakiwa na amsha amsha kwenye Urais watamfanya adui apaniki na awekeze nguvu zaidi kwenye kupata kura nyingi za urais. Adui hatakubali kushindwa wala kupata kura chache ni bora akapoteza majimbo lakini yeye binafsi aonekane anakubalika.
CHADEMA ikijiroga ikaweka mgombea dhaifu na ikaonyesha kuzingatia zaidi majimbo basi CCM watajihesabia ushindi wa kishindo kwenye urais na nguvu nyingi watazipeleka majimboni matokeo yake kitakachotokea ni hatari, sisemi kuwa CCM wanakubalika bali watafanya figisu za kufa mtu.
CHADEMA msimamisheni mgombea mithili ya Tundu Lissu au Membe atakayeonyesha kweli ana uchu na urais, mgombea atakayeonesha yupo tayari kwa lolote lile kiasi kwamba Jiwe aogope aone ni bora akaze kwenye urais.
Safari hii inahitajika amsha amsha zaidi ya 2015 ili kupata wabunge wengi, ikumbukwe kuwa wabunge wengi wamehama hivyo CHADEMA itakuja na wagombea wapya hivyo itahitajika nguvu ya ziada.
wanamdanganya kajenga nchi kwa madaraja ya photoshootLisu agombee uraisi Membe ampe sapoti walisugue jiwe hadi liwe mchanga
Lissu akigombea halafu Membe akawa mgombea mwenza inakuwa karata nzitoLisu agombee uraisi Membe ampe sapoti walisugue jiwe hadi liwe mchanga
kwa hiyo lengo ni kurahisha kupata idadi kubwa ya wabunge badala ya uraisi?!
Umeona mgombea wa CHADEMA anatafutwa kwa tochi? Hujasikia waliotangaza nia?Mgombea urais wa CDM alitakiwa awepo anajulikana kama ilivyokuwa slaa before lowassa kuja.lowassa alikuwa na popularity kubwa akaweza kuweka gap la slaa pembeni kwa muda, japo consequences hazitatibika leo wala kesho
Kama mgombea urais leo bado miezi minne unamtafuta kwa tochi,
Usitegemee miujiza, CDM ni kichwa cha mwendawazimu
Chama chako? Acheni Mbowe apige hela kwanza. Mzee mtei anategemea pension kutoka kwa mkwewe.Ni Lissu 2020 Membe Takataka Agombee Uko Uko Kwa Mafisadi.
Mkuu kasome katiba kwanza ili ujue Rais na Makamu hawawezi kutoka sehemu moja ya muunganoOption 1
Lissu Raisi
Membe makamu
Option 2
Membe Rais
Lissu Makamu
Shule za kata zmeongeza awareness maeneo ya vijijini msje Mka underestimate ...uelewa ni mkubwa. Tunakoelekea mtaji wa wajinga unaenda kupotea. Fanyeni siasa Safi ili uwe ndy mtaji wa vizaz vijavyo!!Lord Diplock MR,
Nakubaliana na wewe kabisa. Wazo hilo la kupigania ubunge nililileta mimi. Nimekupata vema. Ndiyo faida ya kushauriana. My thinking was that watu wa vijijini huwaambii lolote kuhusu Jiwe, lkn unaweza ukawabadilisha/ukawa- win kwa wabunge. That was my thinking. Na wasiwasi wangu ni kupata mgombea wa urais mwenye mvuto mkubwa kama alivyokuwa Lowasa! Upinzani wanaye? Lisu ni mzuri, ila anajulikana mpaka huko "mashenzini"? Likewise, Membe anajulikana kwa wasomi si "mashenzini". Pili kuna notion kuwa upinzani usifanye makosa ya kuleta masalia ya CCM maana athali zake mpaka leo zinautafuna upinzani. Unasemaje
Ni tatizo la nchi hili mkuu watu wanajadili siasa huku wakiwa hawajui chochote juu ya sheria na taratibu za nchi.Unaonekana hata katiba ya nchi yako huifahamu.
Hoja za kumtikisa Magu mbona nyingi sana? Na kwakupaniki kwake upinzani mbona itajichukulia points nyingiKitakachoamua CHADEMA kupata wabunge wengi ni nguvu kubwa watakayoielekeza kwenye Urais.
Tofauti na wengi wanavyoshauri kuwa CHADEMA iachane na Urais badala yake ielekeze nguvu nyingi majimboni mimi nashauri nafasi ya mgombea Urais ni muhimu katika kuamua wingi wabunge watakaopata upinzani.
Kama CHADEMA ikipata mgombea imara wakamnadi kwa nguvu zote akamtikisa Magufuli ipasavyo basi CHADEMA itapata wabunge wengi sana maana wataifanya CCM ielekeze nguvu zake zote kwenye kulinda nafasi ya Urais. Ikumbuke Magufuli anahitaji siyo tu kushinda bali anahitaji kushinda kwa kishindo ili kudhihirisha kuwa anakubalika.
Hivyo CHADEMA wakiwa na amsha amsha kwenye Urais watamfanya adui apaniki na awekeze nguvu zaidi kwenye kupata kura nyingi za urais. Adui hatakubali kushindwa wala kupata kura chache ni bora akapoteza majimbo lakini yeye binafsi aonekane anakubalika.
CHADEMA ikijiroga ikaweka mgombea dhaifu na ikaonyesha kuzingatia zaidi majimbo basi CCM watajihesabia ushindi wa kishindo kwenye urais na nguvu nyingi watazipeleka majimboni matokeo yake kitakachotokea ni hatari, sisemi kuwa CCM wanakubalika bali watafanya figisu za kufa mtu.
CHADEMA msimamisheni mgombea mithili ya Tundu Lissu au Membe atakayeonyesha kweli ana uchu na urais, mgombea atakayeonesha yupo tayari kwa lolote lile kiasi kwamba Jiwe aogope aone ni bora akaze kwenye urais.
Safari hii inahitajika amsha amsha zaidi ya 2015 ili kupata wabunge wengi, ikumbukwe kuwa wabunge wengi wamehama hivyo CHADEMA itakuja na wagombea wapya hivyo itahitajika nguvu ya ziada.
Nakubali!Shule za kata zmeongeza awareness maeneo ya vijijini msje Mka underestimate ...uelewa ni mkubwa. Tunakoelekea mtaji wa wajinga unaenda kupotea. Fanyeni siasa Safi ili uwe ndy mtaji wa vizaz vijavyo!!
Urais ni muhimu zaidiKitakachoamua CHADEMA kupata wabunge wengi ni nguvu kubwa watakayoielekeza kwenye Urais.
Tofauti na wengi wanavyoshauri kuwa CHADEMA iachane na Urais badala yake ielekeze nguvu nyingi majimboni mimi nashauri nafasi ya mgombea Urais ni muhimu katika kuamua wingi wabunge watakaopata upinzani.
Kama CHADEMA ikipata mgombea imara wakamnadi kwa nguvu zote akamtikisa Magufuli ipasavyo basi CHADEMA itapata wabunge wengi sana maana wataifanya CCM ielekeze nguvu zake zote kwenye kulinda nafasi ya Urais. Ikumbuke Magufuli anahitaji siyo tu kushinda bali anahitaji kushinda kwa kishindo ili kudhihirisha kuwa anakubalika.
Hivyo CHADEMA wakiwa na amsha amsha kwenye Urais watamfanya adui apaniki na awekeze nguvu zaidi kwenye kupata kura nyingi za urais. Adui hatakubali kushindwa wala kupata kura chache ni bora akapoteza majimbo lakini yeye binafsi aonekane anakubalika.
CHADEMA ikijiroga ikaweka mgombea dhaifu na ikaonyesha kuzingatia zaidi majimbo basi CCM watajihesabia ushindi wa kishindo kwenye urais na nguvu nyingi watazipeleka majimboni matokeo yake kitakachotokea ni hatari, sisemi kuwa CCM wanakubalika bali watafanya figisu za kufa mtu.
CHADEMA msimamisheni mgombea mithili ya Tundu Lissu au Membe atakayeonyesha kweli ana uchu na urais, mgombea atakayeonesha yupo tayari kwa lolote lile kiasi kwamba Jiwe aogope aone ni bora akaze kwenye urais.
Safari hii inahitajika amsha amsha zaidi ya 2015 ili kupata wabunge wengi, ikumbukwe kuwa wabunge wengi wamehama hivyo CHADEMA itakuja na wagombea wapya hivyo itahitajika nguvu ya ziada.